Unaweza kufanya jambo ukidhani litakusaidia chochote, Kumbe ndio unajimaliza.
Nchini Tanzania shambulio la kupangwa ambalo lililenga kuua Katibu wa TEC, Dkt Kitima limesababisha Mjadala kabambe...
Ili kuepuka maafa ambayo mazingira yake yanatengenezwa kwa kasi na watawala na Serikali, ikihusisha:
1. Utekaji wa wanaokemea udhulumaji wa haki za Wananchi
2. Upotezwaji wa wanaokosoa...
Watanzania msimchague mtu kwasababu ameongeza mishahara katika kipindi hiki cha uchaguzi, kwanini siku zote hakuongeza mishara hiyo ?
Chagueni mtu anaye maanisha kuwasaidia kweli kweli kiasi...
Kuna Watu wanadhani wakati wa Mei mosi ni muda wa kutangaza nyongeza ya mishahara kwa ngazi zote
Ukweli ni kuwa Mei mosi hutangazwa nyongeza ya Kima cha Chini tu na hata Leo Rais Samia...
Yaani leo nataka niwaulize straight-up — nani kati yenu viongozi ana elimu ya kueleweka? Si hiyo ya kununua kwa chupa ya wine na kutunukiwa kwenye mahoteli, I mean real — academic grind...
Viongozi wa dini epukeni siasa za upinzani wahuni waweza kuwafanyia kitu kibaya ili wapate kick za kisiasa na kusingizia serikali lengo likiwa kuchafua serikali na kujijenga kisiasa
Wanajua...
1. Bilal bin Rabah (RA):
Aliteswa kwa kulazwa juu ya mchanga wa jua kali huku akiwekewa jiwe kubwa kifuani, lakini aliendelea kusema "Ahad, Ahad" (Mmoja, Mmoja).
2. Ammar bin Yasir na wazazi wake...
Siasa za Tanzania ziishie Tanzania zisivuke mipaka. Chuki za serikali kwa Chadema zisiliingize Kanisa. Kanisa ni kubwa kuliko chama chochote cha siasa nchini, kiwe CCM au CHADEMA kimuundo...
Hapo nyuma kidogo palisemwa kuwa Taifa lilipofikia linahitaji rais dikteta.
Dikteta akaingia na akatawala kidikteta kweli kweli
Upinzani makaminywa mazaga
Vyombo vya habari vikaminywa mazaga...
Naanza pata picha kwamba Rais Magufuli huenda hakuwa Mbaya kivile na aliyekuwa Makamu wake wa Raisi ndie alikuwa ana mshauri mambo mabaya.
Make huyu wa sasa mambo anayo yafanya hata Magufuli...
Hii ndio njia pekee na dawa ya Mua40 Itakayokomesha hicho kikundi cha kigaidi kisichojulikana na vyombo vya ulinzi na usalama Tanzania.
Kinachoteka watu mchana-usiku kupoteza na kuua raia Nchini...
Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi,Rais anayeheshimika na kupendwa na watanzania kwa kiwango cha juu utafikiri pesa,hii leo ametua na kuingia ndani ya chuo cha...
Hivi who tf aliwaambia kuwa viongozi wa dini hawaruhusiwi kujihusisha na siasa? Mbona mnatunga sheria kichwani kwenu alafu mnaanza ku-suppress watu wa Mungu as if wao sio citizens? This is some...
Kuna vitu vizuri na vibaya ambavyo watanzania wanavijua kuhusu CCM, Serikali, viongizi na Katiba yao, lakini wananchi bado wanaona kuwa mazuri bado ni mengi kukiko mabaya yao.
Ndio maana bado...
Yanapojadiliwa mambo ya Tanganyika yasiyo ya Muungano, ni kwanini wabunge toka Zanzibar wasiwe wanatoka nje ya bunge na kuwaachia wabunge wa Tanganyika kujadili mambo yanayowahusu watanganyika...
Ndugu zangu hapa nilipo sielewi napitia kipindi kigumu sana.
Ipo hivi...
Mimi ni mtu niliye sensitive sana mtu anapoonewa au kuona mtu anadhurumiwa haki yake hii kitu inaniumizaga sana...
Nimekutana na hii Article iliyoandikwa mwaka 2015 na Jean Paul Romeo Rugero kwenye mtandao wa HIMA-TUTSI EMPIRE | African Agenda – A new perspective on Africa imenisisimua. Na hasa ni kuhusu hawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.