Mbunge Mwita Waitara amesema suala la Katiba Mpya ni jambo muhimu kwa Tanzania, akieleza kuwa kuna mambo matatu ambayo wananchi wanayataka, likiwamo kuwepo kwa Tume Huru ya Uchaguzi ili...
Mgombea Urais wa Zambia, Brian Mundubile, ameibua madai mazito akisema: “Zambia siyo Tanzania” na kuonya dhidi ya kujaribiwa kuingizwa kwa mbinu alizozitaja kama “Tanzanian tactics” katika...
Wanabodi
Hili ni moja ya mabandiko yangu ya kikubwa,hakuna jina la mtu yoyote, naomba tusitaje taje majina!。
Haya sio mambo ya ulimwengu huu wa kimwili,ni mambo ya ulimwengu wa kiroho hivyo...
Hii ndio Taarifa mpya kwa sasa
Baada ya kuripoti kwenye ofisi ya Mafwele, Madeleka akakamatwa na kupelekwa Kisutu ambako anatarajiwa kupewa shitaka la Watanganyika wote linaloitwa Ugaidi...
Ndugu zangu Watanzania KAMATI YA KUSUKUMA MARIDHIANO YA KITAIFA(KKMK) tunahimiza Wanasiasa kuwa na Utulivu wa AKILI,MIKAKATI NA MBINU za kupigania MAGEUZI YA KATIBA na MAZUNGUMZO...
Wakuu,
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimekemea vikali uamuzi wa Serikali kupitia Idara ya Habari (MAELEZO) wa kulifungia na kusitisha leseni ya gazeti la MwanaHALISI kwa kipindi cha...
Mkitaka kujua Mkitaka kujua mtu hafai kuvaa viatu vya urais, au roho ya Samia au Samia ni mtu wa namna gani ni pale kwenye Matatizo.
Rais ndo mfariji wa kwanza katika Nchi. Anatakiwa atoe pole...
Tunafundisha mashuleni somo la Historia ya Tanzania na maadili, lakini maadili tunayowarithisha watoto wetu ndiyo haya ya kutekwa na kubambikiwa kesi.
Sina la kusema hii ndio tanzania yangu...
Hakuna sababu mtu ashambuliwe kwa kumtetea Nchimbi. The question of the 2030 elections does not arise.
Uchaguzi huo wakati wake bado.
Tunasema kwamba sasa hivi Nchimbi ndio Makamu wa Rais.
Yule...
Kwanini mpaka sasa kimya kuhusu tume ya kuchunguza kuondolewa kwa sheikh Walid?
Tangu ilipotangazwa kwamba imeundwa tume ya kuchunguza na kutoa ripoti kuhusu suala la kuondolewa kwa Walid, mpaka...
“Uliagiza jeshi lijiandae na uchaguzi?"
Na ulisema hakutakuwa na nywinywi wala nywinywinywi, waambie majaji kwa nini uliosababisha mauaji makubwa Oktoba 29. Hujakamatwa.
Na mimi sina hatia...
Shalom shalom watanzania! Naomba niende moja kwa moja kwenye hoja.
Hivi ni sahihi kwa mkuu wa mkoa wa mji mkubwa wa Dar es salaamu tena uliojaa matukio ya watu kutekwa, kupotezwa Hadi kuuliwa...
Katika utumishi wa umma huwa tunaelekezwa kuzingatia maslahi ya umma katika kutekeleza majukumu yetu.
Utashi huu ni muhimu kwasababu pamoja na kuchochea ufanisi, ubora wa huduma kwa wateja na...
Awamu ile nyingine hadithi na porojo zilikuwa nyingi sana kuhusu viwanda, ila wakaishia kuaibika kwa kusema vyerehani na vijiwe vya uchomeleaji ni viwanda.
Hilo halipo awamu ya 6, ni maneno na...
Sioni kama Wasira anatufaa kwa sasa CCM kua makamu mwenyekiti wa chama cha mapinduzi na huyu sio kwamba ni mwana CCM mfia chama hapana huyu ni CCM masalahi huyu aliwahi kwenda kujiunga na NCCR...
Serikali ya Tanzania si ya Majimbo, kila taasisi ipo kitaifa, hakuna taasisi za majimbo
Watumishi wa Serikali wanaweza kufanya kazi katika mkoa wowote nchini, bila kujali wanatoka mkoa gani. Kwa...
Balozi wa kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Geneva, Dkt. Abdallah Possi, ameeleza kuwa taswira ya Tanzania kimataifa bado ni nzuri, licha ya matukio yaliyojitokeza nchini tarehe 29...
Mr Mapanga amesema Tanzania si nchi masikini, bali Watanzania ndio wanaoishi katika hali ya umasikini, akidai kuwa rasilimali na vitega uchumi vya nchi viko mikononi mwa Serikali huku wananchi...
CCM na Serikali yake washakata pumzi. Wana CCM wanategemea kula kupitia kwenu.
Nawashawishi Wafanyabiashara wote Tanzania kuiunga Mkono CHADEMA.
Watanzania tushikamane tusaidiane CHADEMA ili...