Baiskeli, Pikipiki, Khanga , tisheti na kofia mligawiwa kama njugu.
Mkakataa waziwazi kiongozi wenu. Mkasombwa, maloli matrekta na matela ya punda kujaza mikutano.
Leo hii mnatumia hizo baiskeli...
Wakuu,
Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba amependekeza kupunguza kiwango cha ushuru wa bidhaa kwenye vinywaji vya kuongeza nguvu (energy drinks) vinavyozalishwa ndani ya nchi kutoka Sh561 kwa...
Askofu Maximillian Machumu wa Kanisa la Askofu Gwajima, Glory Of Christ Tanzania Church amesema Jumapili wataendelea na Ibada kama kawaida kwasababu Kanisa lao halijafungiwa
"Nafasi ya kujitetea...
Rais Samia katika ziara zake anazofanya amezoea kusifiwa kila anakopita, hali inayojenga taswira kuwa hapendi kuchalenjiwa au kuulizwa maswali magumu kuhusu utekelezaji wa maendeleo. Katika hali...
Agizo la RAIS ni kuwa tume imhoji aliyesema tutakinukisha alikuwa na maana Gani?
Je itamfata jela au ataletwa ukumbi wa Benk Kuu?
Maandamano ya mkoa wa Dsm yalianzia ubungo kwa KANISA la...
Mhe Rais wewe ni mtanzania hauna Taifa kingine pia wewe ni mwanadamu jaribu kufikiria Magumu wanayopitia Chadema. Alafu fikiria ingekuwa ni wewe maana kuwa mpinzani siyo ( sin).
Let Chadema be...
Pamoja na mauzauza yote yanayofanywa na Yoweri Museveni kwenye uchaguzi unaoendelea huko Uganda, angalau kuna mambo anayafanya kiungwana.
Nimefuatalia vituo kadhaa vya kupigia na kuhesabu kura...
Familia ya wanamtandao wamejazana JF kuanzisha mijadala inayohanikiza kuwa tuna serikali.
Tanzania leo inaongozwa na kundi la wahaini waliobaka Katiba, walioharibu mifumo ya demokrasia na...
Waumini wa kanisa katoliki wameeleza kusikitishwa na kauli zilizotolewa na Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Dkt. Charles Kitima, wakionyesha kushangazwa namna...
Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano, Brenda Rupia ametoa taarifa hii iliyotolewa na
Gaston Galubindi, Mkurungenzi wa Sheria CHADEMA Taifa, kuhusu Kesi ya Uhaini ya Mwenyekiti wa Chama cha...
Kwa vile Tume hiyo haiaminiki na imekataliwa n.a. wananchi wote, Ni Vema mnapohudhuria vikao vyake n.a. hasa nyinyi mnaoitwa mmoja mmoja ni Muhimu mno mkatoa Taarifa hapa jf ili tuwawekee ulinzi...
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 15, 2026 amezungumza na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu, ofisini kwa Waziri Mkuu Mlimwa jijini Dodoma.
Tukubali tumeziwa tujifunze kutoka Kenya. Badala ya kuweka ushindani usio na sababu na majirani zetu na ndugu zetu wa Kenya kama taifa tungenufaika kwa kujifunza mazuri na kuacha mabaya badala ya...
Katika miaka ya karibuni, kuzimwa kwa intaneti wakati wa uchaguzi kumegeuka kuwa jambo la kawaida katika baadhi ya nchi za Afrika. Mataifa kama Tanzania na Uganda yameshuhudia kufungwa kwa...
Raisi Magufuli tatizo lake mmoja hakuwa rafiki mzuri kwa wale watu ambao wamemjua kabla hata ya siasa.
mifano miwili
1. Kuna mtu ambaye yeye ndiye alimshauri Magufuli agombee kwa CCM, yeye ndiye...
Mtu Ambaye hata ndani ya chama chake alikatwa n.a. akakubali na kunyamaza, anajua nini kuhusu Mauaji ambayo yalielekezwa n.a. Watawala?
Ni kweli kwamba Othman Chande amepewa Majina ya wanaotakiwa...
Nukuu hii aliwahi kuitoa Hayati Nelson Mandela alipokuwa akiwapa moyo wapigania uhuru na wapinga ubaguzi wa Afrika Kusini kwa yote yaliyowapata kutoka kwa Makaburu.
Naomba niazime nukuu hii na...
Hili ni swali fupi sana lakini linaweza kuwa na majibu marefu sana, Na kwa kweli Nchini Tanzania Watu wanatekwa na kupotezwa, Hilo halina Ubishi.
Mambo haya yalipofanyika awamu ya 5 aliyeamuru...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.