Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Wote kipaumbele chao ni kuendelea kubaki madarakani. Ili dikteta aendelee kubaki madarakani lazima awe na hela za kuwalipa wapambe, wanajeshi na vyombo vingine vya dola. So akili ya dikteta siku...
0 Reactions
6 Replies
169 Views
Chama cha Chadema kinazunguka nchi nzima kupoteza nguvu na gharama kulalamika kuwa Rais Samia ni mzanzibari hivyo na sisi tunataka Tanganyika yetu, hivi kweli chama kinachotaka kuleta maendeleo...
4 Reactions
197 Replies
7K Views
Huu ushamba haufai kuachwa hivihivi, TISS, TRA, TEMESA sijui nani anahisika hapo atuondolee aibu hii
15 Reactions
91 Replies
2K Views
16 February 2026 Baraza la Dhahabu Duniani laashiria utayari wa kushirikiana na Tanzania kuimarisha sekta ya dhahabu - SADC https://m.youtube.com/watch?v=W9De1WL7Rh8 Baraza la Dhahabu Duniani...
0 Reactions
11 Replies
317 Views
  • Redirect
Kila kitu hajui, Sasa imekuja kufanya nini mahakamani? Mhe. Lissu: Hawa ndio kesho watakuwa ma RPC siku inayofuata utashangaa anakuwa IGP
0 Reactions
Replies
Views
Ukiwa na Raisi ambaye ameingia kwa wizi wa kura na kila mtu anajua hilo. Ukiwa na system ya siasa mbayo haiendani na matakwa ya nchi. Ukiwa na utawala unategemea majeshi na una rushwa kuna kitu...
10 Reactions
26 Replies
539 Views
Polisi hamuaminiki. Mmeteka watu maelfu mnasema hamihusiki, at the end of the day inafahamika pasi shaka kuwa you are the CULPRITS. Soka yuko wapi wakati aliripoti Chang'ombe na mkasema hamuhusiki.
4 Reactions
10 Replies
306 Views
Wakuu Hiki ndicho Kizimba cha mashahidi wa kificho Kesi ya uhaini Kesi Na. 19605/2025 inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu ambacho Mahakama...
20 Reactions
121 Replies
3K Views
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mara, Agnes Marwa, leo tarehe 16 Februari, 2026 ametoa sadaka maalum kwa viongozi wa dini ya Kiislamu katika Misikiti tofauti ya Musoma Mjini ikiwa ni sehemu ya...
2 Reactions
1 Replies
158 Views
Huyu Samia ni kama alizaliwa kuwa muigizaji akajikuta anapenda uhudumu wa ndege. Isivyo bahati akadondokea kwenye uraisi. Maigizo ya Samia: 1) ety kaanzisha wizara ya vijana hii wizara mbona ipo...
8 Reactions
6 Replies
313 Views
Mahakama Kuu, Masijala Ndogo Dar es Salaam, leo, Februari 17, 2026 imesikiliza mapingamizi katika Kesi Na. 8323/2025 yaliyowekwa na Said Issa Mohammed, aliyewahi kuwa Makamu Mwenyekiti wa Chadema...
0 Reactions
1 Replies
226 Views
Mheshimiwa Dr Hussein Bashe MP PhD anasubiria kuapishwa baada ya mabadiliko ya Baraza la mawaziri hivi karibuni.
4 Reactions
46 Replies
1K Views
Baada ya Chama cha Wananchi (CUF), kuitisha mkutano wa waandishi wa habari katika ofisi za makao makuu Buguruni jijini Dar es Salaam Februari 17, umeibuka mzozo kati ya viongozi na makada...
0 Reactions
4 Replies
214 Views
Timbwili jipya limeibuka Makao Makuu ya Chama cha Wananchi (CUF), Buguruni jijini Dar es Salaam baada ya wanachama wake kugawanyika katika pande mbili, wapo wanaoutambua uongozi uliopo na wengine...
0 Reactions
1 Replies
201 Views
Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imeanza utekelezaji wa zoezi la kuteketeza nyaraka za Uchaguzi Mkuu uliofanyia Oktoba 29, 2025 ambapo zoezi hilo limeanzia Kisiwa cha Pemba na baadae Kisiwa cha...
0 Reactions
2 Replies
249 Views
Ukifatilia hii kesi, Yale Maelezo waloandikishwa Hawa wanaoitwa Mashahidi wa Lissu, na maelezo wanaotoa Mahakamani ni vitu Viwili tofauti kabisa. Sijui ni hizi Elimu za Darasa la Saba kwa hiyo...
6 Reactions
14 Replies
305 Views
Waziri wa mambo ya Nje, Thabiti Kombo akizungumzia suala lililoibuka mtandaoni kuwa Rais Samia hakutambuliwa wala kuongea kwenye mkutano wa Umoja wa Afrika uliofanyika Adis Abeba, amesema kwamba...
1 Reactions
4 Replies
366 Views
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb) akizungumza katika Mkutano na Vyombo vya Habari kuhusu ziara ya kikazi ya Rais Dkt.Samia, Addis Ababa...
3 Reactions
49 Replies
979 Views
Mimi ni mmoja ya watu ninaounga mkono Maandamano yoyote yatakayotangazwa nchini hadi CCM ianguke na nchi ipate katiba mpya, hakuna shaka kabisa utawala uliopo umefitinika na hauna uhalali mbele ya...
13 Reactions
36 Replies
1K Views
Tusibaki kinyonge JF ili tuje kuwa sehemu ya historia.. Mitandao mingine imeshakiwasha na kampeni inaenda vema sana... Challenge yetu ni kufikisha replies 3000 by Jumatatu na comments zake ni NO...
224 Reactions
3K Replies
60K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…