Entreprenuare
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 1,616
- 1,714
Wakulungwa!
Hii huwa sielewi, kuna chemistry gani kati ya bia na bisi, ?
Maana huwa nikifika tu bar, utakuta mdada mrembo,ananiletea bisi, baada ya kuagiza vyombo.
Au ndio yale yale, siku hiz watu huwa nawaona wanakula mihogo na dagaa..
Huyu Chief cooker, anaye design hivi chakula , itabid tumjue.
Hii huwa sielewi, kuna chemistry gani kati ya bia na bisi, ?
Maana huwa nikifika tu bar, utakuta mdada mrembo,ananiletea bisi, baada ya kuagiza vyombo.
Au ndio yale yale, siku hiz watu huwa nawaona wanakula mihogo na dagaa..
Huyu Chief cooker, anaye design hivi chakula , itabid tumjue.