Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Ni muda sasa nimekuwa nahudhuria kusikiliza kesi za ndugu/marafiki katika mahakama hii ya mwanzo Arusha maarufu kama Mahakama ya Maromboso, hasa kesi zinazo sikilizwa na mfawidhi wa hii mahakama...
0 Reactions
3 Replies
88 Views
Mama Samia anaona kama anapotezewa muda tu kwasababu anachofikiria ni makusanyo ya pesa ili wapige deal na marafiki na ndugu zake! Mfano deal ya Kia na miradi mingi. Hakuna hata nia ya kupambana...
1 Reactions
7 Replies
93 Views
Mungu kuna kelele nyingi za kuogofya ila wewe utabaki kuwa Mungu. Iwe ni kwa sumu iwe ni kwa risasi tunaomba Taifa letu lisiingie kwenye majonzi sababu ya Dr Mchimbi tunaomba umtunze na umfunike...
27 Reactions
132 Replies
4K Views
Kati ya Bwege na Lukuvi nani alikuwa fisadi? Jibu tunalo wengi ni Bwege pamoja na shida zake alikuwa Mzalendo na tutamkumbuka kwa hilo. Hajauza nafsi yake kwa pesa. Huyu Bwege alikuwa Mzalendo...
3 Reactions
6 Replies
148 Views
ASIYEUTAKA URAIS CCM HAJAZALIWA! Wakristo tumo kwenye juma takatifu. Tunaalikwa kutohukumiana katika habari ya vyakula na vinywaji (Wakolosai 2: 16-17). Ndani ya CCM tusihukumiane kwa habari ya...
3 Reactions
9 Replies
200 Views
Ongezeko la vijana wanaofikia umri wa miaka 18 kila mwaka, na moja kwa moja kuomba kujiunga na chama cha mapinduzi ccm, kunaonyesha mapenzi na imani ya vijana kwa ccm, lakini pia kuna toa fursa...
2 Reactions
10 Replies
102 Views
Na hizi mvua ambazo zimeanza kunyesha ni hatari sana! =========== Diwani wa Kata ya Goba Lawrence Mlaki ameishukuru serikali kwa kuchukua hatua juu ya daraja la Goba Mtipesa ambapo imeagiza dara...
0 Reactions
0 Replies
38 Views
  • Redirect
Ukweli ni kwamba hatuwezi kuona matokeo mengine tofauti kwa sababu watu wanaotuongoza ni walewale. Kila mwaka mambo yatakuwa hivihivi tu.
0 Reactions
Replies
Views
Ni kwakuwa waliopo sasa hivi wana mtaka Yule atakaye kuwa ana maliza Muda wake Visiwani. Hivyo sio Nchi...mbi wala sio Nche...mba wao ni washusha joto Tu la 29 Oct
3 Reactions
9 Replies
139 Views
Profesa Lipumba akizungumza katika hafla ya makabidhiano ya ofisi ya CUF, jijini DAR amesema kuwa uchaguzi wa 2025 haukuwa huru wala wa haki na ulighubikwa na mauaji ya watanzania wengi wao wakiwa...
1 Reactions
3 Replies
109 Views
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles E. Kichere akiwasilisha Ripoti za ukaguzi za kila Mwaka leo Machi 30, 2026 Ikulu Dar es Salaam " Kwa uapnde wa vyama vya siasa chama...
0 Reactions
7 Replies
174 Views
Yawe ni maandamnao makubwa ambayo hayajawahi kutokea hapa nchini. Majiji yote maandamano yafanyike kushinikiza na kupinga mateso anayopewa Tundu Lissu wakati sio mhaini. Hakuna Jeshi lolote...
30 Reactions
75 Replies
874 Views
Tunaanza Upyaaaa, Mpango aidha atoe hela au ajiuluzu, asipotugea daraja wabunge wa Kusini tunaadamana, varangati la gesi kusini linarudi tena, yaani Tunaaza Upyaaaaaaaaa Pia soma: TANZIA -...
0 Reactions
1 Replies
62 Views
  • Redirect
Chadema wamekuwa na tabia za hovyo sana za kuingiza siasa kwenye vifo vya watu bila kujua kuwa Kila mtu ameumbiwa kifo, kifo hakina chama, hii umefanya Leo wanaona haya kutangaza msiba wa mtu wao...
2 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Ni Msiba usio na Promo yoyote Wala matarumbeta Lakini cha ajabu umegusa hata watoto wadogo! Hakika Tenda wema nenda zako
1 Reactions
Replies
Views
  • Featured
Mwanasiasa machachari na aliyekuwa Mbunge wa Kilwa Kusini, Senior Selemani Said Ally Bungara, maarufu "Bwege," ametangaza rasmi kujivua uanachama wa chama cha ACT Wazalendo kuanzia jana, Februari...
19 Reactions
36 Replies
1K Views
Ni wazi kwamba serikali ya ccm imetengeneza chuki miongoni mwa wananchi hasa kwa kuwatenga watu wasioamini katika ccm na kuwafanyia kila aina ya dhuluma ghiriba ubaguzi na hata ukatili wa waziwazi...
10 Reactions
27 Replies
442 Views
Bado tupo sikukui ya Eid! 1. Ukitoa Wakatoliki ambao wao wanaenda kwa mfumo. Wanabebwa na Mfumo wao wenye nguvu. Jambo ambalo viongozi wa kisiasa hujifikiria mara tatu tatu wanapotaka kuwakabili...
10 Reactions
62 Replies
857 Views
  • Redirect
Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) imesema hadi kufikia Juni 30, 2025, deni la Serikali lilifikia trilioni 110.05, deni la ndani likiwa TZS trilioni 35.5 na deni la nje...
0 Reactions
Replies
Views
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), CPA Charles E. Kichere akisoma Ripoti ya ofisi yake ya Mwaka 2024/2025, leo Machi 30, 2026, Ikulu Dar es Salaam.
0 Reactions
0 Replies
137 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…