Vinara wa rushwa ndiyo viongozi fake

Vinara wa rushwa ndiyo viongozi fake

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
9,590
Reaction score
14,921
Vinara wa rushwa ndiyo viongozi fake: Samia, Mwigulu, Kikwete na Rostam. Ndiyo maana Polepole hatunaye leo na Lissu kafugwa leo bila hata kuhukumiwa!!!

Bila kuwaondoa hawa Tanzania tutabaki kwenye shimo.
 
Acha kulia lia weka mkakati mezani kwa namna gani tunawaondoa? maana usifikili kuwaondoa hao watu ni kama kuua mende waliopo kwenye kabati lako la nguo.
 
Back
Top Bottom