Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Location: Dar Es Salaam, Tanzania Project Work Status: Ongoing Projects Dar-es.Saloam, is peculiar in its urban texture. The old waterfront abutting the harbor edge is now incapable of...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Huwa najiuliza sana ninapoona baadhi ya watu wanamchukia Tundu Lissu bila kutoa sababu za msingi. Mh. Tundu Lissu tangua miaka ya 90 amekuw akitetea wananchi waliokuwa wanaonewa, amekuwa...
4 Reactions
10 Replies
93 Views
Mkuu wangu, Dr. William, ninapenda kukuarifu kuwa kisheria na kimantiki, shauri hili linahesabika kama limefikia ukomo wake (functus officio/fait accompli). Uamuzi wangu wa kimkakati wa...
23 Reactions
26 Replies
731 Views
Wanabodi Hili ni Bandiko la Voices from within,hivyo naomba kulianza kwa disclaimer Wanabodi Haya mambo ya mtu kusikia sauti, sio mambo ya ulimwengu huu wa mwili, haya ni mambo ya ulimwengu wa...
28 Reactions
102 Replies
6K Views
Akizungumza mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Albert Chalamila hivi karibuni, Elias ametaja changamoto kadhaa zinazowasibu kwenye eneo hilo ikiwemo mrundikano wa mizigo mingi kupita uwezo...
8 Reactions
10 Replies
262 Views
DK. NCHIMBI NA DHANA YA “VICE-PRESIDENTIAL DILEMMA” Tafakuri ya Habibu Mchange Katika sayansi ya siasa kuna dhana inayojulikana kama “Vice-Presidential Dilemma” yaani mtego unaoweza kumkabili...
7 Reactions
16 Replies
327 Views
16 August 2026 Chief Odemba ambana na VAR (video) Dorothy Semu wa ACT Wazalendo / aishia kusema no comment https://m.youtube.com/watch?v=Ux8YPPuItcM Uhusiano wa ACT wazalendo na dola Mahusiano ya...
3 Reactions
9 Replies
280 Views
Wakuu, Akiwa anatekeleza majukumu yake ya kitaalamu katika Mahakama Kuu ya Tanzania (Divisheni ya Uhujumu Uchumi na Rushwa) iliyopo Kivukoni, Dar es Salaam, wakili Peter Madeleka ameeleza jinsi...
4 Reactions
22 Replies
391 Views
1. Wenye ICD za DAR wapewe VIZIMBA HUKO KWALA halafu ICD za mjini zoote zitoke SERIKALI aifanye biashara ya ICD ikusanywe Kodi Kwa kukodisha! 2. Kuna NJIA ilikuwa inatumiwa na SGR wakati wa...
0 Reactions
4 Replies
78 Views
Wanabodi Baada ya Mamlaka ya Mafunzo na Ufundi Stadi VETA kushiriki kwa kishindo maonesho ya Saba Saba na yale ya Nane Nane ya mwaka huu, sasa VETA imekuja na kubwa kuliko kwenye ushiriki wake...
1 Reactions
2 Replies
34 Views
Niliwaambia Heche kashindikana baada ya interview clouds maCCM wanapigana vikubo kujibu mapigo. Haha ahanah a da huyu jamaa anawalaza na viatu asiee. .
1 Reactions
6 Replies
133 Views
Ndugu Watanzania! Nchi yetu imeingia katika dimbwi la matope na kinyesi. Tanzania inatuhumiwa kupeleka watu kwenda kusaidia kupora Uchaguzi wa Zambia kumsadia Hakainde Hichilema anayesadikika kuwa...
17 Reactions
70 Replies
928 Views
Wakili Peter Madeleka amesema kesi inayomkabili ya tuhuma za kudharau amri ya Mahakama Kuu ni suala ambalo wananchi wanapaswa kulifuatilia kwa karibu, akitaka kubainika iwapo kwa mujibu wa sheria...
9 Reactions
11 Replies
315 Views
Mpango mzima wa kuinunua Chaumma chama cha wala ubwabwa uliratibiwa na Mbowe. Kisa tu Mbowe ni kibaraka wa CCM na alisoma nyakati akaona Heche na Lissu hawataki kuwa vibaraka wa CCM. Kwa...
6 Reactions
43 Replies
437 Views
Aug 15, 2026 Manyara WANANCHI WACHOMA SHAMBA LA MKULIMA MWEKEZAJI MANYARA - MGOGORO WA ARDHI WAHUSISHWA https://m.youtube.com/watch?v=kXulqFbp-ak Naye mkulima mwekezaji Bi. Jeta aelezea sakata...
4 Reactions
15 Replies
226 Views
Leo ni Agosti 13, 2026, raia wa Zambia wanapiga kura katika uchaguzi mkuu unaotazamwa kwa karibu sana. Huu ni uchaguzi muhimu unaojaribu ahadi za mageuzi ya kiuchumi dhidi ya hali ngumu ya...
4 Reactions
26 Replies
661 Views
Katika makubaliano ya kutengeneza viota, ili maonesho ya kutafuna mahindi yafanyike na kushirikisha panya mbali mbali klutokas kaya kadhaa, kuna Kaya moja inatumia mwanya huo kulitafuna Godoro...
22 Reactions
44 Replies
857 Views
Wanabodi, Hili ni swali tuu najiuliza kuhusu hizi mbio za Mwenge wa Uhuru zinazoendelea sasa. Kwenye Mwenge kinachokimbizwa nchi nzima, jee kweli ni ule mwanga tuu ili kumulikia na kuangazia, au...
44 Reactions
253 Replies
35K Views
Ameandika Zitto Kabwe kwenye ukurasa wake wa X zamani Twitter .... Ni muhimu kutambua kwamba historia itamkumbuka Polepole si kama mwanamageuzi, bali kama mmoja wa wasanifu wa kuzorota kwa...
13 Reactions
74 Replies
3K Views
Ndugu wana JF na Watanzania wenzangu, Amani ya Mwenye Enzi Mungu iwe juu yenu! Nimemsikiliza Mh; Balozi Hamphrey Polepole maelekezo yake leo 29-08-2025, ikiwemo kuhusiana na kifo cha mpendwa...
9 Reactions
147 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…