Bongolander
JF-Expert Member
- Jul 10, 2007
- 5,067
- 2,197
Wakuu nina swali. Hivi sasa si wengi tunaziamini mahakama zetu, mahakama zinatenda "haki" kwa matajiri kama wakitoa chochote au wakiwa wazito, lakini ukiwa maskini hasa pale unapovutana na mzito basi ujue huna chako, hata kama haki ni yako.
Sasa kama mahakama haikutenda haki kwenye mazingira kama hayo, haki inaweza kupatikana wapi?
Kwa mfano, hivi karibuni mahakama tuyliskia mahakama imeenda kinyume kabisa na issue ya mgombea binafsi (issue ya katiba), au kwa maneno mengine imechekelea ukiukaji wa katiba. kwenye mazingira kama haya issue kama hizi zinashghulikiwa vipi?
Lakini pia kuna wakati mahakama pia haitendewi haki. Kama Mahakama haitendewi haki inaweza kudai haki yake wapi? Maswalia haya najiuliza majibu sipati, naona kama hakuna wanaojali huko juu, lakini waathirika ni sisi watu wa chini.
Sasa kama mahakama haikutenda haki kwenye mazingira kama hayo, haki inaweza kupatikana wapi?
Kwa mfano, hivi karibuni mahakama tuyliskia mahakama imeenda kinyume kabisa na issue ya mgombea binafsi (issue ya katiba), au kwa maneno mengine imechekelea ukiukaji wa katiba. kwenye mazingira kama haya issue kama hizi zinashghulikiwa vipi?
Lakini pia kuna wakati mahakama pia haitendewi haki. Kama Mahakama haitendewi haki inaweza kudai haki yake wapi? Maswalia haya najiuliza majibu sipati, naona kama hakuna wanaojali huko juu, lakini waathirika ni sisi watu wa chini.