Nimemsikia Waziri mkuu Mwigulu Nchemba akisema huwa akipita mitandaoni huwa anakutana na komenti zinazosikitisha hasa inapotolea misiba ya wanaCCM
Nimepata picha kumbe na wao huwa wanaumia.
Sasa...
GHATI CHOMETE AUNGANA NA WAOMBOLEZAJI KATIKA IBADA YA KUAGA MWILI WA MHE. LUKUVI, BUNGENI DODOMA
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara, Mhe. Ghati Zephania Chomete, tarehe 27 Machi 2026 ameungana na...
Kila anaye soma hilo neno hapo anapata shida kuelewa kwanini muandishi ameandika maneno hayo hapo juu, ila kwa mwenye macho ya ndani atagunduwa taifa hili bendera yake ktk macho yakawaida...
Nobert Hongoli na Wolter John Mbaga (Mhariri) Lumen Radio ya Karatu wamekamatwa na kuwekwa rumande Kwa AMRI ya DC
Lameck Karanga na wamekamatwa leo March 27,2026 asubuhi baada ya agizo la Mkuu...
Kufuatia kusambaa kwa video kwenye mitandao ya kijamii ikimuonesha kijana anayedaiwa kuwa Mtanzania akishambuliwa nchini Afrika Kusini, Balozi wa Tanzania nchini humo, James Bwana, amesema...
Mwigulu alisema akipendwa na wanasingida imetosha na kwa muda mrefu amejitambulisha kama Mnyiramba.
Sina tatizo na kuongea kisukuma ila yasije kuwa ya Kamala Harris kabla ya kugombea urais...
Hamjambo Wote!
1. Sijui kama naeleweka.
Yaani nikuumize, nikutese, nikuharibie maisha alafu Siku yamenipata ulete ngonjera za ajabuajabu. Sijui UTU. Sijui Imani!
2. Aiseeh! Hakuna cha utu kwa...
Ndugu zangu Watanzania,
Kiukweli ninamuamini na kumkubali sana Rais Samia . Ni kiongozi Ambaye naamini ni mtu sahihi kuendelea kuliongoza Taifa letu. Nina Mwamini kuliko Mtu mwingine yeyote yule...
Kwenu waheshomiwa
Naona mikwara ya viroja inaendelea juu ya wale wanaomboleza visivyo wapendeza wenye mamlaka bandia.
Wengine wanatoka maandiko, wengine wanatishia kufungia mitandao na ujinga...
Kuna chemba ya maji taka inayotiririsha uchafu kando ya Soko jipya la Kariakoo, ambalo limezinduliwa hivi karibuni na Rais Samia Suluhu Hassan. Chemba hiyo ipo kwenye kona ambapo daladala za...
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, ametoa wito kwa Watanzania kuwa makini na matumizi ya mitandao ya kijamii, akisema baadhi ya watu wanaposhiriki mitandaoni...
Helolloooo
Hizi off target hatuzipendi tunataka malaika watoa roho wapige panapostahili.
Tutamaliza bia zote hadi tutaenda kunywea kwenye masufuria ya viwandani.
Wakuu,
Mossy Lukuvi, ambaye ni mdogo wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratıbu na Wenye Ulemavu) na Mbunge wa Jimbo la Isimani, William Lukuvi, amewaomba msamaha...
Habari wakuu
Nimepita mitandaoni nimekutana na clip ya mzee Wasira akikemea kuhusu watu kujiandaa na 2030, toka uchaguzi mkuu ulipokishwa mpaka sasa hata mwaka haijatumia.
Hii kitaalamu imekaaje...
Wakuu, nimejawa na hasira tu na hii foleni kuanzia Mikocheni mpaka Mbezi Beach, kumeshona balaa, ukisogea hatua moja ndo unalala hapo hapo mpaka unasahau kama upo kwenye chombo cha usafiri
Yote...
Ni muhimu sana kwa wana CCM wenye nia na wanaojianda kwaajili ya nafasi hiyo sasa, labda wajipange kwa 2040-2050. Agenda ya taifa kwa mwaka 2030-2040 ni Dr.Emmanuel John Nchimbi, full stop...
Rais Samia umekosea sana kutoa msamaha kwa wahalifu wa October 29.
Unadhani utapendwa na watu wote?
Unadhani wapinzani watabadili mtizamo wao juu yako?
Wewe ndiye uliwapa kupumua wapinzani baada...
Ukienda msibani kwa Lukuvi, wameweka bango lenye maneno ya kwenye Bibilia kutoka 2 Timotheo 4:7
"Nimevipiga vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza, Imani nimeilinda"
Wazee wa zamani naomba...