Mshahara ni moja ya haki zako msingi katika ajira(statutory right). Hivyo kama mwajiri wako hakulipu basi chukua hatua ya kisheria kwa kupeleka lalamiko lako CMA(Commission of Mediation and Arbitration). Aakulipa tu. Ushauri wa Buchanan sikubaliani nao sana kwa sababu Issue ni kutolipwa mshahara ambao ni haki msingi ya kila mfanyakazi wa aina yoyote ile. It is implied that there was already a contract whether oral or written.Huwezi kuanza kufanya kazi fulani ya mtu bila makubaliano ya pande zote husika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.