Habari za Zanzibar
JF-Expert Member
- Dec 18, 2024
- 507
- 344
Hakika hilo daraja la mto Simiyu limeshindikana kukamilika kabsa achilia mbali hiyo barabara yote mbovu kutoka Nyanguge kwingine nako hoi. Kanda ya ziwa imetelekezwa kwa kifupiBarabara kuu za lami ni mbovu sana zina mashimo makubwa, kitu kifanyike kuzinusuru maana El Nino akifika na story itaishia hapo.
kila la kheri Dr Mwigulu Nchemba PM or TANZANIA 🔥Karibu Simiyu
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba.
📆 13 -16 Septemba, 2026.