Najua habari hii imewauma sana makamanda ninawafahamu wa JWTZ!
Najua habari hii imemuua sana kamanda Luteni Generali Mstaafu Mwakibolwa. Najua habari hii imemsononesha sana General Mstaafu Davis...
Hili jeshi sasa rasmi limewekwa mfukoni na ccm.
Hili ndo peke yake ilikua limebakiza heshima ya inchi. Sasa rasmi wanaimba wimbo wa ccm.
Imagine wanaimba vitisho dhidi wanainchi wanaotaka...
Shekhe Mwaipopo kaongea maneno ya uchochezi wazi wazi kila mtu ameona lakini bado yuko uraiani anadunda tu. Je, haya maongezi angekua ameongea mtu mwingine mlengo mwingine angekua bado yuko...
SERIKALI KUKAMILISHA MCHAKATO WA KUUNDA HALMASHAURI YA MWIBARA
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itakamilisha mchakato wa kuunda Halmashauri ya Mwibara ili kusogeza huduma za...
WAZIRI MKUU AZINDUA SHULE YA MSINGI KASOMA
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo (Julai 4, 2026) amezindua Shule ya Msingi Kasoma, Halmashauri ya Wilaya ya Musoma, mkoani Mara, na kuipongeza...
Kama ni kweli kama ninavyosoma kwenye mitandao kuwa kuna maandamano yanapangwa kufanyika tarehe 7/7 basi nashauri viongozi wa maandamano na Serikali wafanye yafuatayo;-
A:Viongozi wa...
Muda mrefu kabla ya uchaguzi wa urais wa Tanzania wa Oktoba 2025 kufanyika, vyombo vya habari vya Magharibi vilikuwa tayari vimejenga simulizi kwamba Rais Samia Suluhu Hassan angeshinda uchaguzi...
Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), kwa sauti moja, imepitisha azimio la kumvua madaraka na kumsimamisha mara moja aliyekuwa Katibu Mkuu na mgombea wao wa Urais mwaka...
Ndugu na marafiki wamefuatilia kila kona na vituo vya polisi vyote lakini hakuna alimkuta.
Maswali mengi yanaulizwa kuwa ni nani aliyemteka na kumpoteza.
Je, alikuwa na uhasama na watu? Maana...
Na kwamba,
Godbless Lema ni msaliti kwa mambo ya chama kama vile kutibua minywele?
Au kuna jambo jingine zito zaidi linataka kufunikwa na kufichwa na kwamba Lema ndio mfichuzi na amelishupalia...
Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Steven Kimondo, amefichua kuwa kuendelea kwa matukio ya utekaji wa raia nchini ni mkakati wa makusudi unaoratibiwa ili kuwatia hofu...
06/07/2026 kesi ya Mh Lissu inaendelea,wanachama pamoja na wananchi wanatakiwa kufika mahakamani kumpa sapot mwenyekiti wao
07/07/2026 kuna maandamano, hapo kuna mawili kesi inaweza kuhailishwa...
Wanabodi
Utambulisho
Japo wengi wananifahamu mimi kama mwandishi wa habari na mtangazaji wa kujitegemea kwa kujitolea, si wengi wafahamu kuwa mimi pia ni mwanajeshi wa jeshi la akiba, baada ya...
Hiki ni nini sasa. Sidhani kama ni sahihi.
Jeshi letu ndo la kutoa salaam za kisiasa “Kazi na Utu”?
Hatujavamiwa kutoka nje. Ya ndani waachie vyama vya siasa waminyane majukwaani na CCM. Sidhani...
Wakuu,
Clemence Mwandambo anasema ishara ya kunyoosha ngumi juu inayotumiwa na Lissu akiwa kizimbani ni ishara ya kujipa matumaini tu, na kwamba kiongozi huyo anaonekana kupoteza nguvu na kuachwa...
Wanabodi,
Kila siku za Jumapili, huwa ninaandika makala za "Kwa Maslahi ya Taifa", makala ya wiki hii ni kuhusu hoja ya "Haki sio hisani, ni stahiki".
Japo hakuna binaadamu yoyote anayefurahi...
Wanabodi,
Hii ni makala ya Leo kwenye Nipashe
Jumapili ya June 8, mwaka 2021, katika safu hii, niliandika makala ya kumpongeza Rais Samia, kwa kuwasisitiza watendaji wa serikali kutenda haki...
Wanabodi,
Baada ya Rais Samia kuruhusu mikutano ya siasa, sasa ni nderemo na vifijo nchi mzima!. Na mimi kama Mtanzania mzalendo wa taifa letu, pale linapofanywa jambo jema lolote la kheri kwa...
Wanabodi,
Makala ya Leo ya Kwa Maslahi ya Taifa, Inaanza na A Declaration of Interest
Kumezuka huu mtindo wa mtu akisifia jambo lolote kumhusu rais wa JMT, ananyooshewa vidole vya kutafuta...