Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Nadhani sasa kupitia changamoto iliyomkuta Padre Kitima nimepata majawabu ya maswali yote mawili yaani langu na la mchungaji Erasto Ila shehe Hussein Yahya tukiwa msibani kwa shehe wa msikiti wa...
3 Reactions
20 Replies
1K Views
Yaani bro, let’s keep it 100—sio kwamba hatujui kinachoendelea kwenye hii nchi, au hatujali siasa… we know everything, tupo macho, but truth be told hatuna muda na hizo stress. Life yenyewe ni...
4 Reactions
10 Replies
497 Views
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amewataka viongozi wa kisiasa hususan wabunge kutojisikia vibaya pindi watu wengine watakapoingia kwenye nafasi zao, kwani ni jambo la kawaida.
1 Reactions
3 Replies
533 Views
Miaka ile Mei mosi ilikuwa Sikukuu kweli kweli ya Wafanyakazi Uwanjani lazima wawepo JUWATA Jazz Band Msondo Ngoma 😂 Mashirika ya Umma yalitamba kweli kweli Siku hizi Mei Dei ni Sikukuu ya...
12 Reactions
77 Replies
3K Views
Mhe. Rais sisi Wastaafu tunakupongeza sana kwa kuwaongezea watumishi wa umma mishahara yoa ya kila mwezi. Mhe Rais tunakuomba sana na sisi WASTAAFU uone namna ya kutuongezea pensheni yetu sisi...
0 Reactions
4 Replies
699 Views
Kipindi cha Cafe Talk kimefanya mahojiano kutoka watangazaji wa vipindi mbalimbali nchini kuhusiana na kanuni za Tume huru za uchaguzi ambao unatarajiwa kifanyika mwaka huu mwezi wa kumi. Ambapo...
0 Reactions
2 Replies
386 Views
Pamoja na majaribu yaliyomkuta Katibu wa TEC tuendelee kuwaombea makardinali wanaomchagua Papa Tumuombee Kardinali Rugambwa Ahsanteni sana 🇹🇿
3 Reactions
43 Replies
2K Views
Tangazo la ongezeko la mshahara kwa wafanyakazi wa kima chini Cha 370,000 kabla ya Kodi na kufikia tsh 500,000 kabla ya Kodi! Halijaifurahisha nchi ! Nchi haijafurahi ! Wananchi wana sonona ...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Polisi wamejipanga vizuri kuelekea uchaguzi mkuu ... Jambo hapa enzi hizo ikiitwa jambo furums mababu mnaikumbuka . Wamekamatwa wafuasi na wasiokuwa wafuasi wa CHADEMA siku ya mwanzo ya kesi ya...
1 Reactions
2 Replies
438 Views
Mifano ni mingi sana kutoka sehemu mbalimbali za dunia, wangapi walivuma na kujiona ndio wao tu, mbona wameondoka tena wengine kwa aibu. Mimi sio mtu wa siasa wala sina kadi ya chama chochote ni...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Najiuliza kila wakati hivi katika Nchi hizi mbili zilizoungana yaani Tanganyika na Zanzibar ni watu au raia kutoka Pemba tu ndio wenye ujasiri wa kupambana na CCM kwa hali na mali? Hili suala au...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Kijana anayesemekana aliingizwa chupa sehemu za haja kubwa na Mheshimiwa Naibu Waziri (Mstaafu) na Mbunge wa Babati Mjini anastahili huduma za kisaikolojia vinginevyo tutampoteza Kwa kadhia Ile.
5 Reactions
13 Replies
1K Views
Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Taasisi za Elimu ya juu Nchini Ndg Geofrey Kiliba amewaeleza wanavyuo wa mkoa wa Dar es Salaam Kuwa huu ni wakati Sahihi Wa kuwakumbusha wasomi kuhusu uchaguzi...
0 Reactions
8 Replies
466 Views
Kama ingekuwa Ukatili na kuua na kutesa watu ni best approach ya kufanya Censorship….I think JPM would have been a Champion . Binafsi mnajiexpose sana kitaifa na kimataifa which is not Healthy...
2 Reactions
7 Replies
762 Views
Magesa Inyasi, mwenye ulemavu wa macho na mkazi wa Musoma Mjini mkoani Mara amejipatia umaarufu mkoani hapo kutokana na kipaji chake cha kipekee cha kutunga nyimbo za papo kwa papo kulingana na...
0 Reactions
1 Replies
300 Views
Anaandika Ansbert Ngurumo: UTAWALA wa Rais John Magufuliumeendelea kujizolea kashfa ya kutumia “silaha ya uraia” katika kukomoa raia, kuzima sauti za wananchi na kulipiza visasi. Zamu hii...
52 Reactions
225 Replies
43K Views
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda ametoa wito kwa wafanyakazi nchini kuhakikisha wanadumisha amani kuelekea uchaguzi mkuu, akisema amani ni nguzo muhimu ya upatikanaji wa haki na ustawi wa...
0 Reactions
3 Replies
405 Views
https://www.youtube.com/live/jAy-Wo-SPR8
5 Reactions
13 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, Hivyo Ndivyo unavyoweza kusema juu ya Mama huyu anayefanya kazi ya kitume , kazi ya Sadaka ,kazi ya kujitoa na kujitolea Maisha yake kwa ajili ya kubadilisha maisha ya...
-2 Reactions
30 Replies
1K Views
Wakati akifanya mahojiano na Millard Ayo hivi karibuni, Jesca Magufuli ameeleza kuwa Rais Samia Hassan ameendelea kuwa na mchango mkubwa katika familia yao. Ameeleza kuwa bado anaendeleza...
2 Reactions
74 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…