Hahaha nimecheka,,nunua ndizi zinazoitwa broken,unga wa muhogo na mafuta
Ponda au blend ndizi zako zikilainika changanya na unga wa muhogo mpaka upate ugumu unaohitaji,,
Tengeneza vibama vyako kwa kutumia mikono miwil ili kupata shape ile ya kibama
Deep fry
Serve vikiwa moto,,ni vitamu hatar,
Hawavijui watu wengi au majina yanatumika tofauti
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.