Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
Wanajamvi hivi hii kesi status yake ikoje. Nimepoteza kummbukumbu.
Ilikuwa ni kesi ya kugushi nyaraka za manunuzi ya jengo la ofisi za ubalozi wa tanzania italy.Aliyekuwa Balozi Prof Mahalu...
Sikiliza mwenyewe habari hii
Hivi inagharimu kiasi gani kwa waandishi wa Tanzania nao kuanza tabia ya kufuatilia mambo kwa undani
kama hawa jamaa zetu..??
Katika kuwalinda wasichana dhidi ya KUDANGANYIKA na KUHARIBU NDOTO ZA MAISHA YAO... kuna matangazo kadhaa yanatoka kwenye redio na TV kuhusu "FATAKI".Hivi ndugu zanguni, pamoja na nia njema kabisa...
hello pipo....kuna mtu anaweza kunipa mwanga hizo successes and failures of labour law in bridging the gap between an employer and an employee in Tanzania terms of rights and liabilities of both...
Jamani naomba muongozo juu ya sheria ya umiliki wa kiwanja inasemaje?
Kuna kiwanja nimenunua Arusha alieniuzia ni mtoto wa mwisho katika hiyo familia ambaye baba mzazi wao alishafariki na...
Wana JF naombeni msaada wenu ili sheria ifuate mkondo wake:
Hapa job kwangu nina rafiki yangu amenielezea tatizo lililo mpata kaka yake ni hivi: Kaka anabinti yake ambaye anasoma form IV lakini...
Nina maswali mengi juu ya hukumu iliyotolewa na mahakama ya rufaa juu ya rufaa ya serikali kwenye kesi ya mgombea binafsi;
1.Hukumu ina defects maana hakuna mahala kulipoonyesha appeal allowed au...
Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Frederick Werema.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Frederick Werema, amevitaka vyombo vya dola kuwahoji...
habari wana jf,
kuna rafiki yangu ameomba nimuulizie ili swali.
1. Yeye ameolewa kwa ndoa ya bomani mume wake ni mwiisilam, wana watoto wawili. Tangu waishi na mumewe takribani miaka mitatu...
Zuhura Mmari na Grace Ndossa
OFISI Ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) imewata watu wanaochapisha, kusambaza kuuza na kugawa katiba za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977 toleo la 2008...
UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM
UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM SCHOOL LF LAW
(FORMERLY FACULTY OF LAW)
STAFF SEMINAR ON THE COURT OF APPEAL DECISION IN
HON ATTORNEY GENERAL v. REVEREND...
I am not satisfied with the way the Law School is being run. I am not saying it is being badly run but it could be improved. Why not allowing private individuals and schools to run the legal or...
Nimesoma mara kwa mara vitabu vya Prof Issa G. Shivji akiandika kwenye vitabu vyake mbalimbali kwamba Hati za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ziko juu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa...
na Rahel Chizoza, Dodoma
SERIKALI imekubali kuwepo kwa uraia wa nchi mbili kwa Watanzania walioko nje ya nchi na kwamba wasichukuliwe kama wasaliti.
Kutokana na hatua hiyo, Wizara ya Mambo ya...
Meya wa Jiji la Mwanza, Leonard Bandiho Bihondo
Kesi ya mauaji inayomkabili Meya wa Jiji la Mwanza, Leonard Bandiho Bihondo (64) pamoja na washtakiwa wenzake watatu, jana...
wanaJF kuna mwenye copy ya Sheria ya ndoa hapa, nataka kuijua ki-undani maana kuna issues zinanitatiza sana, kama kuna yoyote anayo naomba msaada na ufafanuzi wake, najua wanasheria wa maana mko hapa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.