Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

  • Featured
Mbunge Mwita Waitara amesema suala la Katiba Mpya ni jambo muhimu kwa Tanzania, akieleza kuwa kuna mambo matatu ambayo wananchi wanayataka, likiwamo kuwepo kwa Tume Huru ya Uchaguzi ili...
26 Reactions
75 Replies
2K Views
Au ndio kulamba asali? Madeleka anateseka mwanachama wa ACT yeye kala buyu? Hivi Zitto atawaadaa watanzania mpaka lini?
4 Reactions
26 Replies
274 Views
Mgombea Urais wa Zambia, Brian Mundubile, ameibua madai mazito akisema: “Zambia siyo Tanzania” na kuonya dhidi ya kujaribiwa kuingizwa kwa mbinu alizozitaja kama “Tanzanian tactics” katika...
2 Reactions
9 Replies
187 Views
Wanabodi Hili ni moja ya mabandiko yangu ya kikubwa,hakuna jina la mtu yoyote, naomba tusitaje taje majina!。 Haya sio mambo ya ulimwengu huu wa kimwili,ni mambo ya ulimwengu wa kiroho hivyo...
36 Reactions
109 Replies
6K Views
Hii ndio Taarifa mpya kwa sasa Baada ya kuripoti kwenye ofisi ya Mafwele, Madeleka akakamatwa na kupelekwa Kisutu ambako anatarajiwa kupewa shitaka la Watanganyika wote linaloitwa Ugaidi...
7 Reactions
32 Replies
479 Views
Ndugu zangu Watanzania KAMATI YA KUSUKUMA MARIDHIANO YA KITAIFA(KKMK) tunahimiza Wanasiasa kuwa na Utulivu wa AKILI,MIKAKATI NA MBINU za kupigania MAGEUZI YA KATIBA na MAZUNGUMZO...
2 Reactions
18 Replies
152 Views
Wakuu, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimekemea vikali uamuzi wa Serikali kupitia Idara ya Habari (MAELEZO) wa kulifungia na kusitisha leseni ya gazeti la MwanaHALISI kwa kipindi cha...
0 Reactions
0 Replies
41 Views
Mkitaka kujua Mkitaka kujua mtu hafai kuvaa viatu vya urais, au roho ya Samia au Samia ni mtu wa namna gani ni pale kwenye Matatizo. Rais ndo mfariji wa kwanza katika Nchi. Anatakiwa atoe pole...
3 Reactions
41 Replies
697 Views
Tunafundisha mashuleni somo la Historia ya Tanzania na maadili, lakini maadili tunayowarithisha watoto wetu ndiyo haya ya kutekwa na kubambikiwa kesi. Sina la kusema hii ndio tanzania yangu...
0 Reactions
2 Replies
38 Views
Hakuna sababu mtu ashambuliwe kwa kumtetea Nchimbi. The question of the 2030 elections does not arise. Uchaguzi huo wakati wake bado. Tunasema kwamba sasa hivi Nchimbi ndio Makamu wa Rais. Yule...
1 Reactions
6 Replies
145 Views
Kwanini mpaka sasa kimya kuhusu tume ya kuchunguza kuondolewa kwa sheikh Walid? Tangu ilipotangazwa kwamba imeundwa tume ya kuchunguza na kutoa ripoti kuhusu suala la kuondolewa kwa Walid, mpaka...
1 Reactions
17 Replies
136 Views
“Uliagiza jeshi lijiandae na uchaguzi?" Na ulisema hakutakuwa na nywinywi wala nywinywinywi, waambie majaji kwa nini uliosababisha mauaji makubwa Oktoba 29. Hujakamatwa. Na mimi sina hatia...
22 Reactions
48 Replies
643 Views
Shalom shalom watanzania! Naomba niende moja kwa moja kwenye hoja. Hivi ni sahihi kwa mkuu wa mkoa wa mji mkubwa wa Dar es salaamu tena uliojaa matukio ya watu kutekwa, kupotezwa Hadi kuuliwa...
8 Reactions
37 Replies
457 Views
Katika utumishi wa umma huwa tunaelekezwa kuzingatia maslahi ya umma katika kutekeleza majukumu yetu. Utashi huu ni muhimu kwasababu pamoja na kuchochea ufanisi, ubora wa huduma kwa wateja na...
4 Reactions
11 Replies
126 Views
Awamu ile nyingine hadithi na porojo zilikuwa nyingi sana kuhusu viwanda, ila wakaishia kuaibika kwa kusema vyerehani na vijiwe vya uchomeleaji ni viwanda. Hilo halipo awamu ya 6, ni maneno na...
8 Reactions
242 Replies
40K Views
Sioni kama Wasira anatufaa kwa sasa CCM kua makamu mwenyekiti wa chama cha mapinduzi na huyu sio kwamba ni mwana CCM mfia chama hapana huyu ni CCM masalahi huyu aliwahi kwenda kujiunga na NCCR...
5 Reactions
20 Replies
182 Views
Serikali ya Tanzania si ya Majimbo, kila taasisi ipo kitaifa, hakuna taasisi za majimbo Watumishi wa Serikali wanaweza kufanya kazi katika mkoa wowote nchini, bila kujali wanatoka mkoa gani. Kwa...
1 Reactions
44 Replies
442 Views
Balozi wa kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, Geneva, Dkt. Abdallah Possi, ameeleza kuwa taswira ya Tanzania kimataifa bado ni nzuri, licha ya matukio yaliyojitokeza nchini tarehe 29...
3 Reactions
10 Replies
103 Views
Mr Mapanga amesema Tanzania si nchi masikini, bali Watanzania ndio wanaoishi katika hali ya umasikini, akidai kuwa rasilimali na vitega uchumi vya nchi viko mikononi mwa Serikali huku wananchi...
1 Reactions
5 Replies
112 Views
CCM na Serikali yake washakata pumzi. Wana CCM wanategemea kula kupitia kwenu. Nawashawishi Wafanyabiashara wote Tanzania kuiunga Mkono CHADEMA. Watanzania tushikamane tusaidiane CHADEMA ili...
14 Reactions
28 Replies
208 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…