Hiphop
Member
- Jul 17, 2010
- 51
- 7
Nina maswali mengi juu ya hukumu iliyotolewa na mahakama ya rufaa juu ya rufaa ya serikali kwenye kesi ya mgombea binafsi;
1.Hukumu ina defects maana hakuna mahala kulipoonyesha appeal allowed au appeal dismissed?
2. Kama imeandikwa kwenye katiba ya jamhuri wa muungano wa Tanzania kuwa kila mtu ana uhuru wa kuchaguliwa au kuchagua kiongozi ampendaye iweje hoja ya mgombea binafsi iitwe ya kisiasa?
1.Hukumu ina defects maana hakuna mahala kulipoonyesha appeal allowed au appeal dismissed?
2. Kama imeandikwa kwenye katiba ya jamhuri wa muungano wa Tanzania kuwa kila mtu ana uhuru wa kuchaguliwa au kuchagua kiongozi ampendaye iweje hoja ya mgombea binafsi iitwe ya kisiasa?