Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Katibu wa Umoja wa Madereva Bodaboda Manyoni atoa tamko la kutunza Amani na Ushiriki Uchaguzi Mkuu 2025 Katibu wa Umoja wa Madereva Bodaboda (Maafisa Usafirishaji) Wilaya ya Manyoni, Edward...
1 Reactions
6 Replies
391 Views
"Leo nimerudi tena kwenu kwa ajili ya kuwaomba mnitume niende nikakamilishe kazi ambayo niliianza mwaka 2015 ikakayishwa mwaka 2020 tulifanya Kazi kubwa sana tulijenga heshima ya mji wetu...
2 Reactions
7 Replies
494 Views
Kunamdau mmoja nilimpa ahadi ya kuanzisha uzi unaohusu mfumo wa upigaji Kura kisasa zaidi. Kulingana na madai mbalimbali kuhusu kuwepo wizi wa Kura, kutokana na ufinyu wa uwazi katika mchakato...
2 Reactions
13 Replies
566 Views
Mgombea Ubunge Kigoma Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Clayton Chipando (Baba Levo) akiwa kwenye Mahojiano katika kipindi cha one on one Wasafi TV aliulizwa swali na mwandishi wa habari...
1 Reactions
6 Replies
786 Views
SIFA 22 ZA KIONGOZI BORA 1: Kiongozi Ana Hoja sio Haja( Njaa) 2: Kiongozi Anaona Mbali Sio MBELE( Kuona Kwake Sio Mwisho Wa Pua Yake) 3. Kiongozi bora ni mjuzi, siyo mjuaji. Mjuzi ni muelewa...
2 Reactions
6 Replies
568 Views
Nawasalimia kutoka Canada ya Bonyokwa. Kuna wajumbe wa CCM kata ya Bonyokwa, Segerea wanapita kila kaya kuomba kura za Diwani na Mbunge, na kisha huomba majina ya wanafamilia wote waliokidhi...
3 Reactions
13 Replies
659 Views
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania kupitia CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewahakikishia wakulima wa Tumbaku nchini kuwa Serikali iko kwenye hatua za mwisho kuhakikisha madai yao ya muda mrefu...
1 Reactions
4 Replies
343 Views
Niende moja kwa moja kwenye mada Naomba kujuzwa, Wabunge, Mawaziri na Rais bado wanatumikia viti vyao ilhali wapo kwenye kuomba kura kwa wananchi? Kwa sababu bado huko kwenye baadhi ya majukwaa...
2 Reactions
8 Replies
507 Views
Kwa maneno ya Jaji aliyesikiliza shauri hili mjini Dodoma leo, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) ilimnyima haki ya msingi ya kusikilizwa Mheshimiwa Luhaga Mpina, jambo ambalo ni kinyume na Katiba...
10 Reactions
15 Replies
1K Views
ACT kilikuwa chama cha kwanza kuhitaji reforms za kikatiba ili zitusaidie kwenda kwenye uchaguzi huru na wa haki. Lakini hakuungwa mkono akaonekana msaliti anatumiwa na CCM kuiremba katiba.Na...
7 Reactions
72 Replies
2K Views
Bw. Bismass Shillah aliyekuwa kada wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na baadae kuhamia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) ametangaza kurejea rasmi CHADEMA kwa kile alichodai kuwa...
6 Reactions
14 Replies
1K Views
Mwenyekiti wa Kampeni ya Mama Asemewe Taifa, Ndg. Geofrey Kiliba ameendelea na ziara yake mkoani Singida ambapo alikutana na vijana maafisa usafirishaji katika wilaya ya Manyoni. Soma pia...
1 Reactions
3 Replies
411 Views
Mzee Muhogo Mchungu akataa kuhojiwa kuhusu mambo ya Sanaa badala yake aulizwe kuhusu kampeni za Mgombea Urais kupitia CCM, Samia Suluhu Hassan
1 Reactions
6 Replies
441 Views
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Arusha, Elisa Mungure, ametoa wito kwa Mwenyekiti Mstaafu wa chama hicho ngazi ya taifa, Freeman Mbowe, kujitokeza hadharani na...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Kiongozi mstaafu wa ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe amesema mgombea urais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman kwa tiketi ya chama hicho ndiye anayefaa kuongoza kisiwa hicho kutokana na kuwa mstari wa...
2 Reactions
2 Replies
285 Views
Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman, amesema akipata ridhaa ya kuongoza dola, ataanza na marekebisho ya Katiba ili kuvifanya visiwa hivyo kuwa mikononi mwa...
3 Reactions
3 Replies
326 Views
Hii imekaaje wakubwa, FBI wamefanikiwa kumkamata muuaji wa Charlie Kirk wakitumia chini ya siku moja tu kufanikisha hili. Ila, miaka 8 sasa imepita tangu mnadhimu mkuu wa Upinzani Bungeni, mtu...
10 Reactions
28 Replies
1K Views
Mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa katika kampeni kunadi sera Kigoma Mjini amewaahidi wananchi kuwa watahakikiha barabara zote za vijijini ambazo hazipo...
0 Reactions
1 Replies
218 Views
Mgombea Ubunge jimbo la Kigoma mjini kupitia CCM, Baba Levo ametamba kuwa atashinda mapema sana saa tano asubuhi kwani mpinzani wake ni dhaifu kama biskuti
0 Reactions
0 Replies
188 Views
Bila huyu mwamba leo 1. Mradi wa neti za kuzuia malaria zisingekuwepo 2. Miradi ya kutoa dawa ambazo za wagojwa wa ukimwi zisingekuwepo. 3. Umeme vijijini hata ulianzishwa na huyu mwamba na...
3 Reactions
6 Replies
478 Views
Back
Top Bottom