Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wakili Peter Madeleka amesema kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani hana mamlaka Kikatiba ya kutoa Amri kwa Majeshi au mkuu wa Jeshi la Polisi. Akizungumza leo Jijini Dar es salaam, Madeleka amesema...
0 Reactions
0 Replies
201 Views
  • Redirect
Ni sifa au dongo?👇👇👇 "...Natoa PONGEZI kwa Serikali kwa kugundua MIPANGO MIBAYA dhidi ya nchi yetu. Ili kuendelea KUIMARISHA USALAMA nchini, naiomba Serikali IWALIPE VIJANA FEDHA NYINGI ILI...
2 Reactions
Replies
Views
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Juni 27, 2026 akizungumza na wananchi wa Ikungi, Mkoani Singida amesema Pia soma > Waziri Katambi apiga marufuku mikutano ya siasa kwa vyama vyote Kuna...
2 Reactions
58 Replies
838 Views
Kwa kweli pongezi ziwafikie Kamishna wa DCEA Aretas Lyimo, pamoja na timu yake.Huyu mzee kapiga sana kazi kwa kweli operesheni zimeonekana kuwa na matokeo. Tofauti na miaka ya 2005 mpaka 2015...
1 Reactions
0 Replies
55 Views
Kuna hii poster ya CCM ambayo inasambaa kwenye mitandao ya kijamii Kwa hiyo mikutano ya CCM ni ruksa ila kwa wapinzani nongwa? Kwao ni ruksa? Soma Pia: Ufafanuzi kuhusu taarifa ya mkutano wa...
3 Reactions
9 Replies
371 Views
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, ametoa onyo hilo alipokuwa akijibu swali la mwandishi wa habari aliyeuliza kuhusu madai ya baadhi ya viongozi kujilimbikizia mali kutokana na mikopo ya...
8 Reactions
56 Replies
1K Views
  • Redirect
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amesema kutoa Kitambulisho cha Taifa (NIDA) unapotembelea nyumba ya kulala wageni hakumaanishi kuanika taarifa binafsi, kwani kitambulisho hicho...
0 Reactions
Replies
Views
1. Kwa kunukuu maneno ya Joseph O. Mbilinyi (SUGU) na kwa kuwa simu zake zote zilipotea katika purukushani yake na polisi - Mbeya, nitasimulia kidogo. 2. SUGU na John Mnyika walipigwa sana...
12 Reactions
88 Replies
4K Views
Dar es Salaam. Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imewataja vigogo wa serikali, wanasiasa na viongozi wa dini watatu walionufaika na uchotwaji wa Sh306 bilioni katika Akaunti ya Tegeta...
5 Reactions
53 Replies
6K Views
Naona kumekuwa kimya mno! Kuna lolote kweli linaloendelea? Who is pushing the agenda? Mbina ka eneo hako tumekasahau? WHO IS PUSHING THE AGENDA?
4 Reactions
18 Replies
376 Views
Huwa nashangaa chuki baina ya watoto wa kiarabu wa baba mmoja waitwao wakristo na waislamu. Ukiwaangalia walivyofanana kama mapacha, unashangaa ni kwanini wanabagazana kubaguana, na hata...
3 Reactions
19 Replies
213 Views
Mchambuzi wa masuala ya siasa nchini, Paternus Niyegira, ameibua mjadala mzito kufuatia kauli ya hivi karibuni ya Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Patrobas Katambi, inayoonekana kulenga kuzuia...
0 Reactions
1 Replies
183 Views
Ndugu zangu Watanzania, Chama cha Democratic Baada ya Kupoteza katika Uchaguzi Uliopita kumeibuka tetesi na minong'ono mingi sana ya chama cha Democratic Kumuadaa Michelle Obama Mke wa Barack...
3 Reactions
29 Replies
376 Views
Mchambuzi wa Siasa, Paternus Niyegira aliyasema hayo alipokuwa akihojiwa na Kituo cha Crown FM, Juni 26, 2026.
1 Reactions
1 Replies
92 Views
Kwenye tathimini yao juu ya kwanini Oct 29 hawakufanikiwa kuiangusha serikali wakagundua kuwa mikoa mingi haikushiriki kwenye vurugu zile. Na sababu kubwa ya kutoshiriki wakagundua ni uhamasishaji...
1 Reactions
77 Replies
791 Views
Kufungia Mikutano tunarudi zama ambazo si sahihi za kuleta utengamano wa kitaifa, hatujapona makovu ya Oktoba 29, Serikali inazungumza maridhiano, wakati huohuo inafunga milango ya watu kupumua...
1 Reactions
1 Replies
150 Views
Viongozi wetu, tena wa CCM na Serikali, wameiharibu kabisa Masaki na Oysterbay, kutokana na kuharibu Mipango Miji. Taratibu, Masaki na Oysterbay zinageuka kuwa Upanga , kumbi za Disco, makunywaji...
12 Reactions
34 Replies
589 Views
Tarehe 01 May LATRA ilitangaza nauli mpya ila wamiliki wa vyombo vya usafiri walijiongezea kuanzia 50%, mfano Arusha-Babati nauli ilikuwa sh 10,000 sasa hivi sh 15,000 na hakuna cha LATRA, Waziri...
11 Reactions
25 Replies
740 Views
Why public debate may be the missing ingredient in Tanzania’s PPP ambitions Economic development is often discussed through the language of numbers. Governments announce growth targets, economists...
4 Reactions
20 Replies
316 Views
Back
Top Bottom