Ukiachana na wale wenzetu ambao wamesomea elimu ya kupika Vyakula mbali mbali, kuna sisi wapenda kula lakini kupika mtihani.
Leo nimejiskia kupika firigisi na ugali. Sema hapa kwenye firigisi...
Ni ya vanilla na maziwa nimeipika kwa gesi tu.
Nimetumia
Unga:250g
Sukari (icing suga):200g
Mayai:5
Maziwa:vijiko vitatu vya chai
Vanilla:kifuniko kimoja
Butter:250g
Baking powder:2teaspoon...
Wadau habari zenu
Naombeni ushauri wa namna ya kula, na vyakula gani nikila ndani ya muda mfupi nitanenepa .
Nilikuwa mnene wa wastani kwa kipindi cha mwaka mzima nikawa busy sana na kazi naweza...
Wakulungwa!
Hii huwa sielewi, kuna chemistry gani kati ya bia na bisi, ?
Maana huwa nikifika tu bar, utakuta mdada mrembo,ananiletea bisi, baada ya kuagiza vyombo.
Au ndio yale yale, siku hiz...
Unapaswa kuvijua ili upunguze matumizi yake kila siku kwa kuepuka kwa kinga zako kudhofika na kupungua, kuongeza sumu kwenye mwili na kinga zako, kudhofisha viungo mbalimbali na kupelekea saratani...
,.........habarini wana jf......
Kila mmoja anajua kuchemsha chai ila ni wachache wanajua kupika chai
[emoji626] Chai n pishi kama pishi nyingine ,,,lakini tunavyoliandaa wengi wetu hukosea...
Habari zenu wote natumai mu wazima
Mimi nimuajiriwa ila nahitaji kipato cha ziada mara kwa mara nimekuwa nikijaribu kutengeneza ubuyu lakini umekuwa hautokei kama unavyo paswa sasa nashindwa...
Tunavyokula kuna athiri jinsi tunavyojisikia. Inatakiwa unapokula uwe unajisikia vizuri. Kuna wengine wakila wanajisikia tofauti. Ukila sana au kidogo vyote vinaweza kukufanya kusikia vibaya ...
Hawali ya yote naomba radhi kwa kuandika Vyakula ivi kwa lugha ya kingereza
MTOTO MDOGO anatakiwa ale mlo kamili yaani appetizer,main meal,pamoja na desert na Vyakula hizo zinatakiwa ziwe na lishe...
Wakuu,
Kuna mtu amewahi kujaribu kuunga karanga kwa kitunguu na nazi kama unavyounga maharage akaona inakuaje ukila na wali?
Naona kama karanga ni laini na tamu kuliko maharage, njegere...
Wakuu nipo maskani Leo mda huu ndo nimemaliza kufua..
Ndani Nina
Mayai
Viazi mviringo.
Unga wa mahindi
Mchele
Samaki... chuzi/sotojo lililobaki Jana..
Naombeni msaada nipike Nini cha fasta Nile...
Kwa utafiti wangu wanawake wengi wa siku hizi hawajui kupika au mapishi kwa ujumla wake.
Wanawake wengi wa siku hizi wanaamini viungo vingi kwenye mboga ndio mapishi mazuri.
Mbona inawekewa...
Siujui Mimi tu kwa kweli matikiti maji hayana ladha kabisa ukilinganisha na matunda mengine mfano machungwa, embe na kadhalika. Kama vile unatafuna maji badala ya kuyanywa - ndio maana yanaitwa...
Wanabodi, poleni na majukumu ya maisha!
Wewe unapenda nyama ipi kati ya kuku, ng'ombe, mbuzi na kitimoto ipi ni nyama pendwa sana kwako na huko duniani ulikopita pita?
Hello guys,
Kwa wale wanaopenda kula kama mimi nimeona niwashirikishe hili pishi rahisi sana. Mwaka jana mwishoni katika kuhangaika na maisha nilienda mkoa mmoja ndanindani huko. Kule nilikuta...
Umechoka kunywa chai na vitafunwa vya aina moja kila siku leo pika vitumbua venye radha tofauti ufaidi chai yako ya asubuhi:
Mda dakika 50
Vipimo
Unga - 2 gilasi(wa mchele)
Mayai - 4
Hamira -...
Mahitaji: Mayai, wali, sukari.
Jinsi ya kuandaa:
Chemsha wali wako kama kawaida au hata kama unakiporo kitafaa,
Tia wali wako kwenye bakuli kubwa ambalo utachanganyia,
Kisha piga mayai wa 2_3 au...
Mahitaji
Kwa ajili ya supu
Viazi 4 vikubwa katakata round
Nyanya 2 kubwa katakata
Kitunguu maji 1 kikubwa
Kitunguu saumu 1 tablespoon...
Tangawizi 1 tablespoon..
Bizar ya pilau 1/2 teaspoo...