Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,299
- 33,082
Nawaombeni munifahamishe kuhusu jando na unyago mimi sielewi inakuwaje? nawaombeni jamani munipe jibu Zuri Mubarikie wote.
Mi hata sijaelewa swali niseme tu ukweli... Leo mara ya kwanza nikutane na neno unyago...Nawaombeni munifahamishe kuhusu jando na unyago mimi sielewi inakuwaje? nawaombeni jamani munipe jibu Zuri Mubarikie wote.
kwani haya maneno umeyatoa wapi ?Nawaombeni munifahamishe kuhusu jando na unyago mimi sielewi inakuwaje? nawaombeni jamani munipe jibu Zuri Mubarikie wote.
swali langu nimewauliza Watu wa Pwani wanieleze kuhusu historia ya ( jando na unyago) ninafikiri wewe sio mtu wa Pwani mkuu?Mi hata sijaelewa swali niseme tu ukweli... Leo mara ya kwanza nikutane na neno unyago...
Nope... Ila ngoja nikawaulize, nakuletea jibu...swali langu nimewauliza Watu wa Pwani wanieleze kuhusu historia ya ( jando na unyago) ninafikiri wewe sio mtu wa Pwani mkuu?
Ndio hicho ninachokupendea wewe asante sana nangoja jibu kutoka kwakoNope... Ila ngoja nikawaulize, nakuletea jibu...
Ni kweli lakini umenijibu kwakifupi kuna kozi ya huo unyago je inakuwaje hiyo kozi?Kuna mmoja kanambia Jando ni kutahiriwa, na Unyago ni ritual nzima ya kutoka katika utoto na kugeuka mwanaume. Ila kasema mwenyewe kua he may be wrong or right... tusubiri wengine waje kuchangia pia. Unauliza to test our knowledge au unauliza to learn from us?
Tunataka wataalamu wa Lugha watufamishe kwa kirefu nini maana ya unyago?kweli hata mimi ndo nimegundua sasa ivi kuwa nlikuwa sijui tofauti za hii mambo.
Bravo umepatia sana hongera ningelikuwa Moderator ningelikupa ngao ya dhahabu ya Jamii media Gold lakini wapi. Ninamuomba Mkuu XPaster akupe hiyo zawadi asante kwa jibu limenitosheleza sana .unyago ni mfumo wa informal education inayotolewa na makungwi kwa vijana ambao wanatoka katika umri wa utoto na kuingia ktk utu uzima ni mafunzo yanayohusu life skills na jinsi ya kuishi na wenza wao, Jando ni tohara na hii hufanywa baada ya mafunzo ya unyago na huwa kama ishara kuwa fulani amefuzu mafunzo ya unyago na amepata tohara, ndo maana ktk jamii zinazopractice hili mtu asiyeenda jando huzarauliwa kuwa hajafuzu kitu flani