Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wao ni wauwaji kwamba walifanya ugaidi ndani ya Tanzania ndio maana wameteka maiti na hawataki kusema idadi ya vifo mda unakuja kila kitu kitajulikana. Hatucheki na mjinga sisi hatutamuacha mtu...
2 Reactions
2 Replies
79 Views
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Mvutano wa kisiasa umeibuka ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kata ya Mbabala, jijini Dodoma, baada ya baadhi ya makada wa chama hicho kuandamana hadi...
2 Reactions
10 Replies
915 Views
Wanabodi leo asubuhi nimesoma post ya mwana jf huyu,Josephat Gwajima ni mtumishi wa Yesu Kristo. Nguvu na uwezo wa Kristo umo ndani yake, ndiyo maana polisi awakumkamata nikaguswa!na kuamua...
34 Reactions
136 Replies
6K Views
Huyu mtu kwa sasa ni miongoni mwa matajiri wa kutupwa wa kitanzania lakini haijulikani mahali hasa anakopata pesa, anamiliki timu ya soka ya Gwambina na anaihudumia. Taarifa zetu za uchunguzi...
58 Reactions
322 Replies
38K Views
Nimeona polisi wa Uganda na wanajeshi wanavyotesa wapinzani. Wana magari ya bei mbaya na mitulinga usipime. Nimekumbuka hapa kwetu. Pesa ya kuwanunulia magari polisi wa kupiga na kuua waandamanaji...
7 Reactions
18 Replies
348 Views
Video za Oct 29 zinaonesha wazi kulikuwa kuna vituo vingi wasimamizi wa uchaguzi walikuwa wanajaza makaratasi ya kura feki hakukuwa na uchaguzi. Aidha hatujasikia tume huru ya uchaguzi ikikanusha...
3 Reactions
3 Replies
141 Views
https://www.washingtonpost.com/world/2026/01/15/tanzania-samia-suluhu-hassan-internet-shutdown-october-election/21b8d8a0-f24f-11f0-a4dc-effc74cb25af_story.html Huyu Samia ni kiumbe wa ajabu sana...
49 Reactions
66 Replies
1K Views
Mbunge wa Mkuranga, Abdallah Hamis Ulega, alimkumbusha aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema, kuhusu agizo la Spika wa Bunge linalokataza kuwachokonoa chokonoa viongozi wastaafu, Bungeni...
1 Reactions
1 Replies
134 Views
Video oct 29 za watu waliopigwa risasi hawakuwa maeneo yaliyo haribiwa ni majumbani inaonesha waliuwawa kwasababu hawamtaki samia na sio waharifu. Watu walio uwawa walimkataa samia ndio maana...
1 Reactions
3 Replies
117 Views
Mauwaji na utekaji sio jambo dogo la kutuweka pamoja ndio maana wananchi wamegawanyika na ajiandae kuona jeshi likiasi hatuwezi kuwa kitu kimoja. Mauwaji na utekaji hauwezi kutujenga kitu kimoja...
3 Reactions
6 Replies
231 Views
Chama cha Mapinduzi badala ya kuwa msaada, kimegeuka kampuni binafsi ya watawala na familia zao. Chama hiko kimegeuka kuwa saratani isiyotibika inayoitafuna Tanganyika. Tushikamane kupambana na...
4 Reactions
4 Replies
82 Views
Amsterdam ongea na Trump amkomboe Lissu, maana anaonewa hana kosa. Hakuna wa kumtetea kwani huyu mama akeshaamua kummalizia jela! Sounds awkward, but anything is possible in this era! 1. Nani...
7 Reactions
18 Replies
373 Views
Kufikishwa ICC Kwa Samia Suluhu na Genge lake kunaenda kutupatia Katiba Mpya na Tume Mpya huru ya Uchaguzi yenye Reforms za kutosha. Taarifa za Uhakika kabisa ni kua, SAMIA na Genge lake...
11 Reactions
16 Replies
347 Views
Mtanzania Philipo Mwakibinga amewataka Watanzania kuwapuuza baadhi ya wanaharakati wa mitandaoni wenye nia ovu wanaoeneza uzushi kuwa Rais Samia ana migogoro ya ndani na wasaidizi wake...
1 Reactions
6 Replies
217 Views
Kuna hii taarifa inasambaa inayosema kuwa serikali ya Tanzania inatumia zaidi ya shilingi bilioni 2.5 kutafuta ushawishi ndani ya Marekani, ikiwemo kuwashawishi Serikali ya Marekani na wadau...
7 Reactions
8 Replies
218 Views
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imepanga Februari 16, 2026 kwa ajili ya upande wa Jamhuri kuwasomea hoja za awali (PH) askari Polisi wawili wanaokabiliwa na mashtaka ya kuchapisha taarifa za uongo...
0 Reactions
4 Replies
324 Views
Aliyewahi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu, Dkt. Hellen Kijo Bisimba amesema "Kwa uzoefu wa Tanzania, serikali huwa na hofu kubwa dhidi ya maandamano na maandamano...
8 Reactions
16 Replies
280 Views
Nimeona kwenye club house watu wengi wanaochochea watu kuandamana na kuichoma Tanzania ni Watanzania wanaoishi nje tena wengi wakiongea vingereza vyao vya kuokota okota na kutafuta via accent vya...
7 Reactions
90 Replies
2K Views
If the AG nominates me, I will form a team to defend our lovely madam President. In any court of justice should she face any charges I solemnly affirm and states as follows I’m well acquainted...
3 Reactions
29 Replies
430 Views
Kuna baadhi ya kauli ukizisikia zikitoka kwa viongozi wa CCM, unabakia unajiuliza, hivi ndani ya CCM hakuna watu wenye akili kubwa, mpaka chama kinaamua kuwapa uongozi watu ambao, kwa kipimo...
4 Reactions
2 Replies
127 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…