OMG! OMG! Meta has unsuspended my WhatsApp account, +1 424 537 3057.
For those who don’t understand the important of regaining access to this number is that, this is the number that Tanzanians...
"Nilikataa kukatwa mguu, lakini madaktari waliniambia nimechelewa kupata matibabu." Huo ni ushuhuda wa kusikitisha wa George Chipeta (24), fundi wa umeme wa magari mkazi wa Banana, mkoani Dar es...
Ule muda wa Davos umefika.
Viongozi mbalimbali duniani wako huko.
Neno la muhimu hapo ni “viongozi”.
Sasa, huyu mtawala wetu ambaye ni haramu, naye ataenda au keshaenda?
Au ndo kajificha huko...
Akizungumza wakati wa mkutano wa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Kenani Kihongosi, mmoja wa wazee aliuliza ni lini serikali itaanza kuwabana wabunge wanaolala bungeni na kisha kuunga mkono...
TAARIFA KWA UMMA
AJALI YA GARI KUGONGA GARI LINGINE KWA NYUMA KISHA KUHAMA NJIA NA KUGONGA MAGARI MENGINE 03 NA KUSABIBISHA MAJERUHI 01
Tarehe 20/01/2026 majira ya saa 5:20 usiku katika barabara...
This was a design and build project. Ni wazi, takwimu walizokusanya hazikutafsiriwa ipasavyo kwa kuzingatia mabadiliko ya tabia ya nchi. Over designing sio dhambi katika uhandisi
Wali over design...
Ngoma inaanza hivi: Mwaka 1995 Mrema alivyotoka CCM, Edwin Mtei alimfuata ili Mrema ajiunge na CHADEMA na kugombea urais kupitia chama chao. Mrema akaweka masharti magumu kwamba: Ili ajiunge na...
Serikali haiko serious, haijutii kilichotokea wala hataki kukiri, sioni kiongozi aliye tayari kwa maridhiano.
Utekaji bado unaendelea, wiki iliyopita zaidi ya viongozi 10 wa Chadema wamekamatwa...
Serikali, wengi wa wana CCM na baadhi ya watu,, wamesimamia upande mmoja tu.
Kutuambia tudumishe amani., amani, amani na hawana neno jingine angalau la tofauti.
Wapinzani, wanaharakati, na...
Ziara ya Kihongosi na matamko ya hivi karibuni ya Butiku sio ya bahati mbaya ni mkakati uliopangwa ili kuchota akili za Watanzania.
Kihongosi aanze ziara Butiku ajitokeze kumponda kuwa anafanya...
Mambo ya kukumbukwa zaidi kwenye uchaguzi bandia oct 29 ni polisi kuonekana mitaani wakipiga kampeni na kurusha chopa yenye bendera ya CCM
Mambo ambayo sio majukumu ya kipolisi na yanachochea...
Huyu OCD anaitwa Christopher Msonsa, ambaye ni OCD wa Wilaya ya Kipolisi Mbalizi.
OCD Huyu ameshusha Bendera za CHADEMA Siku ya Leo ,ambayo ni Siku ya Kumbukizi ya Miaka 33 ya kuanzishwa kwa...
Butiku watanzania wamechoka kuongea ongea bila vitendo! Unapoteza muda wako mzee wetu. Bila katiba mpya ambayo inasimamiwa na chombo huru cha kitaalamu sio makada hali hii itaendelea kubaki hivi...
Anaitwa Tundu Antiphas Mughwai Lissu alizaliwa terehe 20. January 1968 kwa sasa ametimiza miaka 58, Lissu anasherehekea siku yake ya kuzaliwa akiwa ndani ya Gereza kuu la Ukonga kwa kesi ya Uhaini...
Uchaguzi tayari umeisha Uganda na kuna malalamiko kuwa Yoweri Museni kaiba kura na kuwatesa wapinzani ikiwemo kumkamata Boby Wine jana usiku.
Sasa kwanini Waganda hawatoki na kuanza kuharibu nchi...
Kinachosumbua mawaziri wengi kwa sasa ni namna gani wanafanya shughuli zao kwa mujibu wa matakwa ya mgawanyo wa madaraka na utendaji kazi.
Wengi wa mawaziri wanaacha kujikita katika kubuni na...
Utaratibu wa Kanisa Katoliki na sheria za kanisa zinasema ukitaka kumshitaki kiongozi au mshiriki yeyote wa kanisa lazima uanzie kwa Paroko, Paroko atapeleka kwa Askofu ndipo Askofu atapeleka kwa...