Chadema inaendelea kutumia wataalamu wake kuona sera ipi bora itakayowawezesha madereva kutii sheria,itakayowafanya wamiliki kupata usalama wa magari yao na jinsi ya kuhakikisha vifo vya ajali...
Habari za harakati ya kutamfuta mrithi wa JK zinaendelea safari hii zimeibukia Unguja na Pemba.
Huko wafuasi na Wakazi wa Visiwani wamekuwa katika mijadala mizito juu ya nani ana nafasi ya...
Mwenyekiti wa chama cha Tanzania Labour (TLP) Bw. Augustine Mrema, Ametangaza kumvua uanachama yule Mwenyekiti wa kamati ya ukweli na maridhiano, Joram Kinanda na wanakamati wenzake wanane...
ni kwenye daftari la kudumu la wapiga kura hapa mafinga nimepanga mstari wa foleni kwa masaa 11 ila ninashukuru nimejiandikisha ninamuomba mungu niitumie vema kura yangu kwenye uchaguzi mkuu
Vyama vinavyounda ukawa leo vimefanya mkutano wao wa kwanza mjini kahama na kuhudhuriwa na halaiki kubwa ya watu ambao wakati wote walionekana wakiwa na nyuso za ukombozi....mweshimiwa lema...
Hayawi! Hayawi! Sasa yamekuwa! Naibu Katibu mkuu wa CHADEMA Zanzibar Kamanda Salum Mwalim amepitishwa na kamati za UKAWA Zanzibar kugombea ubunge jimbo la kikwajuni. Kwa sasa jimbo la kikwajun...
Muhingo Rweyemamu on Aminas Death
Salaam wana Tumaini na wapenzi wa ukweli kote mliko. Tangu Amina
alipofariki usiku wa juzi, mimi binafsi kama Mhariri wa gazeti la Rai,
nimepokea simu na...
Wadau,
Hata kama ni uwekezaji lazima ufuate sheria za nchi husika, lazima kuwe na win win situation.
Kwa bahati mbaya sivyo hivyo kwa haya mabenki ya nje yanayofurika nchini kila uchao...
Kutokana na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha usiku kucha nimepita baadhi ya mitaa alfajiri hii na kukuta wananchi wakikimbia nyumba zao sababu ya kujaa maji ndani. Inatia huruma kwa kweli, awa...
Nimesoma mahojiano baina ya Gazeti la Mwananchi, leo 04 Mei 2015 nikagundua kuwa CCM haiko tayari kuachia madaraka hata kama watashindwa kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu 2015.
Mh. Wasira...
Nipo mkoani Njombe, leo asubuhi kaja mama mmoja kunigongea,huyu mama ni Balozi.
Akatoka Wife, akaambiwa baadaye saa 9 za Alasiri kutakuwa na mkutano wa kibalozi. Bahati mbaya Mimi nilikuwa na...
Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), Augustino Mrema amesema hakuna ubaya Rais Jakaya Kikwete akiachwa kuongeza nchi kwa muda ili akamilishe mchakato wa Katiba Inayopendekezwa...
Na Profesa Baregu
MACHI 18 na 19, mwaka huu, kulikuwa na kongamano la kuzinduliwa kwa Kavasi la Mwalimu Nyerere. Uzinduzi huo ulitangazwa sana kwenye vyombo vya habari kabla ya tarehe hizo na...
Habari za leo marafiki zangu wapenda
mabadiliko niko moshi mjini kwenye kongamano
ya bavicha mh tindu lisu anatoa semina elekezi
namna ya kushinda maccm kwenye uchaguzi
mkuu October baada...
UKAWA wanashangaa kikwete na CCM kuongeza muda wa kukaa madarakani kwa miaka kadhaa kinyume cha katiba ya nchi, mimi si mojawao. Nimebadilisha mawazo. Sasa ninaunga mkono hoja ya JK, kuongezewa...
Habari wadau,
Hivi wale waliochota fedha za EPA pale bank kuu (BOT) na kisha kupewa msamaha "haramu" wamerudisha fedha zote?
Wahusika tunaomba mrejesho(feedback) kuhusu jambo hili.
Jamani...
Serikali ya Tanzania imekiri kipitia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kuwa baadhi ya waathirika wa mafuriko hawatafikiwa na misaada ya serikali kwa kuwa wanaishi katika maeneo hatarishi.
My take...
AWAMU YA NNE IMEINUA SEKTA YA NISHATI, MADINI
Kuanzishwa mfumo wa ununuzi mafuta kwa wingi (BPS) katika biashara ya mafuta ya petroli nchini, kwa kiwango kikubwa kumerahisisha usimamiaji wa kodi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.