UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,239
- 7,603
Huwa sipendezwi na kauli za wanasiasa wanaposema kuwa watanzania wengi tuna ujinga na hatuna elimu hivyo hatujui haki zetu. Kwa maana hiyo unakuta tunaambiwa tunapelekeshwa tu na ccm kwa sababu ya ujinga wetu na umasikini wetu,lakini najiuliza ikiwa watanzani wenyewe ambao umasikini na ujinga wetu unafanya tupelekeshwe na ccm je,vyama vya upinzani nao hawatumii nafasi hii ya ujinga na umasikini wetu kutupelekesha?