Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Sheikh Iddi Abdallah Chaurembo (Bubu Kasema) Akishiriki Kongamano la Amani Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 Ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es Salaam, leo 24 Agosti, 2025 amewataka wale wote wanaowaza...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hebu jaribu kuwaza, chama fulani ambacho ni chama tawala, kinakusanya mabilioni kwa ajili ya kampeni. Lakini serikali ya chama hicho inawaomba wafadhili pesa za kujenga vyoo, dawa na vyandarua...
1 Reactions
3 Replies
356 Views
DENI LA TAIFA NI CHACHU YA MAENDELEO KWA WATANZANIA SIO MZIGO Mwanaharakati huru Tanzania Katika mijadala ya kisiasa na kijamii nchini Tanzania, hoja ya deni la taifa imekuwa ikibeba hisia kali...
0 Reactions
43 Replies
2K Views
Watanzania wazalendo kwa nchi yao wanajiuliza kwa jinsi jua lilivyokali mwaka huu hivi ingekuwaje mgao wa umeme kama Hayati Magufuli asingejenga bwawa la umeme la mwl Nyerere?. Ni majenereta...
9 Reactions
18 Replies
940 Views
πŸ“πŠπŽππ†π–π€ πŸ—’οΈ 25 π€π†πŽπ’π“πˆ 2025 Mgombea Ubunge Jimbo la Kongwa kwa Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Ndugu Isaya Mngurumi Moses amechukua fomu ya kugombea Ubunge Jimbo la Kongwa mapema leo kwenye ofisi...
0 Reactions
0 Replies
338 Views
Wasalaam. Kuna taarifa za ndani kabisa kutoka mikoani kwamba ccm imetoa barua za kuomba kuchangiwa kampeni zake za uchaguzi zinazotegemewa kuanza wiki ijayo. Swali fikirishi ni kwamba zile bilion...
6 Reactions
14 Replies
948 Views
Huku Sumaye na Lowassa, kule Mengi na Rostam, tusubiri AMA kweli Wahenga walisema; ndugu wakigombana chukua jembe ukalime,siku wakipatana chukua kapu ukavune. Lakini pia upo usemi wa wanasiasa...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Mnamo mwezi wa nne au tano hivi mwaka huu, sehemu ninayo kaa wakijua kuwa mimi ni kada, alikuja mjumbe kuandikisha namba yangu ya NIDA. Nami sikusita kutoa ushirikiano. Hata hivyo nilijiuliza...
7 Reactions
20 Replies
1K Views
Watanzania mnatumika na mtaendelea kutumika Sana. Hawa wote sijui Heche , Sijui Lissu, Sijui Polepole , sijui Ccm . Ni kupoteza Muda . John Heche Kaka yake wa Damu ni Mwanasheria ambaye yupo...
1 Reactions
66 Replies
3K Views
Jimbo la Kawe ndio Jimbo mama, Jimbo konki lenye vibopa kuliko Jimbo lolote la uchaguzi hapa nchini. Jimbo la Kawe ndio Lina Oyster Bay, Masaki, Msasani Peninsula, Mikocheni, Kawe Beach, Mbezi...
2 Reactions
8 Replies
646 Views
Unajua kila siku nikiamka asubuhi najiuliza hili swali lakini sipati jibu, Ina maana CCM wote hakuna mtu yeyote Mzalendo kama Magufuri ili aweze kuzisimamia rasilimali zetu? Huyu Mama kawapi...
2 Reactions
3 Replies
258 Views
Wanabodi, Kuna msemo usemao numbers don't lie, hili ni bandiko la numbers na data, kama sio mzuri wa mathematics na arithmetics nakushauri bandiko hili bora ulipitie mbali and save your time...
35 Reactions
192 Replies
30K Views
Wanabodi, Haya ninayoyaandika hapa, yanatoka ndani kabisa ya moyo wangu na ninaandika kwa uchungu!, kwa mtu yoyote ambaye alikuwa na matumaini ya labda 2015, tunaweza kupata mabadiliko...
26 Reactions
197 Replies
25K Views
napita tu This is faith
0 Reactions
2 Replies
380 Views
Wanabodi, Tangu kuanza kwa kampeni, Ijumaa iliyopita, ni jana, leo na kesho, ndio nimepata nafasi kutulia nyumbani kufuatilia uchaguzi kwenye Electronic Media. Jana nimeshuhudia TBC ikionyesha...
0 Reactions
35 Replies
5K Views
Na soma hapa Kitabu cha Mzee Mkapa na kuna Mahali aanasema kama ingetokea anakuwa Rais tena basi angetenda tofauti kabisa Inatafakarisha kiasi Mlale unono πŸ˜πŸ‡ΉπŸ‡Ώ
1 Reactions
12 Replies
549 Views
Kama ni SIASA basi nchi yetu inaongozwa kwa mihemko sana au tuliowapa uongozi hawafikirii vyema kuhusu wananchi. Kama ni Inshu critical kumtandao au shida basi wanapaswa kuitatua haraka sana...
27 Reactions
108 Replies
6K Views
Imefika miaka mitatu tangu viongozi wa dunia wajitolee kutimiza moja ya malengo yenye ujasiri mkubwa katika historia ya afya ya umma duniani: kufanikisha upatikanaji wa huduma za afya kwa wote...
0 Reactions
3 Replies
401 Views
Busara ni zawadi kutoka kwa Mungu wa mbinguni Nadhani busara za Malecela zingehitajika wakati huu japo ni Mzee sana Ahsanteni sana
0 Reactions
4 Replies
258 Views
Mwenyekiti wa CHASO (CHADEMA Student Organization) mkoa wa Dar es Salaam Martin Samson Abduli ametoa tamko kwa waandishi wa habari akilalamikia mwenendo wa Rais wa TAHILISO Geofrey Kiliba akidai...
1 Reactions
0 Replies
332 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…