Daa hii nchi sijui kama itapona makovu ya MO29.
Sasa Kuna TV mpya , ni online TV, imeanzishwa imepewa jina la MO29 TV.
Hii channel inapiga spana kweli kweli, imegeuka kilio Cha kusaga meno Kwa...
Ukifuatilia ziara ya Waziri Mkuu Dr. Mwigulu Nchemba ya hivi karibuni; utabaini kuwa kuna mamia kwa maelfu ya wananchi hujitokeza kwenye mikutano yake wakiwa na mabango, mafaili, nyaraka za...
Rais Samia, amesikitika kutangaza kifo cha William Vangimembe Lukuvi (Mb.), aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) pamoja na Mbunge wa Jimbo la...
Magari ya umeme ndio future ya usafiri ilipangwa kwa sasa; hata wanaozalisha magari wengi wao wanaweka 'hybrid systems' ili hayo magari yaweze kutumika hata pale magari yenye sumu ya moshi...
Ndugu zangu Watanzania,
Kwa Sasa Rais wetu Mpendwa ni Makamu Mwenyekiti Wa Umoja Wa Afrika. Hivyo kutokana na Umahiri wake wa kiuongozi,Akili kubwa, Maono Makubwa , Ushawishi wake ,Ujenzi wa hoja...
Nyota ya Rais Samia inazidi kuiwakia Tanzania.
Tanzania imechaguliwa kuwa Nchi ya 5 katika Bara la Africa Kwa Utalii wa Mikutano,Makongamano na Maonesho Kwa mwaka 2022 ikitoka kuwa namba 15 awamu...
Wanabodi
Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Nipashe, Jumapili ya leo
Hakuna Ubaya Wowote Kwa Mtanzania Yeyote Kuwa na Ndoto ya Kuwa Rais wa JMT!, Msiwatishe Bure Wenye Ndoto Hizo!.
Leo naomba...
Umeenda Kihonda, umetaka wananchi waeleze kero zao za ardhi. Mwananchi anakueleza wewe unamuinterrupt kwa kejeli na dharau kuwa "Hutaki kuhutubiwa".
Huyo mwananchi pengine ana watoto, ana mke...
Imebidi niwambie ukweli acheni ushabiki mkiwa kazini. Jana mlionyesha wazi kuwa kuegemea upande wa CCM-nyinyi ni wanachama/wapenzi wa CCM.
Masako ulipoanza tu kutangaza matokeo ya awali wakati...
Salaam, Shalom!
Nimefuatilia Kwa ukaribu jinsi waziri Jerry Slaa anavyofanya katika utatuzi wa migogoro ya ardhi, japo Bado ni mapema sana kusema kuwa anafanya vizuri, lakini Kwa sasa itoshe...
Wakuu,
Akizungumza leo kwenye tukio la kuaga mwili wa William Lukuvi Stephen Wasira alisema kwamba tatizo kubwa linaloikumbwa CCM ni kwamba haina viongozi mbadala
"CCM tuna matatizo kweli ya...
Samia ndio Rais Aliyetoa Ajira Nyingi Kwa Wananchi Kuliko Rais mwingine Yeyote Katika Historia ya Tanzania.
Yaani Toka 2021 amekuwa anamwaga maelfu ya Ajira Kila mwaka Kwa Vijana kiasi kwamba...
Huko CCM nikadhani uchawa ni kwa mwenyekiti wao tu kumbe hadi wabunge sasa hivi wanafanyiwa uchawa?
Madiwani mmekuwaje lakini?
========================================
Diwani kata ya Zingiziwa...
Wakuu,
Akiwa kwenye kile kipindi cha Cafe Talk, Silaa amesema kwamba kutokana na kufungiwa kwa X Tanzania, Serikali ime-discourage taasisi zake kutumia mtandao wa X ili kuendana na katazo hilo...
Makamu wa Rais mstaafu, Dk Philip Mpango, amesema atamkumbuka marehemu William Lukuvi kama kiongozi mwema na mshauri wa kweli huku akikumbushia kauli yake pindi hali ipokuwa ngumu yeye akiwa...
Imezuka kasumba, tabia na utamaduni kwa baadhi ya watanzania kushangilia vifo vya viongozi wa serikali kitendo ambacho kijamii sio cha kiungwana na kwa kweli kinaumiza hasa kwa familia...
Naona wanaendelea kutoa ya moyo!
===========
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba amesema aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Sera, Uratibu, Bunge na Walemavu...
Wakuu,
Akizungumza wakati anatoa Semina kwenye Mafungo ya WAWATA Jimbo Katoliki Bagamoyo, ambayo yaliyofanyika Jumamosi ya Tarehe 14/03/2026 katika Kanisa Kuu la Moyo Safi wa Bikira Maria Padre...