Msaada wa kisheria

Hiphop

Member
Jul 17, 2010
51
7
Habari wana JF,ninaomba msaada wa kisheria kuhusu taratibu za kumuasili/adoption/ ya mtoto hapa Tanzania.
 
Fika any ofisi ya ustawi wa jamii,zipo kila wilaya apa Tanzania.watakupa taratibu,then utajaza form baada ya apo utaweza kuwa na haki kamili ya huyo mtoto
 
Ahsante chipukizi kwa msaada wako ila ningependa kujua sheria inayo govern procedures ili niweze kuzielewa kabla sijaendelea na uamuzi wa kumuasili.
Ahsante ambrose kwa recommendation
 
Ahsante chipukizi kwa msaada wako ila ningependa kujua sheria inayo govern procedures ili niweze kuzielewa kabla sijaendelea na uamuzi wa kumuasili.
Ahsante ambrose kwa recommendation

Utaelekezwa ni Sheria zipi zinogovern ukifika ustawi wa jamii!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom