Mutensa
JF-Expert Member
- Feb 20, 2009
- 421
- 90
Wakubwa shikamoo, wadogo habari zenu,
naomba kufahamishwa tofauti au maana ya maneno haya:
Je,
ni yapi katika haya ni lugha fasaha katika Lugha adhimu ya kiswahili?
naomba kufahamishwa tofauti au maana ya maneno haya:
- wizi = ?
- ujambazi = ?
- ujangili = ?
- ukibaka = ?
- uharamia = ?
- udokozi = ?
- utapeli = ?
- ......
Je,
ni yapi katika haya ni lugha fasaha katika Lugha adhimu ya kiswahili?