Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wengi tulitaka kushangaa huyu mtu anapata wap nguvu ya kutukana mamlaka, unadiriki kusema kuwa utafanya uasi, utaingiza watu barabarani, utakinukisha, wewe mwenzetu utaenda Belgium na 'shoga' yako...
4 Reactions
26 Replies
844 Views
Wanasaikolojia husema binadamu (siyo mtu) dhaifu hujaribu kuficha udhaifu wake kwa kufanya mambo yake kwa kutegemea mitulinga. CCM imekuwa inaongoza nchi hii Kwa zaidi ya miaka 33 sasa tangu...
8 Reactions
33 Replies
1K Views
Mbunge wa Tarime Vijijini, Mwita Waitara amesema kwa vijana wanaotafuta ajira, ajira zinatengenezwa na Chama cha Mapinduzi.
2 Reactions
19 Replies
953 Views
BUNGE la 12 linavunjwa rasmi Tarehe 27 Juni 2025 baada ya kumaliza kazi yake kwa miaka 5 kama watanzania tutalikumbuka Bunge hili kwa lipi chini ya Spika Tulia Ackson?
1 Reactions
48 Replies
2K Views
Nasema hivi nikiwa hai,kwa mwenye akili anajua kabisa watu wanaenda kutema nyongo zao, Yaani ukweli wa uovu wao CCM sasa uanenda kuanikwa kweupe.Watu wanaenda kuungana kwa waziwazi kuanzia...
0 Reactions
0 Replies
201 Views
Najaribu kuwaza tu kinachoweza kutokea, aidha kwa makusudi au kwa bahati mbaya , any cause of harm or worse, death of Lissu while in your custody, tawaeleza nini watanzania na dunia? Muachieni...
17 Reactions
53 Replies
2K Views
Baada ya uchaguzi wa Mwaka 2019 na 2020 kuwa wa dhuruma na kuchafuliwa Chadema walikubaliana kutoshiriki Chaguzi zozote mpaka kuwe na tume huru, ila badae walijitafakari na kuamua kuingia kwenye...
10 Reactions
11 Replies
700 Views
Mwanadiplomasia Nguli na aliyekuwa Mwenyekiti wa Jukwaa la Ktiiba Nchini amegongelea msumari wa No Reform no Election. Amebainisha hayo akisema kwa sasa uchaguzi umepoteza maana kabisa na...
20 Reactions
80 Replies
4K Views
Makamu Mwenyekitu CHDAEMA, John Heche akiwa anaongea na waandishi wa habari April 12, 2025 ikiwa ni baada ya kutangazwa rasmi kuwa CHADEMA kwa kutofika kusaidi kanuni za maadili ya uchaguzi...
2 Reactions
1 Replies
430 Views
Hivi kuna sababu gani kwa polisi wetu kutumika vibaya na CCM kwa kuteka, kukamata, kuumiza na kumbakia kesi ya uhaini Mh Tundu Lissu Mwenyekiti wa CHADEMA wakati tunaweza kushindana kwa hoja na...
2 Reactions
12 Replies
613 Views
Siku moja watoto wetu watatuuliza: Tulifanya nini wakati taifa letu lilikuwa linahitaji mabadiliko? Natamani kusema nilisimama kwa ajili ya haki, nilipigania Tanzania yenye matumaini, haki, na...
1 Reactions
1 Replies
251 Views
Ewe mwanaJF, tupia ushauri wowote kwa hiki Chama ambacho mpaka Sasa kina dalili zote za kuwa Chama kikuu Cha Upinzani katika medani yetu ya siasa mara baada ya uchaguzi wa Oktoba 2025...
2 Reactions
13 Replies
819 Views
Nmeshangaa tu. Kuna watu wazima wengi na wasomi. Hakuna ambaye ana hekima,busara na akili akaweza mwelekeza samia haya mambo?
2 Reactions
33 Replies
1K Views
Kuna kila dalili kuwa yule chawa namba moja wa Mzee Freeman Mbowe atajiunga na chama cha ACT kufuatia CDM kususa uchaguzi wa mwaka 2025. Ndugu yangu ninakuomba tu usdhubutu kuja huko kwetu Vunjo...
0 Reactions
4 Replies
428 Views
No election no reform ni idea haitekelezeki. Je Lissu halijui hili, Je ameshindwa kutumia kutumia busara kuondoa huu mtanziko. Hivi lissu kiakili za uongozi anazo kweli, akisusia uchaguzi...
5 Reactions
108 Replies
4K Views
08 April 2025 Dodoma, Tanzania Katika hali isiyo ya kawaida mbunge aomba bunge lisitishwe ili lijadili barabara ya kutoka Dar es Salaam hadi Mtwara iliyokatika katika Daraja la Somanga Mtama...
2 Reactions
6 Replies
955 Views
Serikali imeahidi kulipa madai ya fidia ya shilingi bilioni sita kwa wananchi waliotoa maeneo yao ili kupisha ujenzi wa Kiwanja wa Ndege Kilwa Masoko mkoani Lindi kabla ya Juni 30 mwaka huu...
1 Reactions
1 Replies
340 Views
Dikteta ucharwa msimamo wake wa kutaka kuzuia uchaguzi unapelekea kuwanyima haki au kuzia haki ya wapenda haki katika kushiriki katika zoezi zima la uchaguzi dikteta uchwara..ameweka msimamo huo...
3 Reactions
61 Replies
2K Views
Namfatilia Hapa Mkurugenzi wa Tume Ya Uchaguzi, iNEC Bwana Ramadhan Kairima, live kupitia UTV, anasema kesho ni siku ya kusaini kanuni za maadili ya uchaguzi, Na Kwamba Kama Kuna Chama...
10 Reactions
101 Replies
6K Views
Chama Cha Watia Nia ni ACT Wazalendo,wale G55 waamue wasuke au wanyoe. https://www.instagram.com/p/DIV1O5XC4pr/?igsh=YWttazI3NGhnM2lu My Take Ni kuwa mpumbavu endapo mtashikiwa akili na mtu mmja...
1 Reactions
92 Replies
3K Views
Back
Top Bottom