Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,068
- 2,000
wanaJF kuna mwenye copy ya Sheria ya ndoa hapa, nataka kuijua ki-undani maana kuna issues zinanitatiza sana, kama kuna yoyote anayo naomba msaada na ufafanuzi wake, najua wanasheria wa maana mko hapa.