Mapishi ya Vibama vya ndizi,

aronstephy

JF-Expert Member
Jun 23, 2015
296
610
Habarini Wakuu , naomba kwa anaejua utaalam wa mapishi ya vibama vya ndizi anifundishe .. Nasubiri mrejesho toka kwenye wataalam
 
Hahaha nimecheka,,nunua ndizi zinazoitwa broken,unga wa muhogo na mafuta
Ponda au blend ndizi zako zikilainika changanya na unga wa muhogo mpaka upate ugumu unaohitaji,,
Tengeneza vibama vyako kwa kutumia mikono miwil ili kupata shape ile ya kibama
Deep fry
Serve vikiwa moto,,ni vitamu hatar,
Hawavijui watu wengi au majina yanatumika tofauti
 
Hahahah jaman vtuko kunuka bila kikwapa

sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom