Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Chama kama taasisi yoyote ile huitaji wajenzi, wenye bidii iliyo kubwa kabisa na mbinu mbali mbali hatimaye kukisimamisha chama kikaonekana miongoni mwa watanzania na mwishowe kupendwa...
8 Reactions
51 Replies
2K Views
Maana mwitikio wa watu ni mdogo sana, hii inaweza wanachama wa chama hicho waliohama chadema kuvunjika moyo
11 Reactions
47 Replies
3K Views
Dunia nzima hakuna watu wasiri kama chama tawala Tanzania cha CCM wanashika nafasi ya tatu baada ya china na korea kaskazini Huwezi jua their next move
0 Reactions
2 Replies
312 Views
Nashangaa kuna nyuzi nyingi sana kuhusu Gwajima wakati tulishakubaliana kuwa ufafanuzi alioutoa komredi Lucas Mwashambwa ndo msimamo wa JF kuhusu kauli za Gwajima?! Mods futeni nyuzi zinazojirudia...
1 Reactions
5 Replies
371 Views
Nimeona niweke sawa maana wengi hawajui kwamba Kanisa limejengwa juu ya Petro Mwamba na wala milango ya kuzimu haitalishinda kwa mujibu wa maneno ya Yesu Kristo mwenyewe Hizi za akina Mzee wa...
4 Reactions
33 Replies
1K Views
Sisi wananchi sasa tuna mtihani mkubwa mbele yetu kuchagua kati ya Gwajimanize na Samianize. Gwajimanize kimsingi maana yake ni kuwa na utawala bora unaofuata sheria, ni kufichua maovu, ni...
11 Reactions
33 Replies
2K Views
Kilichotokea Mwanza kila mmoja amekiona. Hawa wahamiaji walisema wao watahama na CHADEMA yote lakini tumeshuhudia wakihutubia ng'ombe uwanjani. Baada ya uchaguzi hawa watu watakuwa kero kubwa...
2 Reactions
23 Replies
1K Views
Kulikoni airtel TANZANIA , yani ukitumiwa kakitu tayari wao wana pop message kukulazimisha ununue bado , jambo hili halikubaliki
1 Reactions
9 Replies
499 Views
Waliopigania Haki ya Wananchi Wizara hiyo iliwabeba, mfano Lyatonga Mrema, lakini walioamua kuwatosa wananchi na kuungana na watekaji na wauaji wizara hiyo iliwabwaga na wakaangukia Pua, hapa yupo...
2 Reactions
6 Replies
452 Views
Naomba nikiri kwamba, katika uhai wangu wa miongo ya kutosha kuitwa kikongwe, nimeshuhudia mambo mengi sana ya maana na ya hovyo ndani ya Tanzania. Kwa miaka mingi Watanzania walikuwa ni watu...
92 Reactions
234 Replies
9K Views
Rais wa Mabunge yote Duniani anatarajia kushinda kwa kishindo Uchaguzi ujao Jimbo la UYOLE kwa kutimiza vyote aliyoahidi kwenye kampeni za 2020. **Sugu tafuta kazi za kufanya. Tukutane 2030
1 Reactions
10 Replies
613 Views
Hivi ni kiburi, dharau au upumbavu? Kwanini Magufuli hatoi somo? Hivi dunia hii ya 5G unaweza kweli kuitawala kwa mkono wa chuma ukafanikiwa? Hivi kwanini Samia apitii notes za Magufuli? Hivi...
6 Reactions
10 Replies
716 Views
Ni dhahiri hakuna uhuru unaotakiwa kwasasa sio wa kisiasa, mawazo, kuabudu wala mwingineo wowote! Ili kuokoa gharama na fedha za walipa kodi hususan ukizingatiwa kuwa nguvu inayotumika kudhibiti...
2 Reactions
4 Replies
332 Views
Jumanne Muliro, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam amesema Jeshi la Polisi linawashikilia Watu kadhaa kutoka katika Kanisa la Ufufuo na Uzima lililopo Ubungo kutokana na kile...
5 Reactions
47 Replies
5K Views
Kwa miaka kadhaa CHADEMA ilikuwa ikipakaziwa tuhuma hasi za Udini, Ukanda na Ukabila. Uchaguzi wa chama mwaka huu angalau ukafuta hoja hizo baada ya kina Lisu na Henche kushika nafasi. Hii tabia...
4 Reactions
7 Replies
643 Views
Nilitegemea watakuja kutoa elimu murua ya kumfanya mtu awe na tumaini na chama hicho,ajabu kila aliyesimama anasema alikuwa nani Chadema mara anaisema Chadema sasa najiukiliza kweli wanalengo la...
12 Reactions
21 Replies
2K Views
UZINDUZI WA CHUMBA CHA MIONZI NA ZANA NA VIFAA IKIWEMO X-RAY MASHINE KATIKA HOSPITALI YA WILAYA YA BIHARAMULO -KATOKE. Baada ya kukamilika kwa majengo ya hospitali ya wilaya ya biharamulo na...
1 Reactions
3 Replies
254 Views
Muliro ameshasema yeye anasimamia mulichokubaliana ninyi wenyewe Watanganyika, IGP pia anasimamia mulichokubaliana ninyi wenyewe Watanganyika. Yaani wanasimamia sheria zenu mlizozitunga. Ziwe...
0 Reactions
5 Replies
513 Views
Waliokuwa wanaibeza CHAUMMA kuna ujumbe wenu hapa. Unaambiwa watu wamejaa uwanja wa Furahisha kama mchanga. Hakika CHAUMMA sasa ipo tayari kuikabili CCM kiulalo ulalo.
15 Reactions
62 Replies
3K Views
Wakati kina Mrema wanahama, walitangaza wao ndo walikuwa mastermind wa Chadema,na kuwa wamehama na wafuasi wengi. Chakushangaza mpaka Leo X ata wafuasi elfu Moja Hawana. Je watanzania wamewapuuza...
2 Reactions
19 Replies
890 Views
Back
Top Bottom