Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Huwezi Kuta habari kwa kina za masuala mazito yanayolikumba taifa hili UTV. Hii nchi ni yetu sote sio ya CCM pekee kuonesha habari ambazo ni za kusifia TU mama anaupiga mwingi. Kuna habari za...
13 Reactions
16 Replies
1K Views
Tanzania wamesheherekea kweli? Hata hapa Jf sijaona shamrashamra Mlale unono 😁
0 Reactions
0 Replies
81 Views
Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Lindi, Mparuka Hashim Mtopela akiongea na wajumbe wa wilayani hapo katika mkutano wa baraza la Chama cha Mapinduzi. Kupata matukio...
2 Reactions
7 Replies
926 Views
Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Boniphace Mwabukusi amesema anataka Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu ufanyika bila mabomu wala virungu. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila...
0 Reactions
0 Replies
333 Views
Hamjambo wote! Bado ninaendelea kujiuguza lakini naendelea vizuri. Miaka kadhaa iliyopita wakati wa JPM niliwahi kuandika kuwa anapotawala Kiongozi Mkristo nchi inakuwa kwenye Hali ngumu huku...
30 Reactions
106 Replies
4K Views
Mara nyingi sana huyu jamaa anakuja na threads za kuchochea migongano na kuondoa umoja katika siasa. Hata suala la Uongozi wa nchi hulichukulia kwa mtizamo huo makusudi ili sasa madhehebu...
11 Reactions
42 Replies
2K Views
Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Kata ya Manzese, Boniface Shauritanga, amesema vijana wanahitaji kuungwa mkono ili kuhakikisha kila tukio la chama linafanikiwa. Ameongeza kuwa ni muhimu kwa...
0 Reactions
0 Replies
200 Views
Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu amegoma kusikiliza kesi ya Uhaini inayomkabili kwa njia ya mtandao hii ni kwa mujibu wa mawakili wake. Lissu alipaswa kufikishwa Mahakamani leo ili kufatilia...
55 Reactions
446 Replies
25K Views
Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Dayosisi ya Morogoro Jacob Mameo Ole Paulo, akiongea katika ibada ya Ijumaa Kuu katika usharika wa Ifakara Mjini, ametoa wito kwa serikali kuangalia upya...
8 Reactions
25 Replies
2K Views
Salaam! Maendeleo ni kupiga hatua moja ndogo kwenda hatua ya juu Bora zaidi, sasa tujiulize, Sanduku la kura likinajisiwa, akaingia kiongozi Mkuu asiyetokana na ridhaa ya wananchi, Nini...
0 Reactions
3 Replies
448 Views
Balozi wa Tanzania nchini Uswidi, Mhe. Mobhare Matinyi (kulia katikati) akizungumza na maafisa itifaki wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Ufalme wa Uswidi pamoja na maafisa wa ubalozi wa Tanzania nchini...
0 Reactions
0 Replies
302 Views
Hatimaye kijana Shadrack Yusuph Chaula (24) mkazi wa kijiji cha Ntokela kata ya Ndanto Tukuyu wilayani Rungwe, ameachiwa huru kutoka mikononi mwa jeshi la magereza baada ya kufanikiwa kulipa faini...
6 Reactions
119 Replies
10K Views
Mawakili, Peter Kibatala na Jebra Kambole wanaomwakilisha Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu katika kesi za uhaini na kuchapisha taarifa za uongo mitandaoni wamelalamikia kauli zilizotolewa na...
8 Reactions
27 Replies
2K Views
Taarifa zilizoibuliwa leo nje ya Mahakama kutoka kwa Mawakili waliopeleka kesi ya Mkataba mbovu wa Bandari , wamemtaja wazi wazi Mkuu wa Mkoa huo Juma Homera kwamba hafai kuongoza Mkoa wa Mbeya...
10 Reactions
46 Replies
7K Views
Naona wale waimba mapambio wa mitano tena wamekata pumnzi,vipi wachambuzi wa mambo wataimili mpaka October?au ndiyo wameanza kuingia mitini mmojammoja
1 Reactions
6 Replies
630 Views
Demokrasia hasa hii ya vyama vingi sio utamaduni mkongwe katika uongozi wa nchi nyingi duniani. Kihistoria mfumo mkongwe wa uongozi ni mfumo wa kifalme. Katika mfumo huu wakuu wa nchi hawapati...
3 Reactions
5 Replies
408 Views
1. Amani pasipo haki, Ni wapi umeiona?, Kwa hadithi sikumbuki, Ajabu'li kuliona, Walo juu mishikaki, wa chini hakuna dona, Haki Ikikosekana, Amani I Mashakani 2. Wanahubiri Usawa, wanaiba...
1 Reactions
0 Replies
343 Views
Ukiangalia matukio yanayotokea dhidi ya viongozi na wafuasi wa chadema ni wazi kabisa kama wameishiwa mbinu na wanategemea Mungu atende miujuza Ukisoma tweet za lema au heche unasikitika sana na...
6 Reactions
53 Replies
2K Views
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amehitimisha ziara yake katika Jamhuri ya Kisoshalisti ya Viet Nam. Katika ziara hiyo ameshiriki...
0 Reactions
4 Replies
397 Views
Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais Mstaafu, Jaji Joseph Warioba akitoa maoni katika kongamano la kitaifa kuhusu uchaguzi mkuu wa 2025 lililoandaliwa na Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS)...
8 Reactions
6 Replies
725 Views
Back
Top Bottom