Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mwenyekiti wa Mufindi Environmental Transformation, Godfrey Mosha, amesema madai kuhusu kuwepo kwa matukio ya utekaji nchini ni ya uongo, akidai yanalenga kueneza hofu na kuidhoofisha Tanzania...
3 Reactions
49 Replies
924 Views
Wakuu Sina uwezo mkubwa kujenga hoja Bali hapa nitajaribu. Ni suala la vyama vya siasa, hapa nikiweke pembeni CCM na chadema. Kuna zaidi ya vyama 10 na nakumbuka vilishiriki uchaguzi wa 2025...
5 Reactions
15 Replies
171 Views
Nimewasikiliza watangazaji wa clouds wakishupalia Heche achunguzwe kwa kubugia mamilioni ya fedha za CHADEMA. Huyu mtangazaji anaitwa Oscar akashupalia kwamba Heche akubali kuchunguzwa kwa...
29 Reactions
83 Replies
1K Views
Asiyejua alikotoka, hakika hawezi jua anakoenda! Moja ya urithi ambao awamu ya tano ilituachia ni somo la hatma ya aliyekuwa akijitambulisha kuwa mwanaharakati binafsi wa Rais Magufuli, ndugu...
9 Reactions
11 Replies
419 Views
Barabara ya kurukia ndege haina konakona, Rais amesema atafuata nyayo za Rais Mkapa, Kikwete na Magufuli, sasa kwanini hataki kufuata nyayo za watangulizi wa mwanzo yaani Ml. Nyerere na A.H. Mwinyi!
0 Reactions
6 Replies
139 Views
CHADEMA, Kwa vile sasa mmeshakiri rasmi kwamba CCM wamewacheza [played you], hamna budi kujaribu mbinu nyinginezo katika harakati zenu za kuleta mabadiliko ya kisiasa. Civil disobedience na...
28 Reactions
80 Replies
4K Views
Wakuu, nimeshudia watu wengi walipokuwa CHADEMA walikuwa wanaonekana kama wako timamu, ubongo unachaji, wakiongea wanatoa madini, wanakupa kitu cha kukufanya ufikiri ila hao hao wakihama wanaongea...
6 Reactions
9 Replies
182 Views
Sijui ni ufupi wake? Rangi yake, aiba yake? Au vinamacho vyake? Mbona Mimi siioni ubaya kama anao twishwa? Aliyemtuma Samia akamwone Tundu Lissu Nairobi ni nani? Au ni yeye aliamua? Najiuliza...
1 Reactions
2 Replies
116 Views
Cha kushangaza hizi Tips za ongezeko la Kodi mnatoa kwa Kingereza lakini habari zingine zote mnatoa kwa Kiswahili , hii sio sawa !!! Mnahudumia walipa kodi wote Waswahili na hao wa Kingereza
0 Reactions
3 Replies
126 Views
Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) umetangaza rasmi fursa za uwekezaji kupitia mfumo wa Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP), kwa kualika wawekezaji wenye uwezo, uzoefu na sifa stahiki...
3 Reactions
16 Replies
307 Views
DAVID KAFULILA: KODI NA MIKOPO PEKEE HAZITOSHI KUTEKELEZA MIRADI YOTE YA MAENDELEO KWA WAKATI NDIO MAANA TUNASUKUMA PPP. Katika Kongamano la Kitaifa la Ubia (PPP) Sekta ya Nishati, Mkurugenzi...
8 Reactions
22 Replies
2K Views
Mhadhara wa umma unaofanyika katika Chuo Kikuu Mzumbe, Ndaki ya Mbeya umehudhuriwa na wataalamu na wanazuoni mbalimbali ambapo Mhadhiri wa chuo hiko kutoka Idara ya Mafunzo ya Biashara na Mtaalam...
4 Reactions
27 Replies
432 Views
Prof. Henry Mollel, Rasi wa Chuo Kikuu Mzumbe Ndaki ya Mbeya, anasema kuwa “forum ya Mihadhara vyuoni inayoendeshwa na Kafulila kupitia PPPC ni muhimu sana kwani ni nafasi kubwa kwa vijana wetu...
3 Reactions
11 Replies
194 Views
Ni hotuba ambazo ni za kipekee sana, za kizalendo na kijasiri mno, ambazo kwa kiwango cha juu sana zinahamasisha uzalendo na kufanya waTanzania wote kua tayari kulilinda taifa kwa wivu mkubwa, kwa...
1 Reactions
1 Replies
74 Views
Wakuu, Madeleka siyo mwenzetu. Ni hayo tu. Cc: britanicca JokaKuu Erythrocyte et al
11 Reactions
40 Replies
917 Views
Akifungua Mkutano Mkuu wa Mwaka wa Chama cha Mawakili wa Serikali Tanzania (TPBA), Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alisema: “Tutasaidiwa kuiharibu nchi yetu...
0 Reactions
4 Replies
147 Views
Anachoongea Mwandambo kwa maandishi akimtuhumu Heche kwa Ufisadi, akisema kuwa Mnyika hawezi kumsafisha Heche kwani hasafishiki. Anasema "Mnyika! Mnyika nakwambia, Heche ni mchafu. Yaani Heche...
2 Reactions
31 Replies
666 Views
Yaliyotokea katika uchaguzi wa TOC ni Salam LOUD AND CLEAR kuwa ndani ya CCM lile kundi kubwa la wezi, wabadhilifu, watekaji, waongo na kila ubaya hawakutaki kabisa na sisi watu wa kawaida tunajua...
11 Reactions
29 Replies
779 Views
Nimeoma mahala huko Arusha rais Samia akihutubia kuwa vijana wamepewa sumu ili wamchukie yeye na serikali yake. Nani huyu anayewapa sumu vijana na kumchukia kiasi cha kusema kuwa sio rais...
2 Reactions
7 Replies
200 Views
Hamjambo! Walianza na harakati za ufisadi miaka hiyo. Enzi hizo. Kukemea mafisadi, kuyataja mafisadi. Waliopo na ambao hawapo. Enzi hizo kina Slaa na wenzake. Walipaza sauti. Kipindi hicho...
20 Reactions
77 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…