Shanily
JF-Expert Member
- Nov 4, 2024
- 958
- 1,805
Huwa nawashangaa Hawa wabunge na viongozi wa upinzani wakishupaza shingo zako "NO REFORM NO ELECTION" Ni mara ngapi wamechangia katika maendeleo ya nchi Yao kupitia pesa zao za mifukoni wanazolipwa na serikali wanayoipigia kelele!?. Mbona pesa wanazolipwa na serikali hiyo hawazikatai wanazipokea, kama humtaki mtu na siasa zake na chake usile.
Wanakusanya mishahara na marupurupu kibao kwenda kwenye mifuko Yao huoni hata mara Moja wakijitolea pesa za mifukoni kwenye ujenzi wa nchi, kazi kusubiri serikali ndo ifanye, wangekuwa na uchungu na hii nchi wangeanzia hapo.
Aliyesema siasa ni mchezo mchafu hakukosea, ni kama unarusha jiwe gizani hujui litampata nani.
Na baadhi ya Watanzania wameshupaza shingo "No reform no Election", kama mtu ameshindwa kuleta maendeleo kwenye Jimbo lake kwa miaka nenda Rudi, wewe atakuletea Nini!?.
Kila mwanasiasa ni mchumia tumbo , zindukeni acheni kuingizwa mkenge na wanasiasa.
Wanakusanya mishahara na marupurupu kibao kwenda kwenye mifuko Yao huoni hata mara Moja wakijitolea pesa za mifukoni kwenye ujenzi wa nchi, kazi kusubiri serikali ndo ifanye, wangekuwa na uchungu na hii nchi wangeanzia hapo.
Aliyesema siasa ni mchezo mchafu hakukosea, ni kama unarusha jiwe gizani hujui litampata nani.
Na baadhi ya Watanzania wameshupaza shingo "No reform no Election", kama mtu ameshindwa kuleta maendeleo kwenye Jimbo lake kwa miaka nenda Rudi, wewe atakuletea Nini!?.
Kila mwanasiasa ni mchumia tumbo , zindukeni acheni kuingizwa mkenge na wanasiasa.