Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika, amekanusha vikali tuhuma zinazomhusisha na mauaji ya aliyekuwa mjumbe wa Sekretarieti ya chama hicho, Ali Mohamed Kibao...
7 Reactions
42 Replies
860 Views
Taarifa inayosambaa mitandaoni kwamba viongozi wa Wizara ya Mambo ya Nje wamechota kiasi cha USD million 4 kwa ajili ya kwenda nje kusafisha nchi ni za uzushi hazina ukweli na zipuuzwe. Baada ya...
2 Reactions
9 Replies
260 Views
Wanabodi Naendelea na zile mada zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa", ambazo ni mada za uzalendo kutoka kwa mzalendo wa kweli wa taifa hili. Mada ya leo ni kujadili moja ya Idara zetu nyeti sana, hapa...
126 Reactions
573 Replies
86K Views
Samia alikuwa na nafasi nzuri ya kujijengea heshima mbele ya Taifa na mbele ya Mataifa kama angekubali ushauri aliokuwa akipewa na watu mbalimbali akiwemo Lissu wa kuahirisha uchaguzi na kufanya...
32 Reactions
67 Replies
972 Views
Mbowe alipenda sana siasa za kujaza tumbo lake. . Alikuwa yupo tayari kuuza watu ili mradi yeye na tumbo lake washibe na kwenda chooni. Kwa namna alivyoteswa Tundu Lissu leo hii Mbowe angekuwa...
4 Reactions
10 Replies
292 Views
  • Redirect
Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Kenani Kihongosi amesema kuwa licha ya Tanzania kukubali mfumo wa vyama vingi mwaka 1992, bado wapo watu na baadhi ya vyama...
0 Reactions
Replies
Views
Kaka yake Humphrey Polepole, anayejitambulisha kama Kanali Augustino Polepole ametoa saa 24 kaka yake aachiwe au apelekwe Segerea kwa Mama yake, vinginevyo Kikwete, Ridhiwani, Samia, IGP na...
53 Reactions
239 Replies
9K Views
Kama ilivyo desturi kisalimia. Nimesalimia. Inanishangaza kufuatia vifo vya wanasiasa kuanzia oct 29. ukifuatilia utakuta wananchi wanashukuru. Hii ni hatari sana. Na nadhani siasa inakwenda...
8 Reactions
48 Replies
1K Views
Nimepewa hii habari na mtu alie karibu sana na mmoja wa wa viongozi wa ACT Wazalendo, na nimeileta kama tetesi ingawa nimehakikishiwa kwamba ni ukweli kwa asilikia 100, akaniambia Viongozi walisha...
9 Reactions
17 Replies
491 Views
Nimemsikia Katibu Mwenezi na Itikadi wa CCM akimzungumzia Mzee Warioba. Kwanza, nitangaze mgogoro wa Maslahi. Nampenda huyu kijana. Huwa ni mnyenyekevu na msikivu. Haaniki madhaifu yake kama sisi...
19 Reactions
44 Replies
1K Views
Mjumbe wa Kamati ya Uendeshaji Chipukizi CCM Taifa Ndg. Isaac M. Nchemba amewaasa Watanzania kuipenda na kuilinda nchi ya Tanzania kwakuwa kupitia upendo ndipo uzalendo wa kuijenga nchi...
2 Reactions
16 Replies
416 Views
GT Jana nilitaka kuandika huu uzi nikasahau sasa leo Mnyika kajitokeza na kuwajibu hawa akina Yona na Kombo. Waacheni hao ni wajinga hamna anayewaamini. Jamani hampaswi kufanya hivyo hao jamaa...
6 Reactions
16 Replies
235 Views
Wewe Samia ushachafuka na damu za watoto wa Kitanzania. Nimeona kuwa ushakodi watu wa kukusafishia taswira yako Marekani. Kwanza, ile ‘who are you?’ imekuwaje tena? Ulikuwa unatingisha kiberiti...
63 Reactions
59 Replies
1K Views
Kwa kutumia Hootsuite Analytics (www.hootsuite.com), takwimu halisi za mabadiliko ya wafuasi (followers) kati ya tarehe 31 Mei 2025 na 09 Juni 2025 kwa wasanii maarufu 5 zimechanganuliwa kama...
15 Reactions
142 Replies
5K Views
Ukiangali video zinazotoka sasa, unaona kabisa kulikuwa na oder ya cleansing, extermination operation! Very sad!
2 Reactions
2 Replies
123 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo - Bara, Isihaka Mchinjita, jana Januari 15, 2026, ameendelea na ziara yake ya kikazi kwa kukutana na Viongozi pamoja na Wajumbe wa jimbo la Tanga...
1 Reactions
4 Replies
150 Views
Watanzania mkae mkijua Rais Samia anapitia kipindi kigumu sana cha uongozi. Kitendo cha kuwarudisha Dkt. Phillip Mpango na Majaliwa Ikulu kwenye nafasi ya uongozi ni kitendo cha aibu sana. Hawa...
12 Reactions
28 Replies
920 Views
Nimekuwa nikijiuliza sana imekuwaje hawa jamaa wamegeuka ghafla kuwa machawa wa ccm na wapumbavu kupindukia? Badala ya kusimamia maslahi ya wananchi na Taifa sasahivi wanasimamia maslahi ya CCM...
10 Reactions
41 Replies
549 Views
Video za oct 29 zinaonesha baadhi ya askari walikuwa wakisimamisha wapita njia na kuwagaragaza kwenye mitaro na kuwapiga viboko na risasi Kitendo hiki tunakichukuliwa kama uharifu dhidi ya raia...
6 Reactions
6 Replies
269 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…