Habari za asubuhi kuna kila dalili John Heche anamsaloti Lissu. Tundu Lissu alinukiliwa akisema Makamu nifikishie Taarifa za pole lakini heche hataki mpaka Jana Lema ndio kafikisha hizo salamu.
Lakini haitoshi katika chapisho la Lema alisema John Heche amepata Passport yake kwa njia tofauti na hali ya kawaida.
Lakini haitoshi katika chapisho la Lema alisema John Heche amepata Passport yake kwa njia tofauti na hali ya kawaida.