Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Baiskeli, Pikipiki, Khanga , tisheti na kofia mligawiwa kama njugu. Mkakataa waziwazi kiongozi wenu. Mkasombwa, maloli matrekta na matela ya punda kujaza mikutano. Leo hii mnatumia hizo baiskeli...
3 Reactions
5 Replies
173 Views
Wakuu, Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba amependekeza kupunguza kiwango cha ushuru wa bidhaa kwenye vinywaji vya kuongeza nguvu (energy drinks) vinavyozalishwa ndani ya nchi kutoka Sh561 kwa...
4 Reactions
36 Replies
2K Views
Askofu Maximillian Machumu wa Kanisa la Askofu Gwajima, Glory Of Christ Tanzania Church amesema Jumapili wataendelea na Ibada kama kawaida kwasababu Kanisa lao halijafungiwa "Nafasi ya kujitetea...
9 Reactions
39 Replies
3K Views
Rais Samia katika ziara zake anazofanya amezoea kusifiwa kila anakopita, hali inayojenga taswira kuwa hapendi kuchalenjiwa au kuulizwa maswali magumu kuhusu utekelezaji wa maendeleo. Katika hali...
8 Reactions
69 Replies
5K Views
Agizo la RAIS ni kuwa tume imhoji aliyesema tutakinukisha alikuwa na maana Gani? Je itamfata jela au ataletwa ukumbi wa Benk Kuu? Maandamano ya mkoa wa Dsm yalianzia ubungo kwa KANISA la...
8 Reactions
18 Replies
415 Views
Mhe Rais wewe ni mtanzania hauna Taifa kingine pia wewe ni mwanadamu jaribu kufikiria Magumu wanayopitia Chadema. Alafu fikiria ingekuwa ni wewe maana kuwa mpinzani siyo ( sin). Let Chadema be...
7 Reactions
48 Replies
2K Views
Pamoja na mauzauza yote yanayofanywa na Yoweri Museveni kwenye uchaguzi unaoendelea huko Uganda, angalau kuna mambo anayafanya kiungwana. Nimefuatalia vituo kadhaa vya kupigia na kuhesabu kura...
27 Reactions
38 Replies
946 Views
Familia ya wanamtandao wamejazana JF kuanzisha mijadala inayohanikiza kuwa tuna serikali. Tanzania leo inaongozwa na kundi la wahaini waliobaka Katiba, walioharibu mifumo ya demokrasia na...
15 Reactions
21 Replies
223 Views
Waumini wa kanisa katoliki wameeleza kusikitishwa na kauli zilizotolewa na Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Dkt. Charles Kitima, wakionyesha kushangazwa namna...
5 Reactions
32 Replies
529 Views
Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano, Brenda Rupia ametoa taarifa hii iliyotolewa na Gaston Galubindi, Mkurungenzi wa Sheria CHADEMA Taifa, kuhusu Kesi ya Uhaini ya Mwenyekiti wa Chama cha...
10 Reactions
40 Replies
1K Views
Kwa vile Tume hiyo haiaminiki na imekataliwa n.a. wananchi wote, Ni Vema mnapohudhuria vikao vyake n.a. hasa nyinyi mnaoitwa mmoja mmoja ni Muhimu mno mkatoa Taarifa hapa jf ili tuwawekee ulinzi...
13 Reactions
15 Replies
406 Views
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 15, 2026 amezungumza na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu - Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu, ofisini kwa Waziri Mkuu Mlimwa jijini Dodoma.
2 Reactions
3 Replies
141 Views
Tukubali tumeziwa tujifunze kutoka Kenya. Badala ya kuweka ushindani usio na sababu na majirani zetu na ndugu zetu wa Kenya kama taifa tungenufaika kwa kujifunza mazuri na kuacha mabaya badala ya...
7 Reactions
8 Replies
182 Views
Katika miaka ya karibuni, kuzimwa kwa intaneti wakati wa uchaguzi kumegeuka kuwa jambo la kawaida katika baadhi ya nchi za Afrika. Mataifa kama Tanzania na Uganda yameshuhudia kufungwa kwa...
3 Reactions
4 Replies
158 Views
Raisi Magufuli tatizo lake mmoja hakuwa rafiki mzuri kwa wale watu ambao wamemjua kabla hata ya siasa. mifano miwili 1. Kuna mtu ambaye yeye ndiye alimshauri Magufuli agombee kwa CCM, yeye ndiye...
10 Reactions
28 Replies
693 Views
Mtu Ambaye hata ndani ya chama chake alikatwa n.a. akakubali na kunyamaza, anajua nini kuhusu Mauaji ambayo yalielekezwa n.a. Watawala? Ni kweli kwamba Othman Chande amepewa Majina ya wanaotakiwa...
32 Reactions
41 Replies
1K Views
Nukuu hii aliwahi kuitoa Hayati Nelson Mandela alipokuwa akiwapa moyo wapigania uhuru na wapinga ubaguzi wa Afrika Kusini kwa yote yaliyowapata kutoka kwa Makaburu. Naomba niazime nukuu hii na...
2 Reactions
22 Replies
2K Views
Hili ni swali fupi sana lakini linaweza kuwa na majibu marefu sana, Na kwa kweli Nchini Tanzania Watu wanatekwa na kupotezwa, Hilo halina Ubishi. Mambo haya yalipofanyika awamu ya 5 aliyeamuru...
17 Reactions
115 Replies
4K Views
  • Redirect
Vitendo vya utekaji na mauwaji ni ishara kuwa hatuna mamlaka inayoisimamia wananchi bali vibaka wanaotumia nafasi nyeti za nchi kujinufaisha.
1 Reactions
Replies
Views
Back
Top Bottom