Mifano ni mingi sana kutoka sehemu mbalimbali za dunia, wangapi walivuma na kujiona ndio wao tu, mbona wameondoka tena wengine kwa aibu. Mimi sio mtu wa siasa wala sina kadi ya chama chochote ni mpenda mpira na kuangalia mechi katika medani ya siasa.
Nipo huru kifikra kwa hio naweza kushangiria chama chochote,mtu au kiongozi yeyote,sema huwaga sipendi kuwa upande wa chama tawala,yaani CCM ikianguka leo mimi nitakuwa upande wao kwa hali na mali. Ndio natamani ishindwe ili nijiunge nayo.
Ni kuanzia sasa Chama kikuu cha upinzani kianzishe harakati za kudai Tume mpya ya uchaguzi isiyofungamana na upande wowote, tena madai haya yawe ndani ya nchi na pia yakuzwe kimataifa.
Tunahitaji uwanja wa kupata Chama tawala uwepo huru, hizi tabia za kuiba matokeo, kuyabadilisha kuuwana kisa kupata nafasi iwe ya mbunge, udiwani uraisi au uchama sio hulka zetu waTanzania wala sio tabia zetu ni mambo mabaya tuliyoyaiga. Kubwa ni kule kufanya ubunge, udiwani uraisi kuwa biashara, ukiukwaa ubunge inakuwa umetoka kimaisha,pale bungeni ukigonga meza tu inatosha na kuunga mkono liwe baya au zuri halikuhusu just kila kikao unapokea donge nono na posho kedekede.
Ikipatikana tume huru hata wananchi watakuwa na faida na kura yake anajuwa mbunge au diwani akiwa mzinguaji wanaweza kumuondosha au kuchagua chama kingine, lakini leo hii kura ya mwananchi haina faida hata chembe, ipo ipo tu.
Yaani kila mtu sasa ajipange kuiondoa CCM hapo 2025. ila mtu tuone kama haitaondoka.
Nipo huru kifikra kwa hio naweza kushangiria chama chochote,mtu au kiongozi yeyote,sema huwaga sipendi kuwa upande wa chama tawala,yaani CCM ikianguka leo mimi nitakuwa upande wao kwa hali na mali. Ndio natamani ishindwe ili nijiunge nayo.
Ni kuanzia sasa Chama kikuu cha upinzani kianzishe harakati za kudai Tume mpya ya uchaguzi isiyofungamana na upande wowote, tena madai haya yawe ndani ya nchi na pia yakuzwe kimataifa.
Tunahitaji uwanja wa kupata Chama tawala uwepo huru, hizi tabia za kuiba matokeo, kuyabadilisha kuuwana kisa kupata nafasi iwe ya mbunge, udiwani uraisi au uchama sio hulka zetu waTanzania wala sio tabia zetu ni mambo mabaya tuliyoyaiga. Kubwa ni kule kufanya ubunge, udiwani uraisi kuwa biashara, ukiukwaa ubunge inakuwa umetoka kimaisha,pale bungeni ukigonga meza tu inatosha na kuunga mkono liwe baya au zuri halikuhusu just kila kikao unapokea donge nono na posho kedekede.
Ikipatikana tume huru hata wananchi watakuwa na faida na kura yake anajuwa mbunge au diwani akiwa mzinguaji wanaweza kumuondosha au kuchagua chama kingine, lakini leo hii kura ya mwananchi haina faida hata chembe, ipo ipo tu.
Yaani kila mtu sasa ajipange kuiondoa CCM hapo 2025. ila mtu tuone kama haitaondoka.