Duuh.. Ndio maana kuna watu walikuwa wanalazimisha hii hela ilipwe.. Maumivu ya kichwa huanza pole pole
Asante sana mkuu!
Hela imelipwa kisheria! Tatizo mnakurupuka na vikaratasi vya kufungia maandazi alafu mnahemka. Huwezi kujua kwann PAP kachukua fedha za escrow kama hujui Escrow ilianzishwaa kwa taratbu zipi kwenye mkataba wa kuuziana umeme baina ya TANESCO na IPTL. Tafuteni taarifa zilizoshiba siyo unalazimisha watuwakuelewe kwakupigia mistari visentesi.
Nimezisoma docs zote, mie naona ni nyaraka za mawasiliano ya kawaida kiofisi kuhusu hayo malipo.
Inabidi tupate mwanga zaidi katika huu 'ufisadi' najaribu kujiuliza maswali haya: Je, huo umeme Tanesco walitumia? na vipi kama malipo yangefanywa kila mwezi kama walivyolipwa wengine akina Symbion na Songas, hiyo pesa isingetumika?
Wewe ndio Maswi nini ? Maana naona unatetea kwa juhudi na maarifa.
n00bPata nyaraka zote kuhusu ufisadi wa Tegeta Escrow Account Scandal hapa chini
Wakuu! naomba ruhusu ya kupachika haya makitu page kwa page!
umedefine great thinker kimatendo! bravo bravo! siyo mjinga kule juu ameshindwa hata kupakua hizo files nasimuyake aliyonunuliwa na shemeji yake alafu anatype uchafu tu.
Nimezisoma docs zote, mie naona ni nyaraka za mawasiliano ya kawaida kiofisi kuhusu hayo malipo.
Inabidi tupate mwanga zaidi katika huu 'ufisadi' najaribu kujiuliza maswali haya: Je, huo umeme Tanesco walitumia? na vipi kama malipo yangefanywa kila mwezi kama walivyolipwa wengine akina Symbion na Songas, hiyo pesa isingetumika?
Wakuu! naomba ruhusu ya kupachika haya makitu page kwa page!
nimesisimka mno kusoma hizi nyaraka ...khaaaa hii nchi jamani
Wakuu! naomba ruhusu ya kupachika haya makitu page kwa page!
pita tu siyo lazima uchangie, kuna mijadala ya udaku huko nje nenda kachangie.