Wanabodi,
Hili ni swali tuu najiuliza kuhusu hizi mbio za Mwenge wa Uhuru zinazoendelea sasa. Kwenye Mwenge kinachokimbizwa nchi nzima, jee kweli ni ule mwanga tuu ili kumulikia na kuangazia, au...
Ameandika Zitto Kabwe kwenye ukurasa wake wa X zamani Twitter ....
Ni muhimu kutambua kwamba historia itamkumbuka Polepole si kama mwanamageuzi, bali kama mmoja wa wasanifu wa kuzorota kwa...
Ndugu wana JF na Watanzania wenzangu,
Amani ya Mwenye Enzi Mungu iwe juu yenu!
Nimemsikiliza Mh; Balozi Hamphrey Polepole maelekezo yake leo 29-08-2025, ikiwemo kuhusiana na kifo cha mpendwa...
Niliwahi kuleta uzi hapa,jinsi ilivyo ngumu kwa hawa matajili wa madawa ya kulevya na mafisadi papa kukamatika bila nguvu ya ziada kutumika.
Hii ni kwa sababu hawa jamaa wanajua sana kutumia...
Bakari Kazungu anadaiwa kutekwa na ‘watu wasiojulikana’ na kufanyiwa vitendo viovu.
NOTE: Video imeondolewa ili kuondoa sehemu sensitive na kulinda utu wake
Soma machache aliyowahi sema:
1) CDE...
Kama ukiweza kuipata na kuisoma KATIBA YA KENYA utagundua kuwa ni moja ya KATIBA makini zinazojitosheleza kwenye kila nyanja za KITAIFA katika zama hizi.
Tatizo la Afrika Mashariki, hususan Kenya...
Bila kujali nilikuwa upande wa chama tawala au chama cha upinzani, uamuzi wa kutopiga kura nilifanya kwa sababu, kimantiki, mazingira ya uchaguzi yalishatabiri mshindi.
Katika chaguzi za 2020 na...
Wamechoka kuchangia chama chao, wamechoka kukemea ufisadi ndani ya chama chao, wamechoka kulipia ada za uanachama wao n.k
nini kinaweza kua chanzo cha uchovu huu wanachama wa chadema?
Mungu...
Kama ilivyokuwa Katavi University of Science and Technology (KUST) vile vile Ile campus ya Mchongo kule Ruangwa inaenda kuwa nyumba ya popo! Mzee wamemtema mapema asubuhi
Dar es Salaam. Mwili wa mwanamume umekutwa katika eneo la Makuburi, Dar es Salaam, ukiwa hauna jeraha linaloonekana, huku jitihada za kuutambua zikishindikana hadi saa tano kamili asubuhi ya leo...
Watu wengi tulitarajia atoe hotuba kali sana kupinga haya masuala ya utekaji na mauji. Lakini hata alipo uliwa Mzee Ali Kibao, rais alitamka kifo ni kifo tu👇
Mkuu wa Mkoa wa Dar kaagiza Magari yote yarudi Kituo cha mabasi au kituo kikuu cha Dar. Ajabu sehemu ya kuegesha imekosekana.
Unaelekezwa ukitoka Kigoma ukashusha abiria uondoke Mabasi mengine...
Habari za majukumu wana-JF (JamiiForums),
Heshima kwenu wakuu wote wa jukwaa hili adimu na huru la kutoa maoni. Natumai mko salama na mnaendelea kujenga taifa. Leo nimeona nije hapa jukwaani...
Ramesh Patel Mgombea Ubunge Ukonga Dar, akamatwa na Takukuru akitoa Rushwa Check Point Pugu
Je kwa mfumo huu wa kutoa rushwa katika Hatua ya Kura za maoni na hata kampeni kubwa,wananchi wataweza...
Inasemekana Malori na ICD zote kuhamishiwa Bandari kavu ya Kwala kama Magufuli alivyopanga na kujenga bandari kavu na kupeleka Treni kule.
#Magu- mtanikumbuka.
Mimi kama raia wa kuzaliwa wa nchini Tanzania ninayo haki ya kuyafahamu yanayoendelea kwenye nchi yangu , naomba mwenye majibu ya maswali yangu anisaidie .
natanguliza shukrani .
Dar Es Salaam - Ni jiji lenye ofisi nyingi za uongozi wa kitaifa na East Africa commercial city
Dodoma - Ni jiji linalowekewa bajet kubwa sana ili kuhamishia ofisi za serikali huko
Arusha - Ni...
Aliye karibu na mwandishi huyu wa The Chanzo, analiwa timing ili atokomezwe.
Mama hataki kabisa kumuona tena, inakuwaje kijana wa Kiislam hamuungi mkono wala kumsifia kwenye media?
Afutike...
Ni kama vile ingewezekana mawakili wa Serikali nao wangeomba kuendesha kesi dhidi ya Tundu Lissu kwa kificho.
Kwenye video hii Kuna kila shaka kwamba mawakili wa serikali hawapendi sura zao...
Ilani ya CCM ya 2025-2030 Ibara ya 2.6 inayohusu uimaridhaji Utawala Bora na Demokrasia kifungu (v) wametoa ahadi tatu Kwa Polisi, Magereza, uhamiaji na Zimamoto ambazo ni;-
1. Mishahara...