Katika makala iliyopita Nilifundisha namna ya kupoa asidi iletayo kiungulia kwenye maharage,na tuliona kwamba huwezi kutoa asidi(phytic)yote kwenye maharage ila unaweza kuipunguza kwa kiasi...
Mahitaji
Viazi ulaya 4 vya wastani
Hoho jekundu 1/2
Hoho la njano 1/2
Hoho la kiajani 1/2
Njegere 1 kikombe cha chai
Carrot 1 kubwa
Broccoli kidogo
Cauliflower kidogo
Kitunguu 1
Nyanya 1/2 kopo...
Jamani hii mboga ni nzuri kwa ladha na nzuri kwa afya kwasababu ina nutrients zote za muhimu.
Mahitaji
Nyama ya ngombe 1/2 kilo
Vitunguu maji viwili
Nyanya nne
Pilipili hoho nusu
Kabichi 1...
Leo hebu kila mtu a share unachanganyaje matunda? au wala moja moja
Mie leo nimechanganya strawberries,papai,zabibu na apple vyote ratio sawa then naweka yogurt juu nakula
Pishi hili ni maalum kabisa kwa wale ambao ni wageni jikoni au hawajui kupika.Niliomba nipewe pishi la futari ambalo hata asiejua kupika anaweza jaribu na akapatia,nikapewa pishi hili.
Mahitaji...
Mayai 6
Maziwa sona kikopo 1
custard kijiko 1
maziwa ya unga vijiko 5
maziwa ya maji vikombe 2 na nusu vanila kijiko 1
mimina vyote kwenye blender saga.
Kwenye sufuria safi ndogo kiasi unguza...
JIFUNZE KUPIKA WALI WA SAUSAGE NA MBOGA MAJANI MCHANGANYIKO
JIFUNZE KUPIKA MBOGA MAJANI NA MCHANGAKO WA WALI NA SAUSAGE
MAHITAJI
3 vipande vya sausage
1 fungu la majani ya...
Naamini kila mtu anajua kuchemsha kuku na kukaanga, ni pishi la kawaida sana.
Ingawa pishi hili ni rahisi, watu wengi wanalikosea sana,na matokeo ya pishi lao hayawi mazuri.Unaposoma pishi hili na...
Hello Mods
I think you will agree with me kwamba hamna kitu muhimu hapa duniani kama Kula (apart from Praying and Believing in your Religions)
Watu wa dini na makabila tofauti wanaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.