Who was Lissu's informer, does this have any effect on our internal security?

Mlachake

JF-Expert Member
Oct 13, 2009
4,412
4,559
Lissu started questioning whereabouts of the President on March 7th 2021. As per the Vice President our President Dr. John Magufuli was hospitalized on 6th March 2021.

This clearly shows Lissu was fed information about the health of our President by his sources which he claims are reliable from the government.

Remember we normal citizens and the rest of the world were never notified on the Presidents illness till his demise on the 17th March 2021.

Who was feeding Lissu with information?
 
IMG-20210318-WA0000.jpg
 
Oktoba 2020 kabla ya uchaguzi pale Kawe, TL alisema Magufuli tayari amekwishapewa kura 12 mil na yeye TL 1.3 mil. Hiyo ilikuwa kabla ya uchaguzi. Na NECCM walipotoa matokeo ilikuwa hivyo hivyo... Huyu aliyeuliza hili swali, Je, anafikiri ni kwa nini?
Hivi kwa akili yako mtu ambaye amekua a presidential candidate anaweza kua anaishi kama sisi hao uliotuita normal citizen?
 
Lissu kasema Magufuli amelazwa hospitalini Nairobi Kenya. Baadaye kaseme serikali ya JMT ilimuondoa na kumpeleka China. Inaonyesha huyo informer ni boya kama boss wake tu.

Hapa lazima aliingia mtu wa kuweka mambo sawa kwa kumfeed misleading information.
 
Lisu Started questioning whereabouts of the president on March 7th 2021. As per the Vice President our President Dr. John Magufuli was hospitalized on 6th march 2021.

This clearly shows Lisu was fed information about the health of our President by his sources which he claims are reliable from the government.

Remember we normal citizens and the rest of the world were never notified on the Presidents illness till his demise on the 17th March 2021.

Who was feeding Lisu with information?
May be he even knows who was behind the 16 bullets.It should be a matter of time, I suppose things will begin to unfold
 
Oktoba 2020 kabla ya uchaguzi pale Kawe, TL alisema Magufuli tayari amekwishapewa kura 12 mil na yeye TL 1.3 mil. Hiyo ilikuwa kabla ya uchaguzi. Na NECCM walipotoa matokeo ilikuwa hivyo hivyo... Huyu aliyeuliza hili swali, Je, anafikiri ni kwa nini?
Mleta UZI anajua tu kuongea KINGEREZA but kuufikirisha UBONGO wake ili a connect dots kagoma, sijui ni makusudi au bahati mbaya.
 
Back
Top Bottom