Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mhe. Mbowe nakusalimu sana. Nimesoma kupitia mitandao ya kijamii kuwa unataka kuchukua Fomu ya uteuzi ya URAIS kupitia CHAUMMA. inawezekana kuwa ni kweli au siyo kweli. Mimi ni Mzee wa makamo...
9 Reactions
32 Replies
2K Views
Mtume Mwamposa amesema ndio sababu Unaweza kukuta Mtu alikuwa anashika namba ya mwisho darasani lakini amewaajiri wale waliokuwa Wanafaulu mitihani Duniani kuna Wakati na Bahati, kuna Wakati na...
9 Reactions
36 Replies
1K Views
GT Hali ndo kama mnavyoiona. Hapo Lisu bado hajatoka kudadadeki maCCM Mmekataliwa duniani na binguni. Endeleeni kulazimisha ila karma haijawahi kukosea njia
5 Reactions
16 Replies
889 Views
Mtia Nia wa Ubunge Jimbo la Moshi Vijijini ndugu Salim Kikeke amesema kuwa atasaidiana na wadau mbalimbali kutafuta soko na kuongeza thamani ya Nguruwe katika Jimbo hilo ikiwa pamoja na kuvutia...
10 Reactions
63 Replies
4K Views
Watanzania Sasa mnaelewa ni kwanini Vigo vya JPM vilitanguliwa na VIFO vya Mkapa!!. Rais Nyerere aliwakataa Mzee Kikwete na Lowassa kua Marais wa Nchi akiwaita Wahuni.
23 Reactions
49 Replies
3K Views
My Take Maisha bila Chadema yanaendelea na maandalizi ya Uchaguzi yamepamba moto. Ukisusia wanakula. ============== Bunge la 12 la Tanzania limevunjwa rasmi leo kufuatia maelekezo ya Rais Samia...
0 Reactions
11 Replies
777 Views
CCM Ina wenyewe kwa kweli. Mtu mmoja, kateuliwa: 1. Kugombea ubunge Jimbo La Moshi Mjini 2. Kateuliwa kugombea ubunge viti maalum Mkoa wa Kilimanjaro 3. Kateuliwa soma hapo kwenye picha yake...
6 Reactions
26 Replies
2K Views
CCM wanaposema kuwa hakuna muda wa kurekebisha Katiba, wamesahau waliunda mpaka bunge la kurekebisha Katiba?
0 Reactions
3 Replies
301 Views
Ni maneno ya Pastor Bosco Tungaraza kupitia HamasikaTV
1 Reactions
9 Replies
839 Views
Kumekua na sababu nyingi kwamba kuanzia ifakara, malinyi mpaka songea kuna mito mingi sana na hii pia kutoka ifakara mpaka njombe ni muhimu sana ikajengwa kwa lami ili kulifungua hili eneo Uwezo...
2 Reactions
19 Replies
1K Views
Dr Samia atawabadilikia machawa hawataamini pale atakapotema Bungo dakika za mwishoni
3 Reactions
21 Replies
1K Views
Wengi wa watu wanachukia sana wanasiasa kwa sababu wanawaona wana sifa mbaya ni ukweli wako wenye sifa mbaya na nzuri ni kama tu Kwenye biashara kuna ambao ni wafanyabiashara waaminifu na ambao...
17 Reactions
75 Replies
3K Views
Enzi za Kikwete, Tundu Lissu ananyukana kwa hoja na Mwanasheria Mkuu wa serikali... Lukuvi anaingilia... Mara Chenge naye anaibuka... Watu wanagonga meza, mara kwa mbali unasikia "Kuhusu...
1 Reactions
3 Replies
331 Views
Anna Mghwira aliwahi kugombea Urais wa JMT kupitia ACT Wazalendo mwaka 2015 na kushindwa. Baadaye aliteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa katika serikali ya CCM. Mwaka 2020 Queen Sendiga aligombea Urais...
2 Reactions
10 Replies
723 Views
Hadi sasa ni January Makamba pekee ndio yuko kwenye Siasa Hai zenye ushindani Mlale unono 🇮🇱
2 Reactions
18 Replies
888 Views
MTIA NIA UBUNGE AANZISHA FUJO Mtia nia ya Ubunge Jimbo la segerea ndugu Rajabu Amiry afanya fujo katika kikao cha maelekezo kwa watia nia ya ubunge wilaya ya ilala huku akiwa ameandaa kundi...
0 Reactions
3 Replies
550 Views
Mkazi mmoja wa Bwina Chato ndugu Majumbi amaejipatia Tsh laki tatu na sabini baada ya kushona shati la kijani, suruali nyeusi na kofia ya kijani iliyoandikwa SSH 2025 Hii ndio inaitwa akili mkichwa.
2 Reactions
10 Replies
736 Views
Nimeikuta hii video mahali ila ikanifikirisha Sana. Nikaiweka kwenye muktadha wa changuzi zinazofanyika Tanzania. Kwanza mama kwenye hii "clip" ni mfumo wa kiuchaguzi Tanzania na mtoto ni CCM...
3 Reactions
6 Replies
545 Views
Siasa inahitaji wachache wenye akili kumudu kwa wakati flani, au kipindi fulani kuweza wachezesha gwaride. Malengo yanapotimia kwa wakati huo, usiwaone tena wakendeleza Gwaride lao. Siwezi...
0 Reactions
1 Replies
276 Views
Wakuu! :D:D Watia Nia naona wanataka kuonewa huruma siyo Sera ndio ziwabebe Mtia nia wa ubunge wa Jimbo la Iringa Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Edward Nguvu Chengula maarufu kama...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…