MAHITAJI
- Maji safi
-Majani ya chai
-Chombo cha kuchemshia(sufulia nk.)
-Chanzo cha nishati( jiko la mkaa,mafuta nk.)
Nb: kabla ya kuchemsha chai zingati idadi ya watumiaji...
Habari zenu wadau,binafsi nilikuwa nina mpango wa kuanza kuuza juisi za matunda fresh za aina mbalimbali,sandwich,hamburg na vitu vitamu vitamu mvijuavyo ili niweze kujiongezea kipato.
Sasa ombi...
Mahitaji
1)Strawberries
2)Embe ya kuwiva
3)Mtindi
4)Maziwa
5)Vipande vya barafu
6)Sukar
Namna ya kutaarisha..
1)Ondoa vichwa vya strawberries then zioshe
2)Osha embe na katakata vipande...
Naombeni kuuliza ni wapi nitapata pilipili aina ya shitto kwa hapa Tanzania!? Kwa wale wanayoijua tafadhali ni habarisheni hii kitu plsee! Hii ni pilipili ya wenyeji wa nchini Ghana.
Habari zenu wadau wa maakuli?
Mimi nilikuwa napenda kufahamu ungependa upate viungo gani vya chakula ambavyo vimeshaandalliwa na kufungashwa ili kurahisisha mapishi yako....
Nawakaribisha...
Mahitaji
Viazi kilo 1
Samaki asie na miba
Limau 1
Karot 1 ndogo ipare
Pilipili mboga 1 rangi upendayo kata ndogo ndogo
Kitunguu maji 1 kidogo kata ndogo ndogo
Kitunguu saumu 1/2 teaspoon...
Recipe
Mahitaji
1 kikombe unga wa corn flower/
1kikombe brown sugar
2 vikombe white sugar
3 cup maji
1kijiko kimoja cha chai kungu manga
Zafarani kijiko kimoja cha chai
Iliki kijiko kimoja cha...
Moja kati ya mambo ninayopenda katika kupika ni ile raha na furaha ninayopata pale ninapotengeneza recipe mpya ya chakula na ikapendwa na wale waliokula chakula hicho.
Pancakes si chapati maji...
Hello wanajamvi, google search imeshindwa kunipa jibu ya hii kitu. Nimeanda supermarket leo nimekutana juice ya chungwa ambayo zingine zimeandikwa ''WITH JUICY BITS'' na zingine zimeandikwa...
Mimi nimeona picha nikajaribu, ni nzuri sana!
Umua unga kama wa mabanzi na uache uumuke kwa nusu saa.
Kwenye sufuria safi chemsha samaki(nguru/jodari au yyt mwenye steki) mchapuze vile upendavyo...
Naombeni recipe ya chapati nzuri na tamu za kukanda.
Nataka huu uwe mlo wa leo nyumbani kwangu.
Pia ningefurah zaidi kama ukinipatia na mboga gani niitumie kwenye huo mlo. Binafsi nilipanga...
Huko mjini mnaita popukoni, ni kazi rahisi sana.
Chambua mahindi yako kutoa visivyohitajika hasa pumba ambazo zikiungua huweka weusi kwenye sufuria. baada ya hapo weka sufuria motoni na weka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.