Kesi ya ufisadi ubalozi wa itally imefikia wapi?

Mtazamaji

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
5,937
1,437
Wanajamvi hivi hii kesi status yake ikoje. Nimepoteza kummbukumbu.

Ilikuwa ni kesi ya kugushi nyaraka za manunuzi ya jengo la ofisi za ubalozi wa tanzania italy.Aliyekuwa Balozi Prof Mahalu alikuwa 1ja wa washtakiwa.

Naomba mnipe updates
 
Wanajamvi hivi hii kesi status yake ikoje. Nimepoteza kummbukumbu.

Ilikuwa ni kesi ya kugushi nyaraka za manunuzi ya jengo la ofisi za ubalozi wa tanzania italy.Aliyekuwa Balozi Prof Mahalu alikuwa 1ja wa washtakiwa.

Naomba mnipe updates

Case za "wakubwa" huwa haziishi....
 
mpogoro umeniwacha hoi...ila jamani hii nchi wacheni tu
Mungu tu aepushe mbali balaa maana tunatusiwa hadharani na washika nchi

tubomoe malango
 
Back
Top Bottom