Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

OMG! OMG! Meta has unsuspended my WhatsApp account, +1 424 537 3057. For those who don’t understand the important of regaining access to this number is that, this is the number that Tanzanians...
35 Reactions
88 Replies
2K Views
"Nilikataa kukatwa mguu, lakini madaktari waliniambia nimechelewa kupata matibabu." Huo ni ushuhuda wa kusikitisha wa George Chipeta (24), fundi wa umeme wa magari mkazi wa Banana, mkoani Dar es...
10 Reactions
49 Replies
1K Views
Get your Foreign Affairs Bulletin copy on Rifaly for free.
1 Reactions
0 Replies
47 Views
Amesema Mzee Emmanuel Zakaria (Baba Boni) Mwenyekiti Baraza la Wazee CHADEMA jimbo la Arusha Mjini
2 Reactions
2 Replies
88 Views
Ule muda wa Davos umefika. Viongozi mbalimbali duniani wako huko. Neno la muhimu hapo ni “viongozi”. Sasa, huyu mtawala wetu ambaye ni haramu, naye ataenda au keshaenda? Au ndo kajificha huko...
44 Reactions
50 Replies
1K Views
Akizungumza wakati wa mkutano wa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Kenani Kihongosi, mmoja wa wazee aliuliza ni lini serikali itaanza kuwabana wabunge wanaolala bungeni na kisha kuunga mkono...
1 Reactions
8 Replies
165 Views
TAARIFA KWA UMMA AJALI YA GARI KUGONGA GARI LINGINE KWA NYUMA KISHA KUHAMA NJIA NA KUGONGA MAGARI MENGINE 03 NA KUSABIBISHA MAJERUHI 01 Tarehe 20/01/2026 majira ya saa 5:20 usiku katika barabara...
3 Reactions
25 Replies
817 Views
This was a design and build project. Ni wazi, takwimu walizokusanya hazikutafsiriwa ipasavyo kwa kuzingatia mabadiliko ya tabia ya nchi. Over designing sio dhambi katika uhandisi Wali over design...
8 Reactions
18 Replies
384 Views
Ngoma inaanza hivi: Mwaka 1995 Mrema alivyotoka CCM, Edwin Mtei alimfuata ili Mrema ajiunge na CHADEMA na kugombea urais kupitia chama chao. Mrema akaweka masharti magumu kwamba: Ili ajiunge na...
4 Reactions
37 Replies
626 Views
Serikali haiko serious, haijutii kilichotokea wala hataki kukiri, sioni kiongozi aliye tayari kwa maridhiano. Utekaji bado unaendelea, wiki iliyopita zaidi ya viongozi 10 wa Chadema wamekamatwa...
6 Reactions
15 Replies
359 Views
Serikali, wengi wa wana CCM na baadhi ya watu,, wamesimamia upande mmoja tu. Kutuambia tudumishe amani., amani, amani na hawana neno jingine angalau la tofauti. Wapinzani, wanaharakati, na...
0 Reactions
1 Replies
89 Views
Ziara ya Kihongosi na matamko ya hivi karibuni ya Butiku sio ya bahati mbaya ni mkakati uliopangwa ili kuchota akili za Watanzania. Kihongosi aanze ziara Butiku ajitokeze kumponda kuwa anafanya...
1 Reactions
5 Replies
157 Views
Mambo ya kukumbukwa zaidi kwenye uchaguzi bandia oct 29 ni polisi kuonekana mitaani wakipiga kampeni na kurusha chopa yenye bendera ya CCM Mambo ambayo sio majukumu ya kipolisi na yanachochea...
1 Reactions
2 Replies
95 Views
  • Redirect
Hivi yule OCD aliyeshusha bendera ya chadema mmeshindwa kumtembezea kichapo pale yale sio majukumu ya kipolisi ni uharifu usiovumilika.
2 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Huyu OCD anaitwa Christopher Msonsa, ambaye ni OCD wa Wilaya ya Kipolisi Mbalizi. OCD Huyu ameshusha Bendera za CHADEMA Siku ya Leo ,ambayo ni Siku ya Kumbukizi ya Miaka 33 ya kuanzishwa kwa...
0 Reactions
Replies
Views
Butiku watanzania wamechoka kuongea ongea bila vitendo! Unapoteza muda wako mzee wetu. Bila katiba mpya ambayo inasimamiwa na chombo huru cha kitaalamu sio makada hali hii itaendelea kubaki hivi...
2 Reactions
2 Replies
121 Views
Anaitwa Tundu Antiphas Mughwai Lissu alizaliwa terehe 20. January 1968 kwa sasa ametimiza miaka 58, Lissu anasherehekea siku yake ya kuzaliwa akiwa ndani ya Gereza kuu la Ukonga kwa kesi ya Uhaini...
3 Reactions
4 Replies
232 Views
Uchaguzi tayari umeisha Uganda na kuna malalamiko kuwa Yoweri Museni kaiba kura na kuwatesa wapinzani ikiwemo kumkamata Boby Wine jana usiku. Sasa kwanini Waganda hawatoki na kuanza kuharibu nchi...
6 Reactions
158 Replies
2K Views
Kinachosumbua mawaziri wengi kwa sasa ni namna gani wanafanya shughuli zao kwa mujibu wa matakwa ya mgawanyo wa madaraka na utendaji kazi. Wengi wa mawaziri wanaacha kujikita katika kubuni na...
2 Reactions
12 Replies
262 Views
  • Redirect
Utaratibu wa Kanisa Katoliki na sheria za kanisa zinasema ukitaka kumshitaki kiongozi au mshiriki yeyote wa kanisa lazima uanzie kwa Paroko, Paroko atapeleka kwa Askofu ndipo Askofu atapeleka kwa...
7 Reactions
Replies
Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…