Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Je Tanzania inaenda kwenye utawala wa kifamilia? Kama hata CCM ni ndiyo Mama ndiyo Baba tutafika sehemu familia chache tu na ndugu zao ndiyo watakuwa watawala wa nchi hii kama Uganda au Rwanda...
1 Reactions
6 Replies
466 Views
Ni kama alivyofanya Trump Freeman Mbowe anaweza Kugombea tena Uenyekiti wa Chadema kama ataona Chama kinayumba kwa huu uongozi wa Sasa. Katiba inamruhusu Mkutano mkuu wa Chadema umeazimia...
0 Reactions
10 Replies
637 Views
Amani iwe nanyi waungwana wa jukwaa hili pendwa kabisa! Moja kwa Moja niende kwenye mada au swali langu kwenu wakuu, kufuatia press iliyofanywa na mbunge wa Kawe na kiongozi wa kanisa la ufufuo...
4 Reactions
61 Replies
3K Views
Na huo ndio ukweli Kwa namna ambavyo CCM imechafua Hali ya hewa dakika za jioni, na naamini bado watazidi kuchafua! Ni Kama dakika ya 92 CCM inajifunga goli, lakini refa "Tume Mbovu" anasema goal...
0 Reactions
4 Replies
261 Views
Huenda yakawa maandalizi ya kujitosa kwenye ubunge nini? === Wazee wa mila wa Kabila la Wahehe mkoani Iringa, wakiongozwa na Chifu wa Kihehe, Adam Abdul Sapi Mkwawa, wamemsimika kimila Mjumbe wa...
0 Reactions
6 Replies
736 Views
Tuwe makini na matendo yetu. Walibya walikuwa waoga sana wa serikali yao iliyokuwa ikiwanyoosha kwa mkono wa chuma. Lakini walipopata chance ikabaki historia...
0 Reactions
1 Replies
151 Views
Wasalaam Kuna kipindi Watanzania huenda watakuja elewa na waelekee wapi. Msikilize Watumishi wa Mungu msigeuke kuwa wapendekezaji mnapopata nafasi ya kuakaa na waheshimiwa waambie ukweli. Ninyi...
5 Reactions
29 Replies
2K Views
Katika zama ambapo kilimo kilionekana kama kazi ya kizamani isiyo na tija, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekuja na mtazamo mpya, ambao umegeuza kilimo...
0 Reactions
14 Replies
632 Views
Kuna sababu 3 zitakazopelekea CCM ianguke kwa kuwa na mgombea mwenza mwanamke: 1. Mfumo dume bado una nguvu katika makabila mengi hususani vijijini. Wananchi wengi hawaamini kama wanaweza...
17 Reactions
159 Replies
21K Views
Huyu ndiye Desmond Tutu wa leo anayepinga apartheid Tanzania.
1 Reactions
2 Replies
301 Views
Wakati wa utawala wa JPM aliwahi kuwashukia baadhi ya wahasibu na wakaguzi wa mahesabu kwa kusababisha serikali kukosa mapato yake halali yatokanayo na kodi. Aliwaambia ana kwa ana kuwa...
0 Reactions
2 Replies
298 Views
Ndugu zangu Watanzania, Kwa namna askofu Gwajima alivyotoa ,kueneza na kusambaza Maneno ,kauli na matamshi yake kutoka kwenye kinywa chake. Ni ngumu sana kuachwa hivi hivi bila au pasipo...
-2 Reactions
81 Replies
4K Views
Kuna maneno ya kizungu alisema sijui Justice ikifanya nini maana yake kufanya nini pale ndio sijamuelewa Kwamba kuna reasonable time au kitu gani? Msaada Wanasheria ukiwemo Pascal Mayalla
3 Reactions
34 Replies
2K Views
Ninaamini kama Gwajima akitoka mbele kwenda mahakamani kupinga maamuzi ya watu 2 kujichagua wenyewe kuwa wagombea ndani ya chama atapata nafasi ya kuungwa mkono na vigogo ndani na nje ya chama...
29 Reactions
183 Replies
8K Views
Suala la kushambulia viongozi wa kidini na kufunga makanisa yao kisa kukemea utekaji na mauwaji linachafua sana taswira ya Tanzania tunaonekana hatuna akili. Hata kama mfano unataka uraisi Sasa...
9 Reactions
29 Replies
1K Views
Sovereignity state for the freedom of people's imeamua kupambana na wananchi huru wanaopinga uvunjifu wa haki za binadamu. Nani asiyejua aliyemfunga Paka kengele,kengele imebana shingo ya Paka...
0 Reactions
6 Replies
434 Views
Kwema Wakuu! Usije ukakurupuka huko baada ya kula zako Ugali matole, au mkande yako ya kisamvu ukaanza kujifanya mtetezi wa HAKI za Watanzania. Kabla hujafanya hivyo ni muhimu kujiuliza, je...
4 Reactions
16 Replies
839 Views
Zilizothibitishwa rasmi kabisa ni kuwa; Mwandishi wa barua kwenda CHADEMA kusema kuwa haitambui uteuzi wa wajumbe wa kamati kuu na baadhi viongozi wa Sekretariate hususani Katibu Mkuu na manaibu...
2 Reactions
6 Replies
754 Views
“Kwa mujibu wa Ibara ya 33(2) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ana taswira tatu muhimu. Rais wetu ni Mkuu wa Nchi; Rais wetu ni Kiongozi wa...
0 Reactions
31 Replies
2K Views
Back
Top Bottom