Yethero Mgale
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 525
- 228
Mwenyekiti wa chama cha Tanzania Labour (TLP) Bw. Augustine Mrema, Ametangaza kumvua uanachama yule Mwenyekiti wa kamati ya ukweli na maridhiano, Joram Kinanda na wanakamati wenzake wanane.
Chanzo: Radio 5
Chanzo: Radio 5