Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 2,308
- 4,687
Tangazo la ongezeko la mshahara kwa wafanyakazi wa kima chini Cha 370,000 kabla ya Kodi na kufikia tsh 500,000 kabla ya Kodi! Halijaifurahisha nchi !
Nchi haijafurahi ! Wananchi wana sonona ! Tendeni haki kwanza ndipo mlete maongezeko ya mishahara ! Bashungwa mdogo wangu ni mlokole safi lakini cheo hupofusha !
Leo huyaoni yote yanayotendeka kwa sababu ya kuulinda ugali usimwagike? Chagua moja mdogo wangu ! Kuwa upande wa Mungu ama wa shetani ,,kusimama na mfalme au kusimama na Mungu !
Nchi haijafurahi ! Wananchi wana sonona ! Tendeni haki kwanza ndipo mlete maongezeko ya mishahara ! Bashungwa mdogo wangu ni mlokole safi lakini cheo hupofusha !
Leo huyaoni yote yanayotendeka kwa sababu ya kuulinda ugali usimwagike? Chagua moja mdogo wangu ! Kuwa upande wa Mungu ama wa shetani ,,kusimama na mfalme au kusimama na Mungu !