Familia ya Frank Stanley, mkazi wa Rwamishenye Manispaa ya Bukoba, mkoani Kagera, imelalamikia tukio la mwanao kudaiwa kupigwa akiwa mikononi mwa Polisi na kulazwa katika Hospitali ya Rufaa ya...
Japo Jenerali Ulimwengu anasema hakuwa na urafiki wa karibu na Rais mstaafu, Benjamin Mkapa, wawili hao wana historia ya kufanya kazi pamoja, tangu wakiwa gazeti la Daily News miaka ya 1973- 74 na...
Mods please musiiunge hii for now kwasababu msingi wa threads nyingine ni maswali kuhusu chanzo cha Bank M. Na nyingine kuhusu kukamatwa kwa mkuu wake kwa kosa la utakatishaji! Ripoti hii hapo...
Kimsingi, katika demokrasia ya vyama vingi, madaraka ni mali ya wananchi kupitia kura. Kauli kwamba chama "hakiwezi kuachia madaraka" inapingana na msingi wa uchaguzi huru na wa haki, ambapo...
From Halis Max Facebook Page.
Haji Manara aendelea Kumkalia Kooni Heche baada ya kusema Simba na Yanga zinatumiwa kisiasa ✍️
Watu wa football mpo wapi? Wanahabari na Majukwaa yetu mmelala...
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Ndugu Stephen Wasira, amewataka wanachama wa CCM kukutana mara kwa mara katika vikao rasmi vya chama ili kujadili masuala muhimu na kuepuka...
Hakuna ubishi kwamba nchi zilizotuzunguka nyingi tumezisaidia katika ukombozi,
Ila majirani zetu wa karibu tumewasaidia mpaka kuwaandaa maraisi na uongozi wa nchi hizo, lakin uongozi asilimia...
Yaani kuna Washenzi jamii ya mwakizimkazi. Baada ya kuona Samia Suluhu amejipachika Urais wa Tanzania na kutumia mtutu wa Bunduki kujiapisha. Na Wananchi wakaufyata, Wakajua kila taasisi Watafanya...
Watanzania hawajui wanataka nini yaani hawana malengo. Narudia tena ikiwa jambo kubwa lililopo mbele yetu ni kumtoa LISU je baada ya kumtoa mpo tayari kuridhiana ili tujenge nchi moja? Au mtakuwa...
Mikoa ya Kanda ya Ziwa na Magharibi mwa Tanzania ni sehemu muhimu ya uchumi wa nchi. Tunazalisha chakula, madini, mifugo, samaki na bidhaa mbalimbali, lakini wananchi wa maeneo haya wanaendelea...
Tumecheza pamoja kule mwisi kijijini ulikozaliwa,najua wengi wa wanaokuchukia hawakuzaliwa kwenye nyumba ya tope na bati jeupe,ua uliozungushiwa minyaa,chini ya usimamizi wa baba yako.
Utajiri wa...
Mara kwa mara mitandao ya kijamii inapozuiwa ama Data za mifumo ya internet zinapokuwa chini ya kiwango, mara nyingi hutokea CCM inapojihami dhidi ya kizazi kipya.
Kuna ushahidi wa kutosha kuwa...
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Mzee Stephen Wasira, akizungumza leo Agosti 19, 2026, katika mahojiano na UTV
"CCM haiwezi kukutwa na hatia. Mtu mmoja mwana-CCM...
"CCM haina mshindani kwenye siasa. Tunashindana na wote ambao wamesajiliwa kisheria. Vyama Vya siasa vinasajukiwa na msajili yoyote aliyesajiliwa sisi wote ni mshindani wetu wa kisiasa. Na sioni...
Habari za chinichini zinapenya kutoka viunga vya UDOM na mitandao ya kijamii kwamba kitu kilichomponza mhadhiri wa UDOM, Dr Kaijage, na kujikuta akipewa kesi ya ugaidi, ni ujasiri wake wa...
Watu wenye exposure waliobahatika kidogo kutembelea nchi ambazo zimepiga hatua kwenye matumizia ya internet mpaka kufikia kuwa na digital economy kubwa wanaelewa ..Tanzania tunazungumza sana...
Sisi tukiongea kupitia jamii forum kwa kuwa hamtujui majina hata hamtuzingatii,
Yaliyomkuta Leo charamila wakati akiongea na madereva wa maloli ni matokeo ya VYOMBO alivyonavyo chini yake...