Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Daa hii nchi sijui kama itapona makovu ya MO29. Sasa Kuna TV mpya , ni online TV, imeanzishwa imepewa jina la MO29 TV. Hii channel inapiga spana kweli kweli, imegeuka kilio Cha kusaga meno Kwa...
6 Reactions
8 Replies
317 Views
Ukifuatilia ziara ya Waziri Mkuu Dr. Mwigulu Nchemba ya hivi karibuni; utabaini kuwa kuna mamia kwa maelfu ya wananchi hujitokeza kwenye mikutano yake wakiwa na mabango, mafaili, nyaraka za...
0 Reactions
1 Replies
49 Views
  • Featured
Rais Samia, amesikitika kutangaza kifo cha William Vangimembe Lukuvi (Mb.), aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) pamoja na Mbunge wa Jimbo la...
23 Reactions
297 Replies
10K Views
Magari ya umeme ndio future ya usafiri ilipangwa kwa sasa; hata wanaozalisha magari wengi wao wanaweka 'hybrid systems' ili hayo magari yaweze kutumika hata pale magari yenye sumu ya moshi...
24 Reactions
213 Replies
30K Views
Ndugu zangu Watanzania, Kwa Sasa Rais wetu Mpendwa ni Makamu Mwenyekiti Wa Umoja Wa Afrika. Hivyo kutokana na Umahiri wake wa kiuongozi,Akili kubwa, Maono Makubwa , Ushawishi wake ,Ujenzi wa hoja...
2 Reactions
24 Replies
288 Views
Nyota ya Rais Samia inazidi kuiwakia Tanzania. Tanzania imechaguliwa kuwa Nchi ya 5 katika Bara la Africa Kwa Utalii wa Mikutano,Makongamano na Maonesho Kwa mwaka 2022 ikitoka kuwa namba 15 awamu...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Wanabodi Hii ni makala yangu kwenye gazeti la Nipashe, Jumapili ya leo Hakuna Ubaya Wowote Kwa Mtanzania Yeyote Kuwa na Ndoto ya Kuwa Rais wa JMT!, Msiwatishe Bure Wenye Ndoto Hizo!. Leo naomba...
10 Reactions
25 Replies
415 Views
Umeenda Kihonda, umetaka wananchi waeleze kero zao za ardhi. Mwananchi anakueleza wewe unamuinterrupt kwa kejeli na dharau kuwa "Hutaki kuhutubiwa". Huyo mwananchi pengine ana watoto, ana mke...
7 Reactions
33 Replies
11K Views
Imebidi niwambie ukweli acheni ushabiki mkiwa kazini. Jana mlionyesha wazi kuwa kuegemea upande wa CCM-nyinyi ni wanachama/wapenzi wa CCM. Masako ulipoanza tu kutangaza matokeo ya awali wakati...
9 Reactions
52 Replies
6K Views
Salaam, Shalom! Nimefuatilia Kwa ukaribu jinsi waziri Jerry Slaa anavyofanya katika utatuzi wa migogoro ya ardhi, japo Bado ni mapema sana kusema kuwa anafanya vizuri, lakini Kwa sasa itoshe...
24 Reactions
231 Replies
8K Views
Wakuu, Akizungumza leo kwenye tukio la kuaga mwili wa William Lukuvi Stephen Wasira alisema kwamba tatizo kubwa linaloikumbwa CCM ni kwamba haina viongozi mbadala "CCM tuna matatizo kweli ya...
3 Reactions
12 Replies
281 Views
Samia ndio Rais Aliyetoa Ajira Nyingi Kwa Wananchi Kuliko Rais mwingine Yeyote Katika Historia ya Tanzania. Yaani Toka 2021 amekuwa anamwaga maelfu ya Ajira Kila mwaka Kwa Vijana kiasi kwamba...
5 Reactions
35 Replies
443 Views
Huko CCM nikadhani uchawa ni kwa mwenyekiti wao tu kumbe hadi wabunge sasa hivi wanafanyiwa uchawa? Madiwani mmekuwaje lakini? ======================================== Diwani kata ya Zingiziwa...
0 Reactions
3 Replies
523 Views
Wakuu, Akiwa kwenye kile kipindi cha Cafe Talk, Silaa amesema kwamba kutokana na kufungiwa kwa X Tanzania, Serikali ime-discourage taasisi zake kutumia mtandao wa X ili kuendana na katazo hilo...
1 Reactions
10 Replies
564 Views
Makamu wa Rais mstaafu, Dk Philip Mpango, amesema atamkumbuka marehemu William Lukuvi kama kiongozi mwema na mshauri wa kweli huku akikumbushia kauli yake pindi hali ipokuwa ngumu yeye akiwa...
1 Reactions
11 Replies
338 Views
Awe makini mnooo Sitafunguka sana UPDATE Nimeshapata access naye nimempa jambo fulan kwa ajili ya usalama wake !!! Britanicca
59 Reactions
147 Replies
11K Views
Imezuka kasumba, tabia na utamaduni kwa baadhi ya watanzania kushangilia vifo vya viongozi wa serikali kitendo ambacho kijamii sio cha kiungwana na kwa kweli kinaumiza hasa kwa familia...
8 Reactions
8 Replies
332 Views
Naona wanaendelea kutoa ya moyo! =========== Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba amesema aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Sera, Uratibu, Bunge na Walemavu...
2 Reactions
4 Replies
76 Views
Wakuu, Akizungumza wakati anatoa Semina kwenye Mafungo ya WAWATA Jimbo Katoliki Bagamoyo, ambayo yaliyofanyika Jumamosi ya Tarehe 14/03/2026 katika Kanisa Kuu la Moyo Safi wa Bikira Maria Padre...
5 Reactions
20 Replies
443 Views
Nini hasa sababu za wana CCM kutotakiwa kutaka, kujipanga au kuonyesha nia ya kuutaka au kugombea urais 2030?
1 Reactions
1 Replies
63 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…