Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,703
- 8,481
mimi kijana wa magetoni tu najipikia peke angu ila tatizo langu ni.chumvi siku nikisema chumvi imekolea chakula hakiliki nina mkono wa chumvi mbaya sana, na nikisema niweke ya kawaida chakula hakina chumvi kabisaa, tatizo ni nn