Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wanabodi, Hili ni swali tuu najiuliza kuhusu hizi mbio za Mwenge wa Uhuru zinazoendelea sasa. Kwenye Mwenge kinachokimbizwa nchi nzima, jee kweli ni ule mwanga tuu ili kumulikia na kuangazia, au...
44 Reactions
253 Replies
35K Views
Ameandika Zitto Kabwe kwenye ukurasa wake wa X zamani Twitter .... Ni muhimu kutambua kwamba historia itamkumbuka Polepole si kama mwanamageuzi, bali kama mmoja wa wasanifu wa kuzorota kwa...
13 Reactions
74 Replies
3K Views
Ndugu wana JF na Watanzania wenzangu, Amani ya Mwenye Enzi Mungu iwe juu yenu! Nimemsikiliza Mh; Balozi Hamphrey Polepole maelekezo yake leo 29-08-2025, ikiwemo kuhusiana na kifo cha mpendwa...
9 Reactions
147 Replies
5K Views
Niliwahi kuleta uzi hapa,jinsi ilivyo ngumu kwa hawa matajili wa madawa ya kulevya na mafisadi papa kukamatika bila nguvu ya ziada kutumika. Hii ni kwa sababu hawa jamaa wanajua sana kutumia...
145 Reactions
267 Replies
36K Views
Bakari Kazungu anadaiwa kutekwa na ‘watu wasiojulikana’ na kufanyiwa vitendo viovu. NOTE: Video imeondolewa ili kuondoa sehemu sensitive na kulinda utu wake Soma machache aliyowahi sema: 1) CDE...
18 Reactions
194 Replies
5K Views
Kama ukiweza kuipata na kuisoma KATIBA YA KENYA utagundua kuwa ni moja ya KATIBA makini zinazojitosheleza kwenye kila nyanja za KITAIFA katika zama hizi. Tatizo la Afrika Mashariki, hususan Kenya...
9 Reactions
73 Replies
634 Views
Bila kujali nilikuwa upande wa chama tawala au chama cha upinzani, uamuzi wa kutopiga kura nilifanya kwa sababu, kimantiki, mazingira ya uchaguzi yalishatabiri mshindi. Katika chaguzi za 2020 na...
6 Reactions
12 Replies
101 Views
Wamechoka kuchangia chama chao, wamechoka kukemea ufisadi ndani ya chama chao, wamechoka kulipia ada za uanachama wao n.k nini kinaweza kua chanzo cha uchovu huu wanachama wa chadema? Mungu...
2 Reactions
33 Replies
177 Views
Kama ilivyokuwa Katavi University of Science and Technology (KUST) vile vile Ile campus ya Mchongo kule Ruangwa inaenda kuwa nyumba ya popo! Mzee wamemtema mapema asubuhi
8 Reactions
33 Replies
2K Views
Dar es Salaam. Mwili wa mwanamume umekutwa katika eneo la Makuburi, Dar es Salaam, ukiwa hauna jeraha linaloonekana, huku jitihada za kuutambua zikishindikana hadi saa tano kamili asubuhi ya leo...
3 Reactions
25 Replies
339 Views
Watu wengi tulitarajia atoe hotuba kali sana kupinga haya masuala ya utekaji na mauji. Lakini hata alipo uliwa Mzee Ali Kibao, rais alitamka kifo ni kifo tu👇
0 Reactions
5 Replies
106 Views
Mkuu wa Mkoa wa Dar kaagiza Magari yote yarudi Kituo cha mabasi au kituo kikuu cha Dar. Ajabu sehemu ya kuegesha imekosekana. Unaelekezwa ukitoka Kigoma ukashusha abiria uondoke Mabasi mengine...
6 Reactions
50 Replies
835 Views
Habari za majukumu wana-JF (JamiiForums), Heshima kwenu wakuu wote wa jukwaa hili adimu na huru la kutoa maoni. Natumai mko salama na mnaendelea kujenga taifa. Leo nimeona nije hapa jukwaani...
12 Reactions
64 Replies
585 Views
Ramesh Patel Mgombea Ubunge Ukonga Dar, akamatwa na Takukuru akitoa Rushwa Check Point Pugu Je kwa mfumo huu wa kutoa rushwa katika Hatua ya Kura za maoni na hata kampeni kubwa,wananchi wataweza...
1 Reactions
48 Replies
14K Views
Inasemekana Malori na ICD zote kuhamishiwa Bandari kavu ya Kwala kama Magufuli alivyopanga na kujenga bandari kavu na kupeleka Treni kule. #Magu- mtanikumbuka.
5 Reactions
13 Replies
185 Views
Mimi kama raia wa kuzaliwa wa nchini Tanzania ninayo haki ya kuyafahamu yanayoendelea kwenye nchi yangu , naomba mwenye majibu ya maswali yangu anisaidie . natanguliza shukrani .
8 Reactions
141 Replies
25K Views
Dar Es Salaam - Ni jiji lenye ofisi nyingi za uongozi wa kitaifa na East Africa commercial city Dodoma - Ni jiji linalowekewa bajet kubwa sana ili kuhamishia ofisi za serikali huko Arusha - Ni...
4 Reactions
16 Replies
285 Views
Aliye karibu na mwandishi huyu wa The Chanzo, analiwa timing ili atokomezwe. Mama hataki kabisa kumuona tena, inakuwaje kijana wa Kiislam hamuungi mkono wala kumsifia kwenye media? Afutike...
21 Reactions
46 Replies
1K Views
Ni kama vile ingewezekana mawakili wa Serikali nao wangeomba kuendesha kesi dhidi ya Tundu Lissu kwa kificho. Kwenye video hii Kuna kila shaka kwamba mawakili wa serikali hawapendi sura zao...
10 Reactions
40 Replies
584 Views
Ilani ya CCM ya 2025-2030 Ibara ya 2.6 inayohusu uimaridhaji Utawala Bora na Demokrasia kifungu (v) wametoa ahadi tatu Kwa Polisi, Magereza, uhamiaji na Zimamoto ambazo ni;- 1. Mishahara...
0 Reactions
2 Replies
57 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…