Jukwaa la Mapishi

Mijadala mbalimbali ya wanajamii inayohusiana na mapishi
Katika makala iliyopita Nilifundisha namna ya kupoa asidi iletayo kiungulia kwenye maharage,na tuliona kwamba huwezi kutoa asidi(phytic)yote kwenye maharage ila unaweza kuipunguza kwa kiasi...
7 Reactions
19 Replies
7K Views
Mahitaji Viazi ulaya 4 vya wastani Hoho jekundu 1/2 Hoho la njano 1/2 Hoho la kiajani 1/2 Njegere 1 kikombe cha chai Carrot 1 kubwa Broccoli kidogo Cauliflower kidogo Kitunguu 1 Nyanya 1/2 kopo...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Habari? Natumai mu wazima, kwa heshima na taadhima naomba kujuzwa namna ya kuandaa Uji Wa mchele! cc farkhina mpishi maridadi
1 Reactions
26 Replies
19K Views
Jamani hii mboga ni nzuri kwa ladha na nzuri kwa afya kwasababu ina nutrients zote za muhimu. Mahitaji Nyama ya ngombe 1/2 kilo Vitunguu maji viwili Nyanya nne Pilipili hoho nusu Kabichi 1...
6 Reactions
44 Replies
27K Views
Mitahitaji Kuku....kata vipande vipande Celery Brocolli Carrot Kitunguu maji Nyanya.... Curry powder Ndimu Chumvi Garlic Tangawizi Bizari ya pilau Tandoor masala (au masala...
13 Reactions
66 Replies
10K Views
Leo hebu kila mtu a share unachanganyaje matunda? au wala moja moja Mie leo nimechanganya strawberries,papai,zabibu na apple vyote ratio sawa then naweka yogurt juu nakula
13 Reactions
67 Replies
10K Views
Napenda sana kupika chapati lkn haziwi laini nifanyeje ziwe laini??
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Omlette Huu unakuwa mchanganyiko wa mayai,chumvi,pilipili manga,na mboga mboga ukipendelea kama kitunguu maji, pilipili hoho, nyanya n.k Kaanga kitunguu na mafuta vijiko viwili vya supu kwanza...
21 Reactions
79 Replies
54K Views
Naomba kujuzwa maandalizi ya egg chops
1 Reactions
116 Replies
31K Views
Pishi hili ni maalum kabisa kwa wale ambao ni wageni jikoni au hawajui kupika.Niliomba nipewe pishi la futari ambalo hata asiejua kupika anaweza jaribu na akapatia,nikapewa pishi hili. Mahitaji...
1 Reactions
5 Replies
7K Views
Mayai 6 Maziwa sona kikopo 1 custard kijiko 1 maziwa ya unga vijiko 5 maziwa ya maji vikombe 2 na nusu vanila kijiko 1 mimina vyote kwenye blender saga. Kwenye sufuria safi ndogo kiasi unguza...
7 Reactions
19 Replies
5K Views
Natamani kufahamu hivi ni spice ipi hasa inayoifanya pilau iwe pilau...
0 Reactions
22 Replies
13K Views
JIFUNZE KUPIKA WALI WA SAUSAGE NA MBOGA MAJANI MCHANGANYIKO JIFUNZE KUPIKA MBOGA MAJANI NA MCHANGAKO WA WALI NA SAUSAGE MAHITAJI 3 vipande vya sausage 1 fungu la majani ya...
3 Reactions
17 Replies
10K Views
Naamini kila mtu anajua kuchemsha kuku na kukaanga, ni pishi la kawaida sana. Ingawa pishi hili ni rahisi, watu wengi wanalikosea sana,na matokeo ya pishi lao hayawi mazuri.Unaposoma pishi hili na...
7 Reactions
32 Replies
54K Views
1) Kunde.... (za kupaaza) kg 1/2 2) Pilipili mboga 1/2.. 3) Kitunguu maji 1/2. 4) Kitunguu saumu 1/2teaspoon 5) Chumvi kiasi.... 6) Baking powder/hamira 1tablespoon 7) Mafuta ya kupikia 8)...
7 Reactions
62 Replies
18K Views
Hello Mods I think you will agree with me kwamba hamna kitu muhimu hapa duniani kama Kula (apart from Praying and Believing in your Religions) Watu wa dini na makabila tofauti wanaweza...
1 Reactions
152 Replies
47K Views
Ingredients 1 medium onion, finely chopped 1 tablespoon coconut oil 1 1/2 tablespoons minced peeled fresh ginger 2 teaspoons ground cumin 1 teaspoon ground coriander 1/4 teaspoon cardamon...
4 Reactions
7 Replies
2K Views
Tafadhali anayeweza kunifahamisha mchanganyiko wa prawns,pweza, ngisi na kingfish inachanganywa na kuwa rojo kama ina utamu fulani wa sukari
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Hello there, mambo vipi? mihangaiko je. .anayejua kupika sombe Ile yakikongo wanayotumia oxtail meet na mawese please naomba unielekeze please. Thanks.
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Jamani nitapata wapi hii kitu kwa hapa D'salaam
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom