Panya wanalimaliza Godoro wanatafuna saaaaana

Panya wanalimaliza Godoro wanatafuna saaaaana

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
18,053
Reaction score
46,703
Katika makubaliano ya kutengeneza viota, ili maonesho ya kutafuna mahindi yafanyike na kushirikisha panya mbali mbali klutokas kaya kadhaa, kuna Kaya moja inatumia mwanya huo kulitafuna Godoro sana ! Ubaya zaidi hakuna paka! Yule panya mwenye mashurubu mengi kutoka maeneo ya kichuguu Kala nusu ya godoro


Britanicca
 
Katika makubaliano ya kutengeneza viota, ili maonesho ya kutafuna mahindi yafanyike na kushirikisha panya mbali mbali klutokas kaya kadhaa, kuna Kaya moja inatumia mwanya huo kulitafuna Godoro sana ! Ubaya zaidi hakuna paka! Yule panya mwenye mashurubu mengi kutoka maeneo ya kichuguu Kala nusu ya godoro


Britanicca
Panya Masharubu amekula nusu ya Godoro na huna la kumfanya kwakuwa paka hayupo au utamuondoa katika himaya ya mapanya wala godoro?😂
 
Masharubu ni yule mascalf 😹
Panya mbalimbali- royal family za mbogamboga eg kama unatoka Moro pale mdahaula kwa mbele

Kaya iliyokula godoro sana- ni familia ya dully Sykes 😹😹
ila wizo kwa code hujambo 😀😀😀😀

Mwenzio nilitoka patupu kumbe binti yangu uko deep hivi.. mweeh 🤩🤩🤩🤩
 
Panya ni viumbe waharibifu sana. Tunatakiwa kufuga paka wakali wa kuwadhibiti panya. Kuna panya hawategeki kwa mitego au sumu. Hawa ndiyo panya wabaya zaidi kwenye makazi yetu. Uharibifu wao siyo wa dunia hii.
Panya anatafuna hadi mtungi na kula mbegu zote zilizohifadhiwa ndani ya mtungi asee!!

Nachoka Mimi kaka yenu.
 
Panya ni viumbe waharibifu sana. Tunatakiwa kufuga paka wakali wa kuwadhibiti panya. Kuna panya hawategeki kwa mitego au sumu. Hawa ndiyo panya wabaya zaidi kwenye makazi yetu. Uharibifu wao siyo wa dunia hii.
Tena sahv km hauna dali panya wanapanda kwene kenchi kisha wanajiangushia kwene kitanda , wakifeli makadilio ya kutok juu, bas huludia tena hilo zoez mpka wakunase
 
Panya yupi
IMG-20260501-WA0231.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom