Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Lissu akiachiliwa hiyo tarehe 9 sasa ndipo uchaguzi utarudiwa kwa nguvu zote za wananchi kwa sasa bado hatujafanya uchaguzi wowote. Je watamtoa chuma tarehe 9 au wataanza visingizio sijui shahidi...
5 Reactions
29 Replies
494 Views
Hapa chini ni makala moja lililounganishwa kikamilifu, likijumuisha uchambuzi wa awali pamoja na masahihisho yako, bila kutumia hyphens, na kwa mtazamo wa uwajibikaji wa kisera na kisheria...
0 Reactions
0 Replies
50 Views
https://www.jamiiforums.com/threads/nchimbi-awaomba-viongozi-wa-dini-kumwombea-rais-samia-dhidi-ya-watu-wabaya.2418471/ Hiki ni kipande kidogo cha video clip cha hotuba ya VP Dr Emmanuel Nchimbi...
2 Reactions
11 Replies
549 Views
  • Redirect
0 Reactions
Replies
Views
Ni vyema sasa na wabunge wetu wakapewa nafasi ya kuwajibu hawa mabeberu wenye kushirikiana na vibaraka wao ambao kazi yao ni kuchafua taswira ya Tanzania. Utashangaa kabunge kabinti hata ubwabwa...
1 Reactions
15 Replies
264 Views
Mhashamu Almachius Vincent Rweyongeza, Askofu wa Jimbo Katoliki la Kayanga, ametoa onyo kali dhidi ya kile alichokiita "ujinga na maigizo" ya baadhi ya viongozi wanaojaribu kuingiza siasa ndani ya...
6 Reactions
8 Replies
205 Views
Hamjambo wote! 1. Kwenye mambo ya Intelligence(ujasusi, ushushushu, unjangu) kuna kitu inaitwa Missing System/s. 2. Kitu hii ukikosa hata MTU binafsi mambo yako yanakuwa hatarini, usalama wako...
9 Reactions
62 Replies
817 Views
Unauwa watanganyika, unateka Viongozi wa dini, unafungia makanisa, unawafunga wapinzani, unajipendelea kwenye uchaguzi na bado unajiibia kura ili uonekane umeshinda kwa kishindo, mwisho wa siku...
0 Reactions
0 Replies
67 Views
Tanzania to the World!!!!! Tunasonga mbele, Tanzania imepongezwa kwa kutuo Jumla ya Wanajeshi na Polisi 1,500 kwa ajili ya kuilinda amani katika mataifa mbalimbali Duniani.
4 Reactions
10 Replies
252 Views
Ambacho sina hakika ni karma anazitambua shughuli zao KILA la heri Mawinga
3 Reactions
27 Replies
458 Views
  • Redirect
Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, leo inatarajiwa kuendelea kuunguruma, ambapo upande wa mashtaka utajibu hoja za kisheria za...
2 Reactions
Replies
Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Februari 9, 2026, anatarajiwa kuwaapisha viongozi mbalimbali walioteuliwa hivi karibuni katika hafla itakayofanyika Ikulu...
0 Reactions
3 Replies
158 Views
  • Redirect
Kesi ya Uhaini namba 19605/2025 inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo 'CHADEMA' Tundu Antiphas Lissu inatarajiwa kuendelea leo Febriari 9, 2026 Mahakama Kuu, Masjala ndogo...
0 Reactions
Replies
Views
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania iko tayari kumuunga mkono Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, katika juhudi za kuimarisha amani na usalama katika ukanda wa nchi za Maziwa Makuu, kufuatia...
3 Reactions
20 Replies
460 Views
Mwenyekiti wa Kamati ya Haki za Binadamu ya Bunge la Marekani, Chris Smith, amekemea vikali vitendo vya uvunjifu wa haki za binadamu na mateso dhidi ya waumini wa dini mbalimbali duniani. Katika...
8 Reactions
12 Replies
404 Views
Watawala wa Tanzania walidhani kwa kuua roho ya ujasiri, uthubutu na ubunifu kwa vijana wa Kitanzania kupitia mifumo mibovu ya kielimu, kisiasa na ya kijamii kwamba athari zake zingebaki tu katika...
6 Reactions
3 Replies
127 Views
Kuna kila hali na kila namna bara la afrika kuanzia afrika magharibi,ukanda wa afrika mashariki,hadi ukingo wa afrika mashariki,tukiitoa ethiopia,afrika ya kati,na ukanda wa nchi zilizo kusini mwa...
4 Reactions
18 Replies
173 Views
Akichangia bungeni Februari 3, 2026, Mbunge wa Kigoma Mjini (CCM), Baba Levo, wakati wa mjadala wa Mapendekezo ya Mwongozo wa Maandalizi ya Mpango na Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2026/27...
5 Reactions
12 Replies
377 Views
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Angellah Jasmine Mbelwa Kairuki (Mb) amesema Serikali haitavumilia kuona viongozi wanabagazwa mitandaoni, na kusema wanayo teknolojia ya kuwabaini...
6 Reactions
58 Replies
1K Views
  • Redirect
Samia hana mamlaka ya kuwakilisha watu walio mkataa aache kihere here na kujipendekeza yeye sio rais wetu. Tuache kujipendekeza hatuna raisi sisi,
2 Reactions
Replies
Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…