Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua sheria mbalimbali
Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge.
Kesi ya kuendesha gari kwa uzembe na kusababisha vifo vya watu wawili inayomkabili Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew...
Hamjambo jambo!
Nimepata safari ya ghafla, kesho naenda Mambasa, sasa nilikuwa nina mpango wa kuchukua
pistol yangu, naomba msaada wenu wa kisheria, nilikuwa nauliza kuwa kama nitachukua pistol...
Jaji Mkuu wa Tanzania Mheshimiwa Agustino Ramadhani
--
JAJI Mkuu wa Tanzania, Agustino Ramadhani, amesema tatizo la kusuasua kwa uendeshaji wa kesi za jinai ambalo linahusisha mhimili wa...
Naomba kuuliza, hivi STANDING ORDERS inayotumika sasa ni ya mwaka gani?? mi najua ya mwaka 1994.
Mwaka juzi nilisikia tetesi kuwa inatoka mpya, ila mpaka leo sijasikia tena wala kuona>
Kama...
Serikali imeshauriwa kutunga sheria maalum ya kushughulikia matatizo yanayotokana na unyanyapaa, ukatili wa kijinsia dhidi ya watoto na wanaoishi na VVU.
Aidha, imeombwa kuweka misingi bora...
Askari polisi wa Kituo cha Negezi wilayani Kishapu mkoa wa Shinyanga, Koplo Gidman Kanyinuzi, anashikiliwa na jeshi hilo kwa madai ya kumuua raia, wakati akishiriki ulinzi shirikishi...
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Fredrick Warema
Serikali inatarajiwa kuwasilisha katika Bunge lijalo sheria inayosimamia mikataba ambapo watu binafsi wataweza kuingia katika...
Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, Khalidi Mandia kwa kushirikiana na viongozi wa wilaya hiyo wameanza kampeni ya kuwasaka wanafunzi zaidi ya 400 waliofaulu kuingia kidato cha kwanza...
Wabaini namba za wanachana kubadilishwa
Msajili wa Vyama vya Siasa, John Tendwa
Uongozi wa Chama Cha Jamii (CCJ), umeibuka na kutoa madai ya kufanyiwa hujuma...
Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja.
Serikali imepiga marufuku usafirishaji nje ya nchi wa madini ya Tanzanite ghafi kwa vile hayawanufaishi sana Watanzania kutokana na...
Joint Government and UN Inquiry Needed into Death of Floribert Chebeya Bahizire
Floribert Chebeya Bahizire
Floribert Chebeya's shocking death is a serious blow for human...
In the Name of Security
Seeking Protection
Human Rights Watch Letter to President Jakaya Mrisho Kikwete of Tanzania
Tanzania has the right to expel people who are illegally within its...
MAHAKAMA ya Wilaya ya Temeke imemuhukumu kifungo cha maisha kijana wa miaka 26 baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kumnajisi mtoto wake wa kiume mwenye umri wa miaka mitano.
Akitoa hukumu hiyo...
Friday, 04 June 2010
Mwandishi Wetu
BALOZI wa Sweden aliyememaliza muda wake, Staffan Herrstrom jana alitoa hotuba kali ya kuitaka serikali kutekeleza ahadi inazozitoa, ikiwemo...
WAKATI serikali ikiwa kwenye harakati za kumkomboa mtoto wa kike kielimu juhudi hizo zinarudishwa nyuma na baadhi ya wapinga maendeleo akiwemo mwalimu wa Shule ya Sekondari ya Byuna, wilayani...
OFISA Mtendaji wa Kata ya Challa katika Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa, Priver Mwasile amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nkasi akikabiliwa na shtaka la kuomba na kupokea rushwa...
Tendwa apondwa kwa kutoisajili CCJ
na David Frank, Arusha
CHAMA cha Mawakili Tanzania (TLS) Mkoa wa Arusha, kimemkosoa msajili wa vyama vya siasa nchini John Tendwa kwa kukataa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.