Nikiwa naangalia TBC mchana leo, kuna kipindi kilichokua kikieleze asili ya vazi la khanga kuitwa "khanga" akihojiwa bi-mkubwa mmo1 aliekua akiongea kwa pronouce ya kizenji alisema asili ya Khanga...
My teacher of Kiswahili used to say kuna lugha ya mitaani na lugha sanifu. It is also true that our choice of words can completely alter the intended meaning and outcome in communication.
Lets...
Dear all
i have my kids who are eager to learn french they are less than 8 year old. They somehow learn at their school. Unfortunately i know nothing about FRENCH.
i am just wondering if anyway...
Eti Kiswahili kinajitosheleza...nyoooo!!
Hakijitoshelezi hata kidogo
Jana nilikuwa na mjumbe mmoja mkongwe wa TATAKI(Taasisi ya Taaluma ya Kiswahili).Bila aibu akashindwa kunipa tofauti ya maneno...
http://youtu.be/ZJArzOTZ8LU
lyrics
I have this image in my head that one day when I step off this airplane I'll be on this land where the air is sweeter than any fruit I have tasted and...
"Nyimbo hii itachangia kuharibu kiswahili" naomba mniambie kama ni sahihi kutumia "Nyimbo" katika umoja maana The boss ametumia nyimbo katika uwingi wakati wa kuuelezea wimbo wa hakunaga wa...
WANASUBIRI HUKUMU.
Nilikuwa nimetulia sebuleni nikiangalia TV. Nilikuwa mpweke kiasi kwani wanangu na wajukuu zangu wote walikuwa Ulaya wakiendelea na masomo. Mjomba'ngu mzee Kajisi yeye...
A Diamante is a seven-lined contrast poem set up in a diamond shape. The first line begins with a noun/subject, and second line contains two adjectives that describe the beginning noun. The third...
Wakuu wana JF natatizwa sana na maneno mawili; 'BARABARA' na 'NJIA'.
Naomba wataalam wa lugha ya Kiswahili wanifahamishe kama maneno hayo mawili yana maana sawa ama yanamaanisha vitu viwili tofauti.
Wataalamu wa lugha ya kiswahili naomba kufahamu, hivi ile inayotoka kwenye chungwa au kitunguu na kusababisha mtu kupalia na kupika chafya inaitwaje, wengine wanasema eti ni moshi wa chungwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.